Billion Dolar
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 1,292
- 2,953
Wakuu naimani mpo sawa kabisa. Hebu huyu dem nimpe adhanu gani.
In short nipo dar kikazi, na ofisi yetu imetukusanya wawakilishi kutoka kila wilaya mtu mmoja. Wilayan kwangu nimetoka mimi.
Wilayan kwao katoka yy. Nlivyofanya sorting kura yangu ikamdondokea yy.
Nikatangaza nia naona nikapita kwenye senet yake vizuri tu. Juzi nlimchukua kwenye kimkweche changu nlichokuja nacho piga finga sana tu na romance kibao akaniahidi kunipa papuchi J2, ratiba zikaingiliana, akaniahidi jana, asa kumbe jana kampa appointment mtu mwingine. Jamaa nlikuwa naona kamtait toka tumeanza seminar sana sikumuuliza sana sikutaka kuharibu. Mm nlikuwa nafanya kisiri sana nawasiliana naye kwa simu tu, tena sms, tukitoka jion yy ndo huwa anapenda kupiga but sijawahi mpigia. Sasa inaelekea jamaa jana alibanfua dem, juz dem alipigwa simu so nikawa nimenunua mpya samsung ila sijamwambia, nlimdokezea tu kuwa unatakiwa upate simu mpya akasema hana hela, nikmwambia sio ishu tutaona namna.
Sasa dem jana alivoachiwa na mshkaji mida ya saa nne usiku akawa anapiga sikupokea, kaandika sms kama zote asubuhi ametafta simu ya rafiki yake akanipigia kabla sijafika sikuipokea, akaandika sms ikabindi niijibu.anauliza km tunawezatoka wote jion
1. Sasa nataka nimkaze alafu nisimpe kitu, then nikae kimya kama hapajatokea kitu.
2. Nimpe makavu nizire kidude chake.
3. Nimpotezee tu kimyq kimya japo nna ugwadu hatar maana nipo safarini zaidi ya mwezi na nusu nq bado km siku 10 mbele sijagonga popote
In short nipo dar kikazi, na ofisi yetu imetukusanya wawakilishi kutoka kila wilaya mtu mmoja. Wilayan kwangu nimetoka mimi.
Wilayan kwao katoka yy. Nlivyofanya sorting kura yangu ikamdondokea yy.
Nikatangaza nia naona nikapita kwenye senet yake vizuri tu. Juzi nlimchukua kwenye kimkweche changu nlichokuja nacho piga finga sana tu na romance kibao akaniahidi kunipa papuchi J2, ratiba zikaingiliana, akaniahidi jana, asa kumbe jana kampa appointment mtu mwingine. Jamaa nlikuwa naona kamtait toka tumeanza seminar sana sikumuuliza sana sikutaka kuharibu. Mm nlikuwa nafanya kisiri sana nawasiliana naye kwa simu tu, tena sms, tukitoka jion yy ndo huwa anapenda kupiga but sijawahi mpigia. Sasa inaelekea jamaa jana alibanfua dem, juz dem alipigwa simu so nikawa nimenunua mpya samsung ila sijamwambia, nlimdokezea tu kuwa unatakiwa upate simu mpya akasema hana hela, nikmwambia sio ishu tutaona namna.
Sasa dem jana alivoachiwa na mshkaji mida ya saa nne usiku akawa anapiga sikupokea, kaandika sms kama zote asubuhi ametafta simu ya rafiki yake akanipigia kabla sijafika sikuipokea, akaandika sms ikabindi niijibu.anauliza km tunawezatoka wote jion
1. Sasa nataka nimkaze alafu nisimpe kitu, then nikae kimya kama hapajatokea kitu.
2. Nimpe makavu nizire kidude chake.
3. Nimpotezee tu kimyq kimya japo nna ugwadu hatar maana nipo safarini zaidi ya mwezi na nusu nq bado km siku 10 mbele sijagonga popote