Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Kwema wadau, kuna mlimbwende kaingia kwenye kumi na nane zangu a.k.a wanaita kimasihara. Sasa baada ya wahind kutoka nikajikuta nagongana nae macho huku akiwa katabasam, ghafla kaamka kmya kmya kasepa. Hii imamaana gan?
Tabasamu la ushindi.

Bluetooth connected successfully kwenye grid ya taifa
 
Wakati wa kufika kileleni wanaume tunakuwa na sura za kuchekesha ...

Labda ndio sababu mkuu...
1723549605046.png

Ukute ndio sura ya mwamba akifika mshindo wake baada ya tako zake tatu😂😂😂😂.
 
Back
Top Bottom