Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Wakuu kwanza naanza kwa kuomba msamaha maan kuna manzi aliwahi kuna geto ila sikupiga! Naomba msamaha kwa jina la Jamhuri la Mabaharia! Aisee leo nimemuona kawa kisu hilo tako ni noma hadi wana wakaanza kumsifia! Nimempigia hapa kumuita geto leo kanambia hawez kuna ishu anafatilia!! Aisee roho inaniuma balaa!! Mimi naumia sana dem kuja kwangu af nisimfumue papuchi!! hili kosa sijawah kufanya huko nyuma😭😭😭😭😭😭😭😭😭
 
Daktari hapo umeongea fact (sijui ilikua kwenye kamati ya vovid)

Je kunaukweli wowote juu ya hizo allergies tajwa za condom kwa dada zetu?

Au nitrick tu ya kavukavu maana huyo aliniambia huwazinamuachia mwasho lkn hakuna hata siku aliyosema ebu ngj nijikune nawashwa na mafuta ya kondomu!
Ndio baadhi ya wanawake ,kondom hizi ambazo ni LATEX huwa zinawapa sana muwasho .

Yaan anakuja anajikuna mpaka unamuonea huruma
 
Demu: mm huwasitumii kondomu mafuta yake yananiwasha...

Hii statement sio nzuri kwa afya

Ilikua mwaka jana kunamdada alinipigia simu anakuja kunisalimia maana hatukuwa tumeonana km mwaka mmoja hv wala sikuwa na mahusiano nae yoyote zaidi ya kupeana dili za hapa na pale basi nikamwambia karibu, jioni akafika gheto story mbl tatu hasa za maisha na mahusiano yake katikat nikachomekea masikhara akajaa Huku na Huku sina Mpira ikabd nimplease kuwa naenda shop nichukue zana hiyo ya kivita ndo akaanza kusema mm sizipendi km nihivo bora niondoke

Nikapiga hesabu za probability nikaona huyu life style yake inanitia mashaka afu why kondomu inakua zogo?

Nikamjibu tu kiume samahani sana kiukweli na mm kondomu sizipendi ila itanilazimu kuitumia kabla hatujacheck afya so km unaona kondomu nikikwazo mama, nenda mpk siku tutakayo pima wawili na kuchukua majibu pamoja

Akasema nayy kupima anaogopa sana nikamwambia kwahiyo tunafanyaje? Akakubali kondomu itumike sio kupima ( nikaona hapa kuna jambo) basi nikakubali kuitumia with due diligence game ikapigwa vzr kabisa

Kesho yake jioni kaja mapema akasema analala kabisa ( alielewa sana kipindi hasa jinsi nilivyotimia kumkanda mwili wake kwa shanga zake zakiunoni na kuzitumia kuzipitisha ktk kitumbua chake she resisted to be mad but went crazy [emoji16][emoji16])

Mwendo ukawa niuleule kumenye tu ndomu kila tukitaka kupunga maruhani yaliyopagawa

Akaanza zile za niambie sasa lengo lako ninin au unataka tu uweunanikaza kukidhi haja zako? Mm ni innocent sana huwasiwezi kumwambia mtu jambo la kumuumiza of which nilikua nimepanga kumla tu kila mtu aendelee na maisha yake ila kwakujua saikolojia yake alikua na expectation kubwa ya kuanza kuishi namm ukizingatia umri tyr umeanza kumkataa by then she was 32-33 years old

Nikamjibu km gentleman kuwa siwezi kuweka malengo ukiwa hatujui status zetu za kiafya zikoje siku utakayokuwa tyr kupima then ndio nitakupa malengo. Bado akawa mbishi kupima ananiletea pigo za mbn tunaandaana vzr sipati michubuko ngoma inapitia wapi?

Nikagundua wasiwasi wake mkuu nikupima so kondomu zikahalalishwa rasmi hakuwahi kusema anazichukia tena

Akahamia gheto kabisa muda huo ninamahusiano yangu ya muda mrf mchumba nilielipa mahari Yuko mkoa mwingine wanyumbani kila kitu kipo vzr inasubiriwa ndoa tu! Nikaona huyu demu ataniharibia ila kwakuwa kiasili mm nimpole sana sio mchumba wangu wala huyu aliejileta gheto alieshtukia km kunamwenzake nikaplay role vzr kabisa kwahuyu aliehamia gheto kwa kumpa condition kwamba tunayo miez miwl ya yeye kujitathmn kuhusu kupima ikiisha miez miwl hakubaliani kupima automatically tunaachana wala asije kunilauma.

Miezi miwl ikapita hajafikia maamuzi ( kipind chote hicho sijauza mechi) kuna siku nadhn alifanya makusudi stoke ya kondomu iliisha afu akapiga kmy km kawausiku namwambia chukua ndomu huko anasema zimeisha daaaah ilikua sita usiku maduka mtaa tunaoishi yanafugwa saa tatu aisee nikidata lkn kwa sauti ya upole kabisa nikamwambia we won't play tonight, nadhani hakuamn akajua natania amn usiamn tulilala kufika mid night akaniamsha akisema "yaani angalia nilivoloa najikojolea naww uko hapa hapa? Nikamjibu tu short yamebaki masaa machache ifike asbh nitafuata kondomu nitakutimizia hitaji lako nikageuka kumpa mgongo!

Ikawa asbh siku mpya ikaanza kwakuzini kabla ya kwenda kutafuta mkate jioni yake akasema hakuwahi kuona mtu mwenye misimamo mikali km unskilled...

Muda wampito niliompa kuhusu kupima ukafika ijapokuwa ratiba zangu ningumu ila ilipotimia miezi miwili tu nikamchukua kwenda kupima hospital x ya serikali kabisa nikiwa ninaitupa karata yangu ya mwisho jinsi ya kumwacha bila kuumiza hisia zake

Muuguzi akauliza swali nyeti sana km tunatumia Mpira na haipo siku tumesex peku peku jibu likawa ni condum as usual per game

MAJIBU SHE WAS HIV POSITIVE+
AND I WAS HIV NEGATIVE-!

Binafsi sikuwa surprised maana mm afya naichunga sana maana wazaz wangu walipofikia hawana ngoma mm kaka mkubwa nautoa wapi nahisi nitawafedhehesha sana wazazi na sitokua mfn mzr kwa madogo


Kwann nilimkomalia tupime? Kipind tumepotezana alijichanganya machimbo ya madini mkoani iringa na mm kwa uelewa wangu mdogo machimboni ni risk sana hasa kwa mtoto wakike ukizingatia mkoa wenyewe iringa

Alipewa ARVS siku ileile mm nikauluzwa km sijawahi pekupeku nikamjibu sijawahi peku pia nilikua nazingatia matumuzi sahihi ya Mpira so far nitapima tena muda mwingine!

Tukarudi gheto nikamchukua jukumu la kutomnyanyapaa ila nikamsistiza tu kwahali yake afikirie kuimarisha uchumi wake zaidi asinitegemee mm ikitokea sipo atayumba( mwenye akili ataelewa nikichokua nakimaanisha)

Basi swali la malengo nini likaishia hapo baadae ya miezi km miwili akajiongeza kuwa km alipata ugonjwa huo itakua machimbo ngj arudi tena akapambane na life huko kabla hajaenda nikamsistiza asifanye kuusambaza makusudi ikibidi atumie kondomu km tulivotumua kuliko baadae akapata maambukizi mapya akasepa na rundo la ARVS ZAKE huko chunya this time (mliokohuko mjihadhari)

Mipango yangu na mtarajiwa wangu wa nyumbani inaenda vzr panapo majaliwa nafunga ndoa SEPTEMBER ELEVEN of this year nikiwa nimeipata baraka Zote kutoka kwa huyu sweet poison iliyofeli kuniua akisema "ukipata mtu wakuoa we oa mm ngj nikapambane mbele

My take kula kimasihara kungeniponza maana hii ilikua mwaka jana kipindi visa vya kimasihara vimepamba moto jukwaani hapa pia hata mbinu za kumvua chupi niliitumia za hapa with added factors nilizonazo, sahz ningekua nakula DOZI KIMASIHARA

MY NOTE ukimwi upo unaua km magonjwa mengine ila unamateso aisee km hujawahi kunywa vile vidonge nshukuru mungu huyu mdada siku zakwanza alikua anahangaika kumeza mimavidonge makubwa hata mtu aliechumba chapili ukitikisa kopo la dawa anajua unakunywa

NB tusiwanyanyapae waathirika japo nirisk sana kuna muda nawaza kuwa nao wanamioyo yakupenda na matamanio ila kwakuwa jamii inawatenga ukimtongoza anakubali ila ataogopa kumwambia anakirusi mwilini.
upande waakili unaniambia huenda hata huyu demu alikua anajua hali yake ndo maana alikua hataki kupima?
Ila nikiwaza upande mwingine nasema je bila mm kutaka kula tunda KIMASIHARA tungefikia Huku kote?

All in all mshahara wa dhambi ni mauti mungu anijalie kuifikia ndoa yangu na kuiheshimu maana kila anaesimama mbele yangu nahisi nae anao!

Ikitokea nimechepuka of which mm ni mwanaume niliekamilika inatokea lakn nitachukua all preventive measures

TUNDA KIMASIHARA LINGENILA


Wasalaaam

Unskilled is now SKILLED
1. Unapaswa kutoa sadaka ya Shukrani umeokoka.
2. Ulijiivika bomu (pasipokujua au kwa kujua) kwa muda wote uliokuwa naye pamoja na uwezekano wa kuambukizwa kwa njia ya sex, mtu mnaishi naye pamoja kwa Mazingira uliyoyaelezea, ana kuwa namna nyingi sana za kukuambukiza kwa makusudi au pasipokujua.
3. Tahadhari uliyotoa ni ya muhimu. Tuendelee kuzingatia.
 
Wadau.
Nipo safari natoka Mkoa X naenda Mkoa Y. Ndio nimepanda gari nimekaa na kisu hatari. Bahati nzuri tunaenda sehemu moja. Nitaleta mrejesho baadae.
MREJESHO
Tumefika salama. Kama mdau mmoja alivyosema utafika anapokelewa na mtu ni kweli but kapokelewa na Mama yake na yeye anadai ni mama yake mdogo. Kwamba tayari alikuwa ametoa taarifa sasa imekuwa vigumu kumpanga maza.
Ila nimechukua namba na nimehakikishiwa nisiwe na wasi. Yaani everything naona kinaenda kuwa poa. Pisi ipo very humble wala hata haringi. Kwakuwa bado nipo hapa kwa almost a week baasi nakomaa lakini nadhani itakuwa sio Masikhara sasa.
 
MREJESHO
Tumefika salama. Kama mdau mmoja alivyosema utafika anapokelewa na mtu ni kweli but kapokelewa na Mama yake na yeye anadai ni mama yake mdogo. Kwamba tayari alikuwa ametoa taarifa sasa imekuwa vigumu kumpanga maza.
Ila nimechukua namba na nimehakikishiwa nisiwe na wasi. Yaani everything naona kinaenda kuwa poa. Pisi ipo very humble wala hata haringi. Kwakuwa bado nipo hapa kwa almost a week baasi nakomaa lakini nadhani itakuwa sio Masikhara sasa.

Kaza babu ule mbunda
 
MREJESHO
Tumefika salama. Kama mdau mmoja alivyosema utafika anapokelewa na mtu ni kweli but kapokelewa na Mama yake na yeye anadai ni mama yake mdogo. Kwamba tayari alikuwa ametoa taarifa sasa imekuwa vigumu kumpanga maza.
Ila nimechukua namba na nimehakikishiwa nisiwe na wasi. Yaani everything naona kinaenda kuwa poa. Pisi ipo very humble wala hata haringi. Kwakuwa bado nipo hapa kwa almost a week baasi nakomaa lakini nadhani itakuwa sio Masikhara sasa.
Mzee Aya maswala nimeshakutana nayo sana ndo maana nikakutahadharisha kwanza kwamba anawezapokelewa na mtu mkuu
 
Negativity za maskhara zipo namshukuru mungu kuniepusha na baa hili kiukweli nilinywea zaidi baada ya vipimo
pole sana mkuu mimi niliwahi kupatwa na mkasa kama huu masihara iliandaliwa vizuri ile nataka valisha uncle asumani sweta la wokovu demu akasema hapana yani mjegejo ulilala kama nimepigwa salala(kofi la mgongo) yule demu nilimwambia mama nenda kwenu sitaki tena
 
pole sana mkuu mimi niliwahi kupatwa na mkasa kama huu masihara iliandaliwa vizuri ile nataka valisha uncle asumani sweta la wokovu demu akasema hapana yani mjegejo ulilala kama nimepigwa salala(kofi la mgongo) yule demu nilimwambia mama nenda kwenu sitaki tena
Hongera wake kwa Waume wengi wanazi ignore ila km mwanaume jrb kuitumia convincing power ikishindikana acha mjegejo ulale kwa amani
 
1. Unapaswa kutoa sadaka ya Shukrani umeokoka.
2. Ulijiivika bomu (pasipokujua au kwa kujua) kwa muda wote uliokuwa naye pamoja na uwezekano wa kuambukizwa kwa njia ya sex, mtu mnaishi naye pamoja kwa Mazingira uliyoyaelezea, ana kuwa namna nyingi sana za kukuambukiza kwa makusudi au pasipokujua.
3. Tahadhari uliyotoa ni ya muhimu. Tuendelee kuzingatia.
Asante kwa wazo la sandaka ya shukrani hili nimeshalifanya nanitaendelea kulifanya kipekee sana niliiona niwasaidie nisiowajua kwa kuchangua damu ktk hospital zetu

Kuhusu kuambukiza makusudi angekua amevuka viwango vya ubinadamu na kuwa mnyama maana km mm tu sukuwahi kumwambia mtu yeyote hata ndugu zake kuwa anangoma, hapa jukwaani hakuna amjuae naamn Hilo
 
Back
Top Bottom