Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Ipo hivi jana majira ya usiku kama saa 2 hivi, nimetoka zangu job pande za Mwenge ,si ndio nikapanda daladala, vile napanda tu uso kwa uso na pisi kiukweli pisi yakwenda,mimi nashukia ubungo live sade kumbe yeye nae anashuka live, kwaiyo garI iliposimama tukashuka wote, si ndio mzee baba nikatupa mavoko mtoto akanielewa, nikampeleka kwanza cafe akapata msosi, mtoto bado, mtoto ziwa lipo, jamani acha tu, basi tukapiga msosi wetu tukatoka pale mpaka kwa room kuingia tu ndani akabaki kama alivyozaliwa, Ebwana ata sielewi nguvu nilizipata wp, jamani nimtam, mpaka leo mchana kanisalimia.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]riveside siyoo? Haya mkuu
 
Mambo vipi, poa, upo wapi.. nipo M....... kazini hapa, OK basi napitia kukusalimia. Basi poa sana karibu siku nyingi hatujaonana.
Hapo ni jamaa yangu ambaye nimempigia simu hatujaonana kitambo sana tangu tumalize school japo nilijua anaishi sehemu ile kutokana na magroup ya WhatsApp.
Hii ilikuwa jioni moja ya mwezi July mwaka huu.
Baada ya kufika pale nilikuta pisi moja matata sana ambayo ina ushombe fulani hatari sana na white hata nilipoisalimia nilisema mwarabu habari yako kumbe sio kabisa. Basi kwa muda mfupi sana nilimchangamkia as tunafahamiana kitambo sana.
Baada ya salam na story kadhaa (nyingi zikiwa memories mbalimbali si unajua kama mliishi kitambo na hamjaonana muda) za mshikaji wangu nikaamua kusepa. Wakati tunapiga story Ile pisi ilikuwa jirani na sisi kama mita 3 tu hivi kwahiyo wakati tunapiga mastory tunacheka sana na ile pisi nayo ikawa inafurahia ile moment yetu.
Basi kumbe mrembo alikuwa amemaliza mambo yake na alikuwa na rafiki yake alikuwa ndani nae akihudumiwa na staff mwingine.

Yule mrembo hakusita kuniuliza unaenda wapi na nikamjibu ninapoelekea. Kumbe na wao walikuwa wakimaliza mambo yao wanaelekea hukohuko. Akaniomba lift but pia kuniomba nimsubirie na rafiki yake nikasema hapa mambo ya rikiboy yanakuja.
Hapo nikatoka nje ya fence (ya waya) nikaingia kwenye gari kuwasubiri. Haikufika dk 5 basi yule mwenzie akatoka wakaja wakaingia tukaanza safari. Mjini ambapo tunaenda ni wastani 35km hivi basi tukawa tumefika na giza tayari.
Ajabu na kweli mitaa tunayoishi ni ileile mfano unapoenda Dar useme unaenda Chanika nae aseme Chanika maana mtaenda kutofautina mitaa midogo ya Chanika. Baada ya kufika yule mwenzake ndio alikuwa wakwanza kushuka na tukabaki wawili. Nilifanya uchokozi na michezo hatari sana kwenye gari mpaka akalalamika sasa umenivuruga nitapata tabu sana.
Nikamwambia basi ngoja nitafute sehemu, nilitafuta na tukamalizana vizuri sana. Mbali na uzuri wake wa sura na ngozi but ni msafi sana.
Hatukurudiana tena ila hapa nimetumiwa ka ujumbe kwamba nimemiss hatari tutaonana lini? Na ndio umenifanya nikumbuke nije humu.
 
Huu uzi utatuvunjia ndoa walaah

Nimetoka mbezi kwenda kukutana na baby mama kimara nafika kituoni nakutana na bonge ya demu mali kali nikasema ngoja nivunge tu kupanda bajaji tukapanda wote ila yeye ni mgeni yale maeneo kuna mtu alikuwa anawasiliana naye

Kushuka tukashuka pamoja si nikaanza kufanya yangu kufuata maujuzi ya humu ndani

Mtoto kaelewa akataka kubadili ratiba kabla sijamtaarifu baby mama kuwa nitachelewa maana nilitaka nikapige dali kikomo chap hammadi huyu hapa kumbe yule bi dada alikuwa mgeni wake wa ofisini kwake pale pale anakula utambulisho uliongozana na shemeji yako kumbe tukabaki kukenua meno na kucheka cheka tu
 
Huu uzi utatuvunjia ndoa walaah

Nimetoka mbezi kwenda kukutana na baby mama kimara nafika kituoni nakutana na bonge ya demu mali kali nikasema ngoja nivunge tu kupanda bajaji tukapanda wote ila yeye ni mgeni yale maeneo kuna mtu alikuwa anawasiliana naye

Kushuka tukashuka pamoja si nikaanza kufanya yangu kufuata maujuzi ya humu ndani

Mtoto kaelewa akataka kubadili ratiba kabla sijamtaarifu baby mama kuwa nitachelewa maana nilitaka nikapige dali kikomo chap hammadi huyu hapa kumbe yule bi dada alikuwa mgeni wake wa ofisini kwake pale pale anakula utambulisho uliongozana na shemeji yako kumbe tukabaki kukenua meno na kucheka cheka tu
Baba endelea ulipoishia[emoji1787]
 
Huu uzi utatuvunjia ndoa walaah

Nimetoka mbezi kwenda kukutana na baby mama kimara nafika kituoni nakutana na bonge ya demu mali kali nikasema ngoja nivunge tu kupanda bajaji tukapanda wote ila yeye ni mgeni yale maeneo kuna mtu alikuwa anawasiliana naye

Kushuka tukashuka pamoja si nikaanza kufanya yangu kufuata maujuzi ya humu ndani

Mtoto kaelewa akataka kubadili ratiba kabla sijamtaarifu baby mama kuwa nitachelewa maana nilitaka nikapige dali kikomo chap hammadi huyu hapa kumbe yule bi dada alikuwa mgeni wake wa ofisini kwake pale pale anakula utambulisho uliongozana na shemeji yako kumbe tukabaki kukenua meno na kucheka cheka tu
Hahaaaa, mkakenua meno na kucheka cheka tu
 
Huu uzi utatuvunjia ndoa walaah

Nimetoka mbezi kwenda kukutana na baby mama kimara nafika kituoni nakutana na bonge ya demu mali kali nikasema ngoja nivunge tu kupanda bajaji tukapanda wote ila yeye ni mgeni yale maeneo kuna mtu alikuwa anawasiliana naye

Kushuka tukashuka pamoja si nikaanza kufanya yangu kufuata maujuzi ya humu ndani

Mtoto kaelewa akataka kubadili ratiba kabla sijamtaarifu baby mama kuwa nitachelewa maana nilitaka nikapige dali kikomo chap hammadi huyu hapa kumbe yule bi dada alikuwa mgeni wake wa ofisini kwake pale pale anakula utambulisho uliongozana na shemeji yako kumbe tukabaki kukenua meno na kucheka cheka tu
Hakijaharibika kitu ongeza chorus wimbo ukamilikie
 
Mambo vipi, poa, upo wapi.. nipo M....... kazini hapa, OK basi napitia kukusalimia. Basi poa sana karibu siku nyingi hatujaonana.
Hapo ni jamaa yangu ambaye nimempigia simu hatujaonana kitambo sana tangu tumalize school japo nilijua anaishi sehemu ile kutokana na magroup ya WhatsApp.
Hii ilikuwa jioni moja ya mwezi July mwaka huu.
Baada ya kufika pale nilikuta pisi moja matata sana ambayo ina ushombe fulani hatari sana na white hata nilipoisalimia nilisema mwarabu habari yako kumbe sio kabisa. Basi kwa muda mfupi sana nilimchangamkia as tunafahamiana kitambo sana.
Baada ya salam na story kadhaa (nyingi zikiwa memories mbalimbali si unajua kama mliishi kitambo na hamjaonana muda) za mshikaji wangu nikaamua kusepa. Wakati tunapiga story Ile pisi ilikuwa jirani na sisi kama mita 3 tu hivi kwahiyo wakati tunapiga mastory tunacheka sana na ile pisi nayo ikawa inafurahia ile moment yetu.
Basi kumbe mrembo alikuwa amemaliza mambo yake na alikuwa na rafiki yake alikuwa ndani nae akihudumiwa na staff mwingine.

Yule mrembo hakusita kuniuliza unaenda wapi na nikamjibu ninapoelekea. Kumbe na wao walikuwa wakimaliza mambo yao wanaelekea hukohuko. Akaniomba lift but pia kuniomba nimsubirie na rafiki yake nikasema hapa mambo ya rikiboy yanakuja.
Hapo nikatoka nje ya fence (ya waya) nikaingia kwenye gari kuwasubiri. Haikufika dk 5 basi yule mwenzie akatoka wakaja wakaingia tukaanza safari. Mjini ambapo tunaenda ni wastani 35km hivi basi tukawa tumefika na giza tayari.
Ajabu na kweli mitaa tunayoishi ni ileile mfano unapoenda Dar useme unaenda Chanika nae aseme Chanika maana mtaenda kutofautina mitaa midogo ya Chanika. Baada ya kufika yule mwenzake ndio alikuwa wakwanza kushuka na tukabaki wawili. Nilifanya uchokozi na michezo hatari sana kwenye gari mpaka akalalamika sasa umenivuruga nitapata tabu sana.
Nikamwambia basi ngoja nitafute sehemu, nilitafuta na tukamalizana vizuri sana. Mbali na uzuri wake wa sura na ngozi but ni msafi sana.
Hatukurudiana tena ila hapa nimetumiwa ka ujumbe kwamba nimemiss hatari tutaonana lini? Na ndio umenifanya nikumbuke nije humu.
Hii imeenda
 
Back
Top Bottom