Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Wewe hapo upo kama nani maana shughuli ya kutafta namba sio ndogo! Upo maeneo hayo hayo nini?
Si unajua mambo ya serikali taasisi yetu huwa ni washiriki wazuri wa haya maonesho, nimechukua namba nyingi tu kama mdau alivyosema hapo wadada wengi mule ni single mother halafu wengi wana uhitaji wa hela kwa hiyo wakiona nembo kwenye sheti wanaloana na namba wanatoa.

Nimekula mdada wa vodacom mmoja, na jengo la Muhimbili hapa kuna mmoja namfuatilia kinouma alikuwa ana chura ni mke wa askari pia kuna mmoja pia shombeshombe wa kinondoni (huyu wiki hii namvua chupi) nitawapa picha ya paja lake tu 😄.

Wengine ni vitoto vidogo vidogo sema nimegundua wadada wengi wa mule ndani wanakaa sana kushoto mara kijichi, sijui mbagala, temeke n.K..
 
Back
Top Bottom