Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Mkuuu! Kwanza pole sana
Kama ni kweli huyo manzi ameshikiria msimamo mbali na yote uliyofanya, na uko na uhakika 99% kuwa ni mwanamke na hana mpenzi mwingine, basi mkuu tatizo sio ww...tatizo ni yeye.

Kuna manzi mwaka 2021, nilikua namfukuzia Arusha...nilitumia mbinu zote ninazozijua...zilivoisha zote bila mafanikio kwa miezi kama 8 hiv bas nikaamua kutumia mbinu ya KUTIA HURUMA[emoji1]

Hii mbinu ilifanikisha jambo langu japo nguvu kiasi pia zilihusika......lakin huwezi amini yule manzi nilipiga bao 1 tu, nikasingizia naumwa akaondoka. Manzi Alikua anatoa harufu ambayo HAIVUMILIKI.

Uyo manzi kwa nje kila aliemuona alimtamani, msafi wa mwili na mstaarabu, lakini papuchi kutoa hataki kumbe ana tatizo hataki mtu ajue anahisi mwanaume 1 akijua bas kitaa kizima wana wote watajua. Manzi alikosa amani hadi nilipohama ule mtaa.

Hakuna binadamu mtu mzima, anakula anashiba, ana akili timamu alafu asipende mizagamuo...si kweli

Hivyo hata kwako naamini uyo manzi yuko na tatizo

UNAVUMILIA KUKUBALIWA NA MWANAMKE KWA MIEZI 8.

HAKIKA UNA MOYO MKUU NA PEPO UTAIONA
 
Sio lazima umtie, usipoteze mda mreeeefu kwa manzi mmoja ambae haelekei! Tafuta chimbo lingine jifiche otherwise umemzimia ndomaan unakomaa ivo na hiyo itakutesa sana! Be a man bro, kama hataki achana nae! #Period#
Yeaah sometimes we have to learn in a hard way. Ni mwendo wa kupeana red pills tu
 
Oya nyie na hizi mmbo zenu mtakuja kubanwa pmb siku kuna fala nkamuon analetq hiz habar kwa manz yang nkampanga oya nkuachie mtot aw wako mazma anambwela mbwela mtakuj mbananishwe na mafuta ya mwamposa shaur enu mkila muwe mnawaoa sio wakaachike huko muwe ka wasng
yani wew sis mafuta ya mwamposa tunayatumia kuponya umasikin na maradhi wew unayatumia sodoma na gomola, shagalabaka shikarabawekavisimpopembeni
 
yani wew sis mafuta ya mwamposa tunayatumia kuponya umasikin na maradhi wew unayatumia sodoma na gomola, shagalabaka shikarabawekavisimpopembeni
Endlea kuyatumia si unajua alipo yatoa!? 😅Utaenjoi ngj mambo ya leak
 
Dahh, ila huu uzi asee [emoji1787][emoji1787][emoji1787], skuwah kuupitia hapa nimepita baadh ya comments tuu, kuna bwege alipuliza dawa ya mbu kwe chumba cha mtt wa watu ili akambandue tuu, dahh[emoji1787][emoji1787]
Huo uzi uko wapi mkuu...?
 
Ngoja nisikilize NGOMA za Farid kubanda ntarud baadae kukoment.........
Namaini Playlist yako haijazikosa hizi ngoma
Mwanamalundi
Ielewe mitaa
I am a Professional
Sihitaji Marafiki x Yvonne Mwale
Fid Q.com
Ripoti za mtaani x Zahir Zoro
Huyu na yule x Mr. Paul
Korasi x Goddess
Big Man x Goddess Rosa Lee
Mwanza mwanza
Ni hayo tu x Langa,Prof J
 
Mkuuu! Kwanza pole sana
Kama ni kweli huyo manzi ameshikiria msimamo mbali na yote uliyofanya, na uko na uhakika 99% kuwa ni mwanamke na hana mpenzi mwingine, basi mkuu tatizo sio ww...tatizo ni yeye.

Kuna manzi mwaka 2021, nilikua namfukuzia Arusha...nilitumia mbinu zote ninazozijua...zilivoisha zote bila mafanikio kwa miezi kama 8 hiv bas nikaamua kutumia mbinu ya KUTIA HURUMA[emoji1]

Hii mbinu ilifanikisha jambo langu japo nguvu kiasi pia zilihusika......lakin huwezi amini yule manzi nilipiga bao 1 tu, nikasingizia naumwa akaondoka. Manzi Alikua anatoa harufu ambayo HAIVUMILIKI.

Uyo manzi kwa nje kila aliemuona alimtamani, msafi wa mwili na mstaarabu, lakini papuchi kutoa hataki kumbe ana tatizo hataki mtu ajue anahisi mwanaume 1 akijua bas kitaa kizima wana wote watajua. Manzi alikosa amani hadi nilipohama ule mtaa.

Hakuna binadamu mtu mzima, anakula anashiba, ana akili timamu alafu asipende mizagamuo...si kweli

Hivyo hata kwako naamini uyo manzi yuko na tatizo
Mkiwakuta wananuka kama kweli mnawapenda muwe munawasaidia, hata kwa mawazo. Labda kama kulikua na shida ingine...
 
Hapa next door kuna mdada ni jiran angu…

Sasa ana dada yake anakujaga mara kwa mara namuona…

Huwa akija kila nikitoka na yeye namuona anatoka kijifanya anaosha osha hata vyombo au kudeki…

Leo nimetoka kusuuza vi glass na yeye akaja sehem ya kuoshea nilivyomaliza nikaondoka akaendelea kuosha…

Nikarud zangu ndani…Baada ya muda na yeye akarudi akaacha mlango wazi nikaona huu mtego huu nkajiongeza nikamgongea nikamwambia naomba tukae wote tupige stori akasema fresh nikazama!….

Nilivyoingia akawa anahema kwa shida mpaka nkawa namsikia… Hapo nilikuwa nimekaa kwenye kochi yeye kitandani…

Tukaongea ongea kidogo nkamwambia basi naomba nkuache ili akubali af nimwombe hug nianze harakati[emoji6]… Akasema mbona mapema hivyo kaa kaa kidogo nikarud kukaa…

Baada ya muda nikamuomba nikakae nae kitandani akakubali.. Nlivyoenda tukakaa kweli tukaongea ongea baada ya km dk 5 hivi nikaanza toches akasema nisimshike na hapo hapo sim ikaingia…

Akawa anaongea na shoga ake stori zenyew za kudiss wanaume malaya[emoji1787][emoji1787]… Kwenye maongezi inaonekana kuna mla masihara[emoji23][emoji23]kamtongoza huyo shoga af shoga ake kaolewa…

Aisee joto la mwili lilipanda ghafla[emoji26]af ukizingatia mdogo wake tunaheshimiana sana wakuu..

Nimesingizia joto nimerud chumban kwangu[emoji17].. Sitoki mpaka kesho asubuh af nawah kazini mapema sana nimechoma kambi[emoji23][emoji23]
Umefeli sana, Kama Ni kweli hayo Umesema yalikua yanafanyika maana yake alitaka uanzishe move.

Daima Mwanaume unapaswa utambue when to start your move, mlipokua mnakutana kutana hapo Kuosha osha ungeomba namba ungeanza taratibu kama rafiki, ungejenga trust yake siku chache kisha ule kimasikhara [emoji3][emoji3][emoji3]


Bado Hujachelewa. Una nafasi ya kuendeleza ulipofeli.
 
Namaini Playlist yako haijazikosa hizi ngoma
Mwanamalundi
Ielewe mitaa
I am a Professional
Sihitaji Marafiki x Yvonne Mwale
Fid Q.com
Ripoti za mtaani x Zahir Zoro
Huyu na yule x Mr. Paul
Korasi x Goddess
Big Man x Goddess Rosa Lee
Mwanza mwanza
Ni hayo tu x Langa,Prof J
Haujakosea mkuu😊😊
 
Wakuu kwema,
Mimi ni kijana ninaye jishughulisha na ufundi (electric device repair) hasa jana katika harakati zangu nikiwa oficin kaja dada mmoja ivi urefu wa wastani, rangi ya maji ya kunde, na kwa upande wa shep kajaaliwa haswa, kwa uzuri alonao nikabaki na mkodolea macho tu.
Dada: Mambo.....

Mimi: Poa, karibu.

Dada: Kaka samahani simu yangu imeharibika kioo haidisplay. (simu ndogo)

Mimi: Ah hakuna shida nipe niiangalie.
Basi nikaifungua nikaicheki kwenye kioo kweli nikakuta kioo kina shida baadhi ya njia zimekatika. Nikamuelekeza shida akadai nimwambie bei nikamwambia Kwa uzuri ulonao nitakufanyia 5,000.

Akawa anajichekesha na kusema sawa, asa ile namrudishia cm sijui bahati mbaya au nzuri hakushika vizuri simu ikaangukia ndani ya ofisi yeye akiwa nje mim ndani yaani tulitenganishwa na meza ilokuwepo pale ofisini ikigawa upande wa wateja nje na ndani ndo sehemu ya kufanyia kazi japo wote tupo ndani ya ofisi.
Nikamuokotea ile nampa akadai memory hamna, kwakua ilianguka kila kitu kilidondokea upande wake [emoji2][emoji2] nadhani mnafaham inavo kua. Ni kweli memory niliona ila ilipo angukia ndo kasheshe, katika jitihada za kumtafutia akawa analalamika basi nikamuomba aingie ofisin tusaidiane kutafuta. Kweli aliingia ila tafuta yake sikuielewa [emoji23][emoji23] eti kasimama anaangalia chini na mnavyo jua ofisi zetu hizi zina vitu vingi.

Memory hatukuiona na kwakua ilikua mida ya usiku ndo mda wa kufunga ofisi, nikamwambia dada labda niwahi j3 kukutafutia memory na kufanya mpango wa kutafuta kioo maana kesho (leo j2) hatufunguagi ofisi, kasema sawa japo kinyonge sana uku akilalama hana simu nyingin ya kutumia so siku nzima hatokuwa hewani.

Nikamwambia usijali kesho nitajitahidi kufanya mpango nije tu kwa ajili yako, kakubali nikampa begi anishikie on time nifunge ofisi, nikafunga Kanipa ile tunaagana kumbe wote uelekeo ni mmoja [emoji8][emoji8].

Ile story story za njian mind ikaji switch fasta kufanya shambulizi la story za kujaribu kugombea jimbo, Akaw anazingua zingua japo hakuonesh jibu la moja kwa moja kwamba kakubali au kakataa, nikafika sehem ya mimi kukatishia tukasimam nikamwambia chukua namba yangu (nilimwandikia kwenye karatasi) utanipigia ili nikujilishe kama nimefanikiwa kupata kioo ama bado, then tukaagan kila mtu kapita kivyake.

Leo sasa nikiw sina hili wala lile mida ya saa saba mchana, nipo zangu gheto kapiga simu (simu aliazima)

Dada: Mamb, m ni yule dada wa simu umefanikisha kioo?

Mimi: Hapana maana tunakofataga leo j pili hawajafungua.

Tukapiga story za hapa na pale mda wote akilalamika jamani simu yangu nimezoea kuchati nipo mpweke, basi nikawa nmbembeleza usijali kam vipi njoo nikupe company, akaanza ooh,, kwako mbali
( nilisha muelekeza) hatimae mwishoni hakukataa akasem saa kumi jua likipoa naja.

Basi mwamba nikalifanya geto likae mkao wa kupokea mgeni, saa kumi na nusu kapiga simu kwa kutumia namba ya bodaboda basi nikampa direction boda, baada ya dk kumi mtoto huyoo[emoji23], nikamlipa boda chake na kumvusha dem mpaka geto.

Usilolijua ni kama usiku wa giza.
Mwamba nikajitahidi kutumia kila njia ya ubaharia unayoifahamu ili nipate utelezi lakini wapi dem kakaza,

kwanza dem anadai kaja kupig story tu na si kingine,

Pili, ati tumejuana jana, leo natak tufanye mapenzi haitowezekana.
Hasira zikanipanda baada ya kuona demu yupo serious, nilitata kumzaba hata makofi coz hata nyenge zilikata, basi mwamba nika cool down na kuanza upya round hii nikanikiwa kutumia nguvu kidogo na kumpandisha mpak kitandani, hata brazia nilimvua kwa tabu sana japo sketi sikufanikisha, ile nashika kifua chake maziwa yakaanza kutoka, kuuliza eti ananyonyesha. Nikabaki nashangaa uku nisijue nini cha kufanya. Ikabidi nianze kuhoji maana hamu zangu zote zilikata coz sikutarajia kukutana na hi kam ile, nilicho gungua ..

Dem so mwenyeji wa maeneo haya (mbeya). Na anasiku tatu toka afike.
Anaishi kwa bibi ake ndo aliko fikia.
Kaja kufanya kazi japo bado hajaanza.
Mtoto wake anamiez nane na anamwachia moja ya modogo pale alipofikia.
Bwana ake alimtelekeza yeye na mtoto.

Kwa maelezo hayo alonipa nikaingiwa na hurum ya ghafla na kusitisha umafia nilotaka kumfanyia, japo m mwenyew najishangaa iweje hali iyo imenitokea kwa sababu ambazo hata iweje sijawah kuruhus dem aingie geto for the first tyme then atoke ivi ivi coz ni udhaifu mkubwa narudia tena ni udhaifu mkubwa wazee,

Basi sikua na namna akanipang kua siku akiridhia atanambia na kuja yey mwenyewe, nikamvalisha blazia yake na kumpa ela ya nauli then akaenda zake.

Lengo la kuleta uzi hapa ni kutaka kujua kama nimezingua au laa, maana kam nimezingua inabid nimrudie tena ili nirejeshe heshima ya uzi [emoji23][emoji23][emoji23],

Maoni yenu ni muhimu wana masikhara[emoji2][emoji2]
Kweli umekua gentleman ila sasa kwa akili za mademu lazima anajiuliza kama uko sawa[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Oya nyie na hizi mmbo zenu mtakuja kubanwa pmb siku kuna fala nkamuon analetq hiz habar kwa manz yang nkampanga oya nkuachie mtot aw wako mazma anambwela mbwela mtakuj mbananishwe na mafuta ya mwamposa shaur enu mkila muwe mnawaoa sio wakaachike huko muwe ka wasng
Oya ,unataka kumpiga pumb na mafuta ya mwamposa Tena,mbona vijana umevurugwa sana😄
 
Huyu manzi hataki hela mkuu, wala gari ashobokei,..

Nakumbuka nilichukua gari la msela nika enda tega njiani mida yake ya kazini nikamvizia njiani muda anaenda kazini kipindi cha mvua nika mpalift hadi kazini kwake nikajiongeza nikampa na kaela ka lunch kamsukume sukume ila hashobokei ma vitu ya anasa mkuu

Yani ni mgumu.

Nahitaji haya maji ya pande mlima ndugu yangu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ashakusoma kwamba ukila tunda lazima umpige chini
Huenda alishatendwa huko nyuma na akaumia hataki yamtokeee tena
Ndo wale unakuta anasubiri mume aliyepangiwa na Mungu
 
Dah huu Uzi nilikuwa nataman kuweka kisa changu ila nikawa nakosa time,ila kwa vile Niko mapumziko acha tu nimwagike kisa kimoja japo ninavyo vingi,

Mimi nimekula nyingi za kimasikhara ila ngoja niweke hiki cha juzi,

Kuna jamaa ni mshikaji wangu ile mbaya,Juzi kati mida ya saa 4 asubuhi aliniomba nimpeleke mke wake kwenye kikao Villa park,Jamaa yeye alikuwa ameondoka na gari ya mke wake Geita so Ikabidi aniombe Mimi nimpeleke mke wake kwa kuwa ana amini mim huwa sikosi gari hasa za washikaji,ikumbukwe mke wake yeye huwa boda boda hapandi wala tax,Nilihangaika kutafuta ndinga kwa washikaji nikakosa Ikabidi nimpandie jamaa hewani kumwambia nimekosa gari kama vip amwulize wife kama atapanda piki piki Niko tayari nikamchukue,Jamaa akanipandia hewan kuwa wife kakubali nikamchukue,

Nilivyofika pale hom kwa jamaa nikamkuta kashajiandaa,nikambeba tukasepa zetu haooo,,,kama dk 10 hivi tuko kimya Ikabidi nimsifie kwa kupendeza,akajibu asante,Mke wa jamaa ni kauzu alafu ana dharau ile mbaya,imagine licha ya ushikaj nilio nao na jamaa sijawah kuzoeana nae,,,!!

Kusema ukweli huyu Dada jamaa alipata,ni bonge la mtoto,na nilikuwa namumezea mate kitambo sana ila nikashindwa kuzoeana nae,Tukiwa tumefika pale Vila nikajitoa mhanga nikamsifia,,Una mapaja mazuri,,Akajibu ,Mmh Asante,,Aka ingia ndani mim nikarudi town,

Mida kama ya Saa 3 usiku nikiwa Niko zangu hom nasikiliza Sport Extra ya clouds FM jamaa akanipigia simu nimfuate wife!!,,Daah Kutokana na ushikaji tulio nao Ikabidi niingia stoo kutoa piki piki nika enda villa,Ile nimefika nikakutana naye anatokana ndani na kunifuata nilipo,alivyofika nilipo akaniegemea begani!,Ikabidi nimwangalie vizuri kama ni yeye,bahati nzuri nikakuta ni yeye,
Nikamwambia apande twende,alivyo panda tu nikahis kama ananuka pombe,Nika washa chuma (Boxer) tukasepa,ndani ya dakika tano nikaona mtoto Mara anishike kifua Mara aingize mkono ndani ya T-shirt Daah nikasema hapa sijui,nikawa najikaza nisimwonyeshe chochote,akahamia juu ya pensi anapitisha mkono juu juu,daah nikahis akili inataka kuhama,chuma kikasimama nikawa namsikilizia anavyo pumua kwa tabu sana,muda huo nasubiri nifike sehemu yenye Giza ili nisimame,bahati nzuri nikafika sehem kuna kigiza flani nikasimama pemben,muda wote huo nilikuwa na mim nampapasa mapaja kwa mkono mmoja huku mwingine nimeshika Sterling, nilivyo simama tu pemben ya barabara akatoa mkono juu ya pensi,Nikamwita,,,Shemuu,,,akaitika ile kichovu,,Abeee,,pale pale nikashuka nikamkalisha vzr pale juu ya piki piki,nikamtomasa kila pande mtoto kachemka ile mbaya,ingiza mkono ndani ya chupi ni maji tupu,nikachek huku na huku nikaona magari hakuna,nikamshusha juu ya piki piki nikaisukuma mpaka kwenye kakichaka,nikamrudia nikambeba mpaka kichakani,nikaona kama kichuguu flani nikampeleka pale juu nikamkalisha,tukaanza kula mate coz niligundua ndo kitu anapenda,huku tukiendelea kula mate kumbe mhuni naisogeza chupi pemben mazee Mana hizi min skirt wanazo zivaa siku hiz Hata sikuhangaika nilikuwa nishaipandisha juu siku nyingi,Nikamsukumizia pumbu Mara wazungu Hao nikaunganisha mtoto analia ile mbaya nikawa najitahid kumziba kwa mkono ili walioko road wasisikie,Naweza kusema sijawah kusex show tamu kama ile coz mtoto ni mzuri pia anajua anacho kifanya na kwa wakat,

Tulivyo maliza hakuna Hata aliye msemesha mwenzie ila sema nilimsaidia kumuinua na kumtoa majani then nikamuweka nywele Sawa alafu tukasaidiana kusukuma piki piki mpaka road tukasepa,njia nzima hakuna aliyemsemesha mwenzie,nilivyo mfikisha hom kwake mim nikamuaga ila hakuitika ila nikasepa hivyo hivyo,

Saivi ni kama zimepita wiki mbili na hakuna kinacho endelea kat yetu ila kuna namba ngeni huwa inatuma text nikimwuliza jina hataki kunambia,anajibu tu nilikuwa nakutakia mchana mwema au usiku mwema kipenzi,ila kwa utafit mdogo nilio Fanya nishagundua ni yeye,

Sasa kibarua kimebaki kwangu kila nikiwa na mshikaji nakosa kujiamin kiasi kwamba nahisi nimemkosea sana,Jana tulikuwa club akawa anamsifia wife wake nikawa nahis Yale maneno yananichoma Mimi kwa kitendo nilicho mfanyia jamaa kwa mke wake hasa ukizingatia bado wana mtoto mmoja wa miaka mwili.
Siyo yule muimbaji wa kwaya Aict ambaye mmewe anafanya kazi Ggm na Wana gari aina ya brevis?
 
Back
Top Bottom