Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuta hii stori imetungwa na mwanaume!Akishaliwa tena mniite
Kwenye huu uzi unacomment kwa kuibiaibia [emoji2]Sisi ilkua vipo bwenini na kwa wavulana vilkuwepo kusoma kwako govt usilete makasiriko hapa
Unashabikia nyuzi kama hizi ziwepo ili kuwarubuni watz wakija kushtuka hata kwenda kupiga picha bandarini ni marufuku 😄.Hizi ndio nyuzi sasa, sio Lisu sijui mbowe.
KwannKwenye huu uzi unacomment kwa kuibiaibia [emoji2]
🙄Brina ni wéwe, nitakukumbusha kitu ila simulia kwanza nikufaham vizuri. Uuuuuwiii sitasahau siku ileeeee 77 tulilala mahali flan hivi
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app