Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Inawezekana ni kweli mbona ni wengi wa aina hiyo mkuu? % kubwa ya kimasihara huwa ni hivyo sema tunaipindisha. Kuna siku nimesafiri kwenye basi nakuja Dar akaja dada mmoja siti moja na mm. Yeye ndo kaanza kunichangamkia. Safari ilivyoanza tu akaniomba kaka samahani naomba nikuegemee. Nikashangaa kwanza anataka anilalie begani mwangu. Nikamruhusu, baadaye kidogo akawa analala kwenye mapaja yangu. Nikaona huyu malaya wazi wazi. Nikimwangalia kila sikio limetobolewa matundu manne alafu akavaa hereni kila tundu. Uvaaji wake kavaa sile jeans zenye kuchanwa chanwa magotini, ulimi kautoboa nao kavalisha urembo, usukaji wake wa nywele ni wa kimalaya malaya tuu. Tuliposhuka kupata chakula kaniletea soda... Wakati safari inazidi kukolea nikafanya jaribio la kupima oil kwa kupitisha mkono kwenye nyonyo naona katulia tuu, nikipitisha kiunoni katulia tuu. Nikasema huyu fala sana. Nikaomba namba kwa kumzuga ili aone kama namtaka alivyoshuka mbezi akaniacha mimi naenda ubungo. Nikadelete namba yake fasta
Usinge delete namba kuna wengine tunaitaka
 
Wiki iliyopita nikiwa jijini hapo nikafika taasisi flani ya serikali kupata huduma flani. Hiyo ofc nikatumia siku 3 hadi nakamilisha mishe zangu. Nikaelekezwa niende ofc husika, nikamkuta wadada wawili ila mmoja ndo mhusika wa ishu yangu. Akanielekeza mambo kadhaa nikaendelea na issues siku ikaisha. Siku ya pili nikaendelea nilipoishia jana yake, hapo ndo shida ilipoanzia. Nikaona ananiuliza au kunisemesha kirafiki sana hadi nikawa najiuluza mbona huyu kawa mwema sana kwangu. Kuna wakati document ya kuprint au kutoa copy ananitolea tu kwa mashine ya ofc, wakati wengine wanahangaika kwenda kutoa nje ya ofc.
Tukiwa tumeshapeana namba za sim mawasiliano ya hapa na pale yakaendelea. Hiyo siku ya 2 mpaka wanafunga ofc na mm ndo natoka, kumbe anaenda njia moja na mm. Sasa mm nimefikia lodge, ila yeye anakaa kwao ni mbali kidogo pembezoni mwa jiji la Dar. Nikawapa lifti yeye na rafiki yake, sasa ili kulipa fadhila nikaona niwasogeze kidogo.. basi mwamba nikawapeleka, alitangulia kushuka rafiki yake yeye akabaki. Sikutaka kumsumbua kabisa. Alipofika nikarudi ila akawa ameshajua nipo lodge.

Usiku mawasiliano yakapamba moto mara ananiulizia nafanya nn. Nikaona kama ana hofu isije kuwa nimejichukulia demu mtaani. Kesho yake namalizia issues zangu alinisaidia fasta nikamaliza mida ya saa 8. Yeye anatakiwa atoke saa 10. Akaniuliza leo lifti hatupati? Nikasema bado nipo hadi saa 10 sitawaacha. Muda ukafika haooo tukaondoka, alipofika rafiki yake, akasema ujue haijazoeleka kufika home mapema. Nikamwambia tupite sehem tupate hata kinywaji basi. Akakubali. Nikamwambia ww ndo unajua mitaa so nielekeze. Basi tukaenda. Tukapiga nyama choma za kushiba na vinywaji. Nikamwambia mi nasepa kesho mapema sana kabla ya mabasi. Akasema jamani ntakumisi, nikamwambia twende upafahamu nilipofikia. Akanipiga jicho flani la mshangao, akasema alaf utanirudisha tena huoni tunaongeza mzunguko tuu? Nikasema mi ndo mwenye gari, ndo mwenye kujaza mafuta na ndo dereva, wee hofu ya nn?
Basi mtoto akakubali.. tukaingia zetu room saa 1 usiku, nikajichapia usiku kucha na hakwenda tena kwao. Kilichonishangaza nilikuwa nawaza ataendaje kazini hana nguo za kubadili, laaa haulaaa, kumbe alikuwa na complete set ya nguo ya kubadili (chupi, tight, na nguo za juu full). Swali, alijuaje kama kuna uwezekano wa kutokurudi home?
Asubuhi nikamsindikiza job nikamwachia 40k, nikaendelea na safari. Mtoto mzuri sana ana miaka 25, ngozi nyororo, mtoto wa kiislamu, mtoto wa pwani na shape lake namba 8 mguu wa bia Shughuli anaijua akiifinya kwa ndani unahisi vibration mwili mzima. Sasa tunawasiliana anasema ana mchumba ila shughuli niliyompa imemfanya haoni hamu ya huyo mchumba.
Ameniomba nirudi Dar fasta
Chai ya sukari gulu
 
Sitoandika sana nisije nikapigwa ban, ila cha ushemejini kitamu sana.

Kiufupi iko hivi, wife kaona nimepoa sana ukali wangu na yeye akaanza kuja juu. Mwezi uliopita kikatokea kisa kimoja eti akaamua kuondoka akaenda kwao, kaniachia watoto nyumbani. Kizuri kuna house girl, nikasema wala sio kesi sababu ni wale housegirl wanaofanya kila kitu nyumbani, hadi nguo zangu anafua yeye.

Sasa wiki jana akaja mtoto wa mamdogo wake alikua anatokea Mkoa X, huwa wanaitana dada dada, lakini kiumri kazidiwa na wife

Mtoto mweupe bado mbichi bichi hivi. Kakaa pale nyumbani siku 2, siku ya 3 nmetoka zangu kupiga vyombo na wadau namkuta peke yake anaangalia Netflix sitting room yupo na nightdress, hizi pombe aisee, sijui ikawaje nashtuka asubuhi mtoto kalala kwenye kitanda changu, tukazimua kingine.

Sasa imekua kamchezo, na ni kitamu balaa. Nataman hata nimuache huyu wife.

NB: Hii ni CHAI ila haiondoi ukweli kwamba cha ushemejini ni kitamu sana
 
Back
Top Bottom