yellow eyes
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 2,897
- 3,336
Na huyo bibi wa 50+ nae ulimkula?[emoji848]MOLA anisamehe tu kwakwel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na huyo bibi wa 50+ nae ulimkula?[emoji848]MOLA anisamehe tu kwakwel
Maisha ya ujana haya sirudii tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had bas, woiiiih
Songea kulikuchaaa.
Wee hebu sema kweli.Maisha ya ujana haya sirudii tena
Huu uzi uwekewe pin juu kule, uzi mkongwe nchini
Ukatili sana huu.Mwaka fulani hivi nilienda Songea nikawa nimefata huduma yangu ofisi za mkuu wa wilaya baada ya mazungumzo marefu na DC nikawa natoka njee ili niondoke wakati natoka kwenye viunga hivo nikamuona binti mzuri haswaaa anapita.
Akili ikaja huyu inabidi nimlambe nikamuita bahat nzuri akaja nikamuuliza unaenda ofisi gani akanielekeza baada ya kunielekeza ofisi ile nikajua pale kazi zao wanafanya bure wala hawaihitaji pesa ila ukikaa kindezi wanakupiga nikamwambia nenda pale ofisini wambie DC kasema mnisaidie ikishindikana nipigie wambie ww ni ndugu yangu na unaishi Kwangu
Bahat nzuri nilijua ratiba ya DC mda huo alikuwa anatoka kwenda kwenye mradi fulani
Bhas nikampa no nikaondoka baada ya dk chache no mpya ikapiga nipo zangu kwenye boda nikamtumia sms "tuma sms" baadae akatuma sms ndefu ya kunishukuru maana aliyokuwa ameambiwa mwanzo itamtoka si chini ya laki ila kwa amri yangu kafanyiwa bure sikumjibu mpaka jioni nikamuomba tukutane tupate japo soda kama anaweza akasema sawa ngoja angalie
Kwenye saa moja hivi jioni akapiga sikupokea nikamtafuta saa mbili uck akasema nilijiandaa ukawa hupokei nikamwambia sorry majukumu kidogo yalibana akauliza tunakutana wapi ikabidi nicheze kama Pele nikamwambia kwa hadhi yangu na cheo changu nikionekana maeneo ya wazi na ww itakuchafulia saana ww pia mm maana Chadema watatumia kama njia ya kunipasua kisiasa nikamuomba kama hatojali nitafute lodge au hotel njee ya mji tuongelee humo akasema sawa
nikaenda lodge niliyofikia nikatoa vitu vyangu nikahamishia mapokezi nikampanga nenda lodge fulani chumba no nne mm nikakaa njee ili nione kama ni mtego wa PCCB niwahi kuchimba nimekaa pale nikamuona anaingia nikamuomba anisubir ntakuja nimeingia saa sita usiku akawa ameshalala kulikuwa hamna story tena ni kunyanduana mwanzo mwisho na niliendelee mara kwa mara alivyorudi chuo dsm nikamwambia mm nishatumbuliwa nikiwa nampeleka lodge Tu za buku 10
Samahanini kwa mwandiko mbaya.
Leta na wewe chai Yako..... Maninaaachai OG
KabisaWee hebu sema kweli.
NoumaaahKabisa
Daaaaa kwann mkuuUkat
Ukatili sana huu.
Naona hata uandishi wako bado umelewaAsbh baada ya kutapika sann nikakona beki tatu nako kamesmkaa anafanya usafi nnje nikakaita bila hiyana kaja mbaya Zaid alivaa kanga moja
Amefika mlangoni akasema mbna nyumba hi Ina nukaa pombe nikamuambia nimetoka kutapika hatari
Nikamuambia embu njoo Mara moja Kuna kitu unisaidie kutoaannje. Eti nae kaingia nnikamnyanganya kanga nikakamata nikarusha kwenye kochi Cha ajabu nae ananipa ushirikisno eti ananiomba nimkamue Cha pili kwani hajaguzwa muda
Aloo nilimshonaa nikasema watu wengi wanatembee na nyge Sana
Kam atashika mimb itajulikan ukoo Wala sijali
Kamenono Sana alfu kazuri Kama kitashika mimba Niko tayri kulee mtoto wake bila shida
Nikachukua namb zake jioni ananicheki akasema Bo's katoka anatak Kuja kwangu bahat mbay nimetokaa Niko mjini asbh kesho nitakipiga kimoja ndipo niende kazini
Thanks
Pole mkuu ndo ukubwa huoHahaha samahanini wakuu nimeanza kwa kucheka lakini huku moyo wangu ukiwa kwenye masononeko kuna mkuu kalike moja ya kimasihara yangu huku niliwahi post 2021 baada ya kula malaya kimasihara nabadae vipimo kunichanganya na kuniacha nikiishi kwa hofu na kuapia sitorudia kuuza mechi ila binadamu tumeumbiwa kusahau mwaka huu Feb nimejichanganya kimasihara kwa lidem silielewi nikauza mechi baadae nakuja mpima baada ya kuuza gem anamoto tena moto kweli kweli aisee hapa ninaishi kwa hofu sanaa hii kimasihara itatuponza wakuu tujilinde sana NB niliwahi PEP within 8 hrs baada ya tukio namuomba Mungu anisaidie nitoboe maana sio kwa hizi stress asante sana
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mwaka fulani hivi nilienda Songea nikawa nimefata huduma yangu ofisi za mkuu wa wilaya baada ya mazungumzo marefu na DC nikawa natoka njee ili niondoke wakati natoka kwenye viunga hivo nikamuona binti mzuri haswaaa anapita.
Akili ikaja huyu inabidi nimlambe nikamuita bahat nzuri akaja nikamuuliza unaenda ofisi gani akanielekeza baada ya kunielekeza ofisi ile nikajua pale kazi zao wanafanya bure wala hawaihitaji pesa ila ukikaa kindezi wanakupiga nikamwambia nenda pale ofisini wambie DC kasema mnisaidie ikishindikana nipigie wambie ww ni ndugu yangu na unaishi Kwangu
Bahat nzuri nilijua ratiba ya DC mda huo alikuwa anatoka kwenda kwenye mradi fulani
Bhas nikampa no nikaondoka baada ya dk chache no mpya ikapiga nipo zangu kwenye boda nikamtumia sms "tuma sms" baadae akatuma sms ndefu ya kunishukuru maana aliyokuwa ameambiwa mwanzo itamtoka si chini ya laki ila kwa amri yangu kafanyiwa bure sikumjibu mpaka jioni nikamuomba tukutane tupate japo soda kama anaweza akasema sawa ngoja angalie
Kwenye saa moja hivi jioni akapiga sikupokea nikamtafuta saa mbili uck akasema nilijiandaa ukawa hupokei nikamwambia sorry majukumu kidogo yalibana akauliza tunakutana wapi ikabidi nicheze kama Pele nikamwambia kwa hadhi yangu na cheo changu nikionekana maeneo ya wazi na ww itakuchafulia saana ww pia mm maana Chadema watatumia kama njia ya kunipasua kisiasa nikamuomba kama hatojali nitafute lodge au hotel njee ya mji tuongelee humo akasema sawa
nikaenda lodge niliyofikia nikatoa vitu vyangu nikahamishia mapokezi nikampanga nenda lodge fulani chumba no nne mm nikakaa njee ili nione kama ni mtego wa PCCB niwahi kuchimba nimekaa pale nikamuona anaingia nikamuomba anisubir ntakuja nimeingia saa sita usiku akawa ameshalala kulikuwa hamna story tena ni kunyanduana mwanzo mwisho na niliendelee mara kwa mara alivyorudi chuo dsm nikamwambia mm nishatumbuliwa nikiwa nampeleka lodge Tu za buku 10
Samahanini kwa mwandiko mbaya.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Weee noma!
Mwaka 2017 nilijiteua kuwa katibu tawala msaidizi wa wilaya ya Bunda, cheo ambacho hakipo.
Niliichapa vizuri sana barua, font size 12!
Nikiigonga na mhuri wa Siri.
Ilisomeka
UTEUZI
Kwa mamkaka aliyopewa rais wa jmt, ninayofuraha kukutaarifu kuwa umeteuliwa kuwa katibu tawala msaidizi wa wilaya ya Bunda kuanzia tarehe, siikumbuki.
Unapaswa kutipoti Kwa katibu tawala wa mkoa ndani ya siku 14 Toka upate barua hii.
Hongera.
O.S
Kmk
Nakala Ras,
Kwa barua hii, siku tatu nikiwa udom kuchukua cheti nilikula mademu 5. Kulikuwa mwana nilimseti awe anawaonesha Ile barua, wakijua wamempata kigogo kumbe hewa.
[emoji16][emoji16][emoji16]Nakumbuka tuliwahi kodi kosta marafiki wa mtaani tunapofanyia biashara kwenda kwenye graduation ya mtoto wa mfanyabiashara hapa mtaani, basi tulienda tunakunywa na kufika tunakunywa na kurudi usiku kama saa 6 hivi tumelewa mbovu, njiani tukakutana na hiace imeharibika ikatulazimu kuwapa abiria lift manake ilikuwa usiku mkali, basi kuna kadada kanauzaga duka la nguo hapa mtaani kakaachia siti kwa mbibi mmoja kakanikalia, ila tumezoeana sana, kalivaa gauni, kunikalia tu jogoo akawika, kumgusa mbususu kametulia tu na tupo back seat, kiukweli nilifungua zipu na kenyewe kwa nyuma kakapandisha gauni, mie abdallah kichwa wazi ndani, dakika 2 nyingi wazungu hao, mpaka leo kanasemaga hakaamini nilikala kwenye kosta.
NB: Usiulize kama nilitumia zana.
Kimekurambaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha samahanini wakuu nimeanza kwa kucheka lakini huku moyo wangu ukiwa kwenye masononeko kuna mkuu kalike moja ya kimasihara yangu huku niliwahi post 2021 baada ya kula malaya kimasihara nabadae vipimo kunichanganya na kuniacha nikiishi kwa hofu na kuapia sitorudia kuuza mechi ila binadamu tumeumbiwa kusahau mwaka huu Feb nimejichanganya kimasihara kwa lidem silielewi nikauza mechi baadae nakuja mpima baada ya kuuza gem anamoto tena moto kweli kweli aisee hapa ninaishi kwa hofu sanaa hii kimasihara itatuponza wakuu tujilinde sana NB niliwahi PEP within 8 hrs baada ya tukio namuomba Mungu anisaidie nitoboe maana sio kwa hizi stress asante sana