Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujawahi leta kisa chako humu embu fanya chapuShusheni visa watu tupige nyeto tulaleee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mm inafungua 10 comments per.. zaman kulikua na option ya kugungua mpaka 50 comments per page ila siku hizi sioni... hapa mm nina page elf 50 kasoroHuu uzi unatembea[emoji1544][emoji1544] Mara ya mwisho nilipita uko page 2023 leo 2500[emoji15][emoji1544]
Wazee wa kimasihara mpewe[emoji471]
Maisha yaendelee😂Visa vingine unaona kabisa ni chai muhimu unaburudisha
Aiseee noma sanaMm inafungua 10 comments per.. zaman kulikua na option ya kugungua mpaka 50 comments per page ila siku hizi sioni... hapa mm nina page elf 50 kasoro
🤣🤣Ukiifurahia sana fursa jua basi wewe ndio fursa.Isije ikawa wewe ndio embe dodo.Mjini shule.
Jamaa gani huyo?Ila yule mwamba aliyemla mama wa kihindi akazawadiwa na Tv smart yule ni kiboko manina
[emoji23]Dada mzuri tu hapa hospital nimetoka kumkamua jipu matakoni....baadae kaomba dawa za ukimwi ety zimemuishia ...vimebaki vidonge saba...kumanina nimeishiwa hadi nguvu za kuvua gloves mikononi
Mwingine wa kuitwa @mikitomikito aisee mbn simuoni humu once again , jamaa ana vituko haswa [emoji3]Hivi member wa kuitwa@lugumya alienda wapi simuoni siku hizikwenye hii thread.
Watakua wamebadilisha usernamesMwingine wa kuitwa @mikitomikito aisee mbn simuoni humu once again , jamaa ana vituko haswa [emoji3]
Ntumie namba zake pmOya mafisi kuna katoto ka 2005 tunafanyaje nakakwepa sana ila sasa naona too much baba ake tunafamiana vizur NB:sio mwanafunzi
NtakuzibuaOya mafisi kuna katoto ka 2005 tunafanyaje nakakwepa sana ila sasa naona too much baba ake tunafamiana vizur NB:sio mwanafunzi
Comment of the yearKIKAO CHA WANAUME.
Kikao cha wanaume kimeisha salama jana.
Kwa wale ambao hamkuweza kuhudhuria, kamati ya pesa na mahitaji tulitoa mapendekezo mapya.
Marejeo ya sheria ya kutohonga, kifungu cha 12, kilichokuwa kikisema hairuhusiwi kumpa hela mwanamke ambaye hujamuoa wala hujazaa nae.
Labda kwa shida maalum kama vocha ambayo anakupigia nayo mwenyewe..
Tumependekeza maboresho kadhaa..
Suala la kukutana ni la wote sio upande mmoja, hivyo kama mwanamke atataka kuonana na wewe, hana budi kutumia nauli yake kukufata..
Wakati wa kuondoka unaweza kumpa hela, lakini SIO LAZIMA.
Kikaoni pia tulizungumza kuhusu hela ya kutolea, na muafaka ukawa..
Kama wanataka hela ya kutolea basi waje nyumbani kuifata hela kamili, Tusiwanufaishe maboss wa Tigopesa na M-pesa tusiowajua.
Wale mabingwa wa jibu la "Kuna hela naisikilizia" wameongezwa katika kamati ya wajumbe waweka adhina..
Kila pesa ya chama chetu, itatunzwa na ubahiri wao,.
Adhabu kali itatolewa kwa wanaume wote ambao, walipotongoza na kukataliwa, wakaendelea kuwa na urafiki na mademu hao..
Kama amekukataa, futa namba na aache mazoea..
Sheria ya makosa yasiyosameheka, uhaini na jinai, yametanabaisha yafuatayo.
Kujibu kistaarabu text ya mwanamke anayekutafuta akiwa na shida pekee..
Kutomuazima mwenzio chumba, pale anapotaka kuleta manzi yake..
Kumkandia/ kumuaibisha mwanaume mwenzio, hili upendwe wewe..
Kulalamika, kulialia na kutia huruma inbox pale unapotumiwa text ya kuachwa.
Kumpokea kwa bashasha demu asiyefanana na snapchat yake,
Mwanamke ambaye kwenye edit za picha ni Rihanna, alafu live ni Josh Onyango, inasharutishwa aachwe stand ya daladala..
Upande wa pili..
Wale wadada ambao huwa wanatuambia wapo njiani wanakuja, hivyo kusabababisha sisi tufanye usafi wa kiwango kikubwa..
Na mwisho wa siku hawatokei, imependekezwa tuwaache mara moja bila kujali urembo wao..
Mjumbe aliyekumbwa na hali hii zaidi ya mara 1 aliuliza kwa jazba, "Kama hawawezi kuja gheto, kwenye harusi atakuja kweli?"
Mengineyo, tumefikia muafaka kuwa kama uwanja ni mkubwa basi Sharti ni kuzunguka round moja tu..
Yaliyoorodheshwa yafanyiwe kazi, Majukumu mema wanaume wenzangu.