Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale wanaosomaga stori za watu then wanasema chai naonaga ni matter call kama matter call mengine. Kuandika sio shughuli lelemama.MUENDELEZO0
KULA KIMASIHARA KULIVYOBADILI HADITHI NZIMA YA MAISHA YANGU....
Tuseme ni part 02........
_ Basi hatua ziliendelea kujongea mpka kufika chumba nilichokuwepo wakasimama ndipo kati ya wale wamama wawili mmoja akauliza " Ushampiga nusu kaputi??" Wanda akajibu "ndiyo"..
_Wale wamama waliovalia sare za kijesh sasa skujua ni jeshi gani sijui polisi sijui wanajeshi hawa wakata kujua kilichotokea ndipo wanda aliwasimulia mkasa mzima uliotokea huku akisisitiza kwamba mimi npo tofauti na vijana wa mtaani pale situmii madawa alafu pia ni mgeni so aliona kunisaidia itakuwa sawa sababu sina madhara kwenye kazi yao..
_Hapo ndipo nilishtuka sina madhara kwenye kazi yao? Kazi gani!!......
- nikiwa bado nimejifanya nimelala nmegeukia pembeni lakin nipo mwanzoni mwa kitanda tu nikageuzwa kuangalia juu yan kama nililazwa chali hivi alafu nikashikwa kiganja cha mkono wangu wakulia na mmoja kati ya wale wamama ni kama alikuwa anakagua kam kweli anachokisema wanda situmii madawa nadhani alikuwa anakagua kama nanyonga??
_ Alivyomaliza akahamia kushoto pia nikaguswa lips na mwanga kam wa tochi ya simu ukinimulika usoni hasa kwenye mdomo si mnajua ata ukifumba macho mwanga ukiwa karibu unaona kam rangi nyekundu angavu ndan ya macho...
-Niliweza kujikaza wakati hayo yakiendelea nikijua ni wamama tu endapo watatka kunifanyia jambo baya ntakurupuka na kukimbia mbioo nje nikitafta msaada so nilikuwa nawasikilizia tu....
_ Mmama mmoja akamuita Wanda na alitumia jina flan iv lakike amabalo baadae nilijua ndo jina lake wanda na sitalitaja humu [emoji23][emoji23][emoji23] akamwambia nenda kajiandae mda unakaribia....... alivyotoka wanda wale wamam wakaanza kupiga story yan kama umbea kuhusu sherehe walipotoka kabla ya kuja hapo.......
_ walikuwa wakiponda kamati ya ukaribishaji imefanya vibaya na wakifia kamati ya mapambo na kusema ngoja ifike kamati yao ambayo nilihisi ni chakula maana walikuwa wakisfia misosi waliyoandaa...... kumbe mda mfupi uliopita walitokea kwenye ukumbi wa harusi ya mjeshi mwenzao ambao katika kugawa kamati wakapata ya chakula...
Walikuja kama dharura baada ya kusikia nyumbani kuna ugeni wa watu wawili hvyo kama walitoroka. Dakika chache Wanda alirudi chumban kusema "tayari" na wale wamama wakasimama maana mmoja alikaa kweny kiti mda wanaongea mwingine alikaa juu ya ile meza wakaanza kuondoka ndani huku wakisema tutakakuta bado kamelala.......
Walivyofika nje nikasikia mlango wa chumban unafungwa kwa nje na walivyofika getini pia hvyo hvyo walifunga kwa nje wakapanda gari na wanda wakaondoka nikasema leo " Afwile Mundu kmmke yaani leo ndo ile siku nabakwa" [emoji23][emoji23]
-Nikasimama kutafakari kipi nifanye huku nachungulia durishani na kujaribu kufungua mlango nilihaha. Sikuwa na simu maan hata skupata nafasi ya kuichukua kwa alietushikia vitu mda tunaingia uwanjani. Nikaenda chooni kutafuta upenyo labda ntatoka ila ila nkapata jibu kwamba mim ni mpumbavu nilivyopata chance ya kukimbia kabla wale wamama hawajatoka ningeitumia na wasingenikamata..... nikawa mpole tu nikiangalia dirishani.....
_ baada ya mda flan ambao sikujua kabisa exactly ni kias gan maan skuwa nasaa ya kuangalia ila kwa kukadiria masaa matatu au mawili na nusu nikasikia geti kubwa la kwenye fence linafunguliwa na gari kupita lakin wakati huu watu walioshuka ilikuwa tofauti na nilivyofikiria.
_ Kwanza alishuka wanda upande wa dereva akashuka na mmama mmoja kati ya wale wawili upande wa pembeni ya dereva nyuma walishuka Wanaume wawili waliovalia suti nyeusi wakiwa wanapiga story na wote walikuwa na tabasam wanda akaongoza mbele kufungua geti la kuingilia ndani nao wakafata, nami nikatoka dirishani nikarud kitandani....
_ nikiwa na hofu nimejilaza kitandani pozi lilelile waliloniacha nalo wakafungua mlango wa chumbani nikawa naskia tu saut ya yule mmam akisema mwanaume gani huyu yaani limelala kweli mda wote. Kumbe walifunga mlango wakijua nikiamka sitakuwa nakwakukimbilia sas wanashangaa kunikuta bado nimelala..
Wale wauni wakafika kitandani nikawa naskia wanahesabu moja mbili tatu ghafla nikabebwa juu nikaekwa begani kwa mmoja akaanza kutembea na kutoka nje nikasikia alienibeba anauliza kwa sauti ""kwenye buti au nyuma ya gari"" Wanda akajibu ""nyumaa"" kisha nikawekwa siti za nyuma wakapanda na tukaondoka....
_ hakuna aliekuwa ananizingatia wakaendelea na story zao ndipo nikajua hii mijamaa na yenyewe ilikuwa kweny sherehe walikuwa wakiwasifia watu waliopendeza kwenye sherehe na matukio.... Lakin kilichonishangaza kila mtu anaetajwa basi mwanzoni hakukosi neno afande au cheo flan cha kijeshi.....
_ Tulifika sehem gari likasimama yule mama akasema muamshe huyo, aisee wazee nilikulaa kofi moja hiloo dadeky [emoji23][emoji23] nikajifanya nashtuka nashangaa nauliza niko wapi nyie wakina kwa uwoga daah wakaanza kunicheka huku wakisema Raia bhna [emoji16][emoji16]... yule mama akanambia yeye ndo mama ake mdogo wanda akasema nilisaidia sababu nilitaka kuuawa mpirani hivyo nisiseme chochote nilichokiona waka kukiskia[emoji2958] na akaniahidi kesho tutaongea vizuri ila niende kwanza nyumbani 🥲 nilifurahi kimoyo moyo daah wakafungua mlango nikatoka nje mbio kama sungura alieachiwa bandani [emoji38]......
Nafika home nakuta watu nje wamesimama kaka; shemeji; na baadhi ya masela ambao tulienda nao uwanjani, wanaongea ongea walivyoniona tu wakanikimbilia ... maswali mengi ulipigwa? mara umeumia!! Ulikuwa umekimbilia wapi??!! Nikawaambia tu niko poa wakasema kuna msela alipigwa yupo hospitali ya "zakhem" sijui kalazwa wengine waliumia lakini sio sana .... daah tulikaa pale nje kuongea ongeq baada ya mda nikawaaga nikaingia ndani kulala........
Nikiwa nauanza usingizi niliskia sauti ya broo akiniita kutoka sebuleni naambiwa una mgeni wako nje. Kufungua mlango wanda huyu apa..?? Maneno ya yule mama yalinijia kichwani kama flashback dadeky na kile kibao weee [emoji2][emoji2][emoji2] nikakataa kutoka nje maan alikuwa ananiomba nitoke tuongee...
_Lakini nilikubali akanambia tuende kwake tukaongee nikakubali tukatembea hadi geto kwake na mim ndo nilikuwa wakwanza kuingia kati ya masela wote pale kitaani.... bas kufika ndani hatukuongea kitu akanikumbatia tukakiss then mnajua kilichofata.... then akanambia anajua nimeskia kila kitu akanambia na nihatari kwa maisha yangu sikupaswa kujua vyote na uzembe wake kutonipiga nusu kaputi ila akasema atanambia ukweli ili nisiwe na wasi wasi kwanza ananipenda, pili hataki niishi kwa wasiwasi, pia nikijua ukweli nitajua kutunza siri.......
Akasema yeye hana wazazi wala ndugu wa damu na yule mama mdogo sio ndugu wa dam.. na yeye sio Tom boy ...... [emoji2962][emoji2962][emoji2962] nilishangaa kama wew ndugu msomaji....
_Akasema kuhusu wazazi wake sio kwamba hawajui, anawajua ila kwa sasa hawapo duniani.... Asiĺi yao ni Singida huko ambapo wazazi wake walikuwa ni ndugu kabisa wa damu yani kaka na dada ambapo mama yake alishika ujauzito akiwa na umri mdg miak 14 au 13 na ikagundulika ni ya kaka yake wa damu so ili familia kuondoa aibu ikawafukuza wote wawili kwenye ukoo na kuwaambia waende mbali na hawataki kuwaona....... Wanda aliyajua hayo kupitia baru aliyopewa baada ya kifo cha mama yake
_Walivyofukuzwa baba yake ambae ni kaka wa mama yake alikuwa na rafiki ake ambae tangu anampa mimba dada yake alikuwa akimwambia na walijua kitakachofata ni kufukuzwa; sas kama sehemu ya msaada akamwambia yeye (rafiki wa baba yake) alipata kibarua cha kazi ya ulinzi wa shamba la mZungu la mchele wilaya moja huko morogoro hivyo kama atapenda waende pamoja huko wakaanzishe maisha upya nayeye anaweza akapata hata kibarua cha kulima.....
na wakati huo mimba ilikuwa changa na huyo rafiki mtu alishaondoka ila alimuachia location husika means jina la kijiji na wilaya na jina la shamba maana mashamba makubwa huwaga na majina kutokana na wamiliki. So mda wanasubiria mimba iwe kubwa kubwa wafukuzwe na kweli ikawa hivyo...
_ kwakua alikuwa hawana Option safari ya kumfata rafiki mtu ikaanza kwa kuunga unga kwenye malori.. ni jambo ambalo walilitegemea so kaka mtu alijipanga kidogo kwa kuweka vihela na kuuza mashamba mawili kisiri siri ambayo alipewa na baba yake mzazi babu yake wanda ambae nae wakati huo hakuwepo duniani.....
_Mungu Si Arteta kafungwa kwa aibu jana na timu iliyokuwa nusu uwanjani[emoji1787][emoji1787] wakafika hadi kwenye shamba ila mhusika waliemfata hawakumkuta sijui ilikuwaje ila watu walisema hawamfahamu hadi mlinzi waliemkuta shambani pia alisema halijui jina la huyo.mtu [emoji58][emoji58][emoji58]
_ Tumaini lao lilikuwa ni hilo na mwnyeji wao hayupo ikabidi sasa waende ofisi za serikali ya mtaa wakajieleze maan hata wakisema waondoke wataenda wapi?? Na watapoteza hata ela waliokuwa nayo kuanzia maisha kwa nauli kwenda sehem wasioijua. Walisikilizwa na kama ilivyo Watanzania wakarimu wakapokewa wakapewa eneo japo hawakusema kama wao ni ndugu ila walisema walifukuzwa kwao sababu walitaja walioijua wao...
_ Maisha yalianza kam mke na mume mpka Wanda alizaliwa na alipewa jina ambalo nilikisikia yule mmama akimuita. Ila kwakua ilikuwq ni porini sana alikuwa maisha aliyoyajua ni shamba tu;; shule alisoma lakini ni zile za kijijini sana madarasa matatu tu mnaenda kwa kupokezana madarasa wanafunzi wachache mno na mkimaliza lasaba hakuna anaeenda sekondary hata mkifaulu ...
Wanda alisoma hapo mpka akamaliza lasaba na hawakujishughulisha kuangalia matokeo maan uwezo wa kusomesha sekondary hawana;;; sasa baada ya kumaliza la saba ukapita mwak mmoja akiwa tu anakaa nyumbani na huko.kijijini ni vile vijiji ambavyo ukikuta nyumba moja mpka kuikuta nyingine kubabake ni kaziii [emoji1787][emoji1787]
THE SADDEST PART OF THE STORY.....
- Wazazi wake walikuwa na tabia ya kutoka asubuh na kwenda shambani kisha yeye kubakia nyumbani siku nzima. SASA siku hyo kaamka asubuh akijua kuwa wazazi wake wameshaenda shambani kumbe baba yake alikuwepo ndani na mama yake alienda shambani mwenyewe ( kuna umbali sana kutoka nyumbni hadi shambani)... sasa kaamka asubuh na kanga yake kafagia uwanja kapika chai then akarudi ndani kujilaza akiwa anasinzia kutokana na chai ISIYO na sukari na kiporo
AKASHANGA kuona mtu anaingia chmbani kwake . Hakukuwa na mlango ila ni shuka tu imefungwa. Mara anamuona mzee wake akiwa uchi akimsogelea pale alipo lala yeye; sas akiwa anaload mafaili dingi namna gani ghafla mzaa alimvamia na kuanza kumshika mshika [emoji17][emoji17][emoji17] kutoka na kuzidiwa nguvu na mzee wake mzee alifanikiwa kumbaka binti yake sas wakati bado mzee yupo kazin hata kumwaga hajamwaga ila ngoma ipo ndani;; mara mama huyo mpka ndani akakuta tukio likiwa katikati[emoji54][emoji54][emoji54][emoji54]
Mama alishuka chini mzima mzima;; mzee akamuacha binti na kukimbilia chumbani na kuvaa shati na suruali ya kutambaa na kurudi kuanza kumpepea mke wake binti alimsaidia huku analia.
Mama alishtuka na kuanza kumlaumu mzee kwanini kafanya kitendo kam hicho huku analia kwa uchungu na akimlaum kuwa hata yeye alimbaka hivyohivyo:: mzee alikuwa akisema tu nisamehe baada ya vilio kutawala ndani humo baada ya mda kupita mama aliinuka na kwenda shamba la hapo nyumbani alilopanda mboga mboga na mihogo akafukua mihogo na mboga gani sijui na kumwambia binti aandae maana ndo chakula cha usiku......
_ ndani hakuna aliemsemesha mwenzake ukimya ulitawala sana;;; Wanda baada ya kuandaa akaanza kuntafta mama ili ajue wanapikaje hiyo mohogo na hiyo mboga mara mama akapotea akawa haonekani chumba chochote ndani humo baada ya kumtafta bila mafanikio ndipo wakamkuta nyuma ya nyumba kalala akiwa anatokwa na mapovu mdomoni....
Mama alijiua kwa kunywa sumu ya asili nahisi kutokana na mfadhaiko wa hilo tukio[emoji24][emoji24][emoji24]
Wanda aliacha kunihadithia na akaanza kutokwa na machozi namimi nilikaa kimya nikijua ni maumivu amabayo inabidi umuache mtu kidogo:: wakati nataka nianze kumbembeleza sijui alijua akaendelea kuhadithia
__ alivomuona mama pale alimuita baba yake huku akilia na akishikwa na hasira kubwa akijua kabisa sababu ya kifo cha mama yake ni lile tukio la mzee wake akajikuta anamchukia mzee wake palepale mzee alivofika baada ya kumuita sana na kumtikisa mke wake kuona haamki akatoka mbio kuelekea kijijini kuliko changamka:::
Baada ya mda kidogo mzee wake alifika akiwa na wazee kadhaa na wamam watatu akiwemo huyo mama yake mdogo wa sasa ( mjeshi alienipiga mikwara ):: ambapo hap0 ndo.ilikuwa mara ya kwanza kuonana yeye na Wanda...
Walivofika tu wanda akiwa out of control akaanza kushout uku akimwambia baba yake kuwa ""ntakuua umefanya mama amekufa lazima nikuue"" alisema hayo huku akimfata baba yake kwa hasira.. ikabidi wale wamam wamshike Wanda japo alikuwa na nguvu za ajabu huku akirusha mikono na miguu..... huku wakishangaa sababu ni nin mpaka atake kumuua baba yake kisa kifo cha mama yake
Baba yake alikuwa akisema tu nisamehe huku akilia na kujipiga kwa kusema nishaharibu;; walivofika wale wazee na huyo mama ake mdogo wa sas wakaanza kugusu mwili na wakajua ni kweli tayari alishafariki. Hivyo wakatoa kanga kumfunika.... zikapigwa simu kadhaa pale wakati huo....
KWA hali ya kushtukiza baba yake wanda aliingia ndani na akatoka spidi akitimua mbio akielekea porini. Walishangaa imekuaje ila kwakua ni msiba wakajua kafata mahitaji na isitoshe hawana ndugu pale...
Walikaa mpaka wakaja vijana kuuchukua mwili kuubeba kuusogeza eneo ambalo gari liliishia ili kuupakiza mwili wa mama.. ndipo wakakumbuka baba yake wanda hajarudi mpka wakati huo kiza kikianza kuingia... wakatuma vijana wawili ,;, walivyoenda mda mfupi kati ya wale vijan akarudi mmoja akikimbia kuita wazee waongozane nae kule na walipofika wakakuta msiba mwingine
_ baba yake Wanda nae kajitundikia kitanzi kajinyonga
Oyaaa wazeee ntaendelea ngoja kwanza nipate walau chai sikujua kuandika ni kazi hivi [emoji52][emoji52][emoji52]
ITAENDELEA
MADRID KAFUNGWA ILA MBAPPE KAWAFUNGA BARCA
SIMBA KAFUZU ... YANGA KASHINDA [emoji3][emoji3]
Sio poa fam sikujua kuandika ni kazi daah... alafu kila nikiandika natamani kila detail iliyotokea niiwekeWale wanaosomaga stori za watu then wanasema chai naonaga ni matter call kama matter call mengine. Kuandika sio shughuli lelemama.
Malizia icho kipande wazee tulale mapemaSio poa fam sikujua kuandika ni kazi daah... alafu kila nikiandika natamani kila detail iliyotokea niiweke
Sasa arteta akaingiaje hapa, tunyweshe tu tangawiziMUENDELEZO0
KULA KIMASIHARA KULIVYOBADILI HADITHI NZIMA YA MAISHA YANGU....
Tuseme ni part 02........
_ Basi hatua ziliendelea kujongea mpka kufika chumba nilichokuwepo wakasimama ndipo kati ya wale wamama wawili mmoja akauliza " Ushampiga nusu kaputi??" Wanda akajibu "ndiyo"..
_Wale wamama waliovalia sare za kijesh sasa skujua ni jeshi gani sijui polisi sijui wanajeshi hawa wakata kujua kilichotokea ndipo wanda aliwasimulia mkasa mzima uliotokea huku akisisitiza kwamba mimi npo tofauti na vijana wa mtaani pale situmii madawa alafu pia ni mgeni so aliona kunisaidia itakuwa sawa sababu sina madhara kwenye kazi yao..
_Hapo ndipo nilishtuka sina madhara kwenye kazi yao? Kazi gani!!......
- nikiwa bado nimejifanya nimelala nmegeukia pembeni lakin nipo mwanzoni mwa kitanda tu nikageuzwa kuangalia juu yan kama nililazwa chali hivi alafu nikashikwa kiganja cha mkono wangu wakulia na mmoja kati ya wale wamama ni kama alikuwa anakagua kam kweli anachokisema wanda situmii madawa nadhani alikuwa anakagua kama nanyonga??
_ Alivyomaliza akahamia kushoto pia nikaguswa lips na mwanga kam wa tochi ya simu ukinimulika usoni hasa kwenye mdomo si mnajua ata ukifumba macho mwanga ukiwa karibu unaona kam rangi nyekundu angavu ndan ya macho...
-Niliweza kujikaza wakati hayo yakiendelea nikijua ni wamama tu endapo watatka kunifanyia jambo baya ntakurupuka na kukimbia mbioo nje nikitafta msaada so nilikuwa nawasikilizia tu....
_ Mmama mmoja akamuita Wanda na alitumia jina flan iv lakike amabalo baadae nilijua ndo jina lake wanda na sitalitaja humu [emoji23][emoji23][emoji23] akamwambia nenda kajiandae mda unakaribia....... alivyotoka wanda wale wamam wakaanza kupiga story yan kama umbea kuhusu sherehe walipotoka kabla ya kuja hapo.......
_ walikuwa wakiponda kamati ya ukaribishaji imefanya vibaya na wakifia kamati ya mapambo na kusema ngoja ifike kamati yao ambayo nilihisi ni chakula maana walikuwa wakisfia misosi waliyoandaa...... kumbe mda mfupi uliopita walitokea kwenye ukumbi wa harusi ya mjeshi mwenzao ambao katika kugawa kamati wakapata ya chakula...
Walikuja kama dharura baada ya kusikia nyumbani kuna ugeni wa watu wawili hvyo kama walitoroka. Dakika chache Wanda alirudi chumban kusema "tayari" na wale wamama wakasimama maana mmoja alikaa kweny kiti mda wanaongea mwingine alikaa juu ya ile meza wakaanza kuondoka ndani huku wakisema tutakakuta bado kamelala.......
Walivyofika nje nikasikia mlango wa chumban unafungwa kwa nje na walivyofika getini pia hvyo hvyo walifunga kwa nje wakapanda gari na wanda wakaondoka nikasema leo " Afwile Mundu kmmke yaani leo ndo ile siku nabakwa" [emoji23][emoji23]
-Nikasimama kutafakari kipi nifanye huku nachungulia durishani na kujaribu kufungua mlango nilihaha. Sikuwa na simu maan hata skupata nafasi ya kuichukua kwa alietushikia vitu mda tunaingia uwanjani. Nikaenda chooni kutafuta upenyo labda ntatoka ila ila nkapata jibu kwamba mim ni mpumbavu nilivyopata chance ya kukimbia kabla wale wamama hawajatoka ningeitumia na wasingenikamata..... nikawa mpole tu nikiangalia dirishani.....
_ baada ya mda flan ambao sikujua kabisa exactly ni kias gan maan skuwa nasaa ya kuangalia ila kwa kukadiria masaa matatu au mawili na nusu nikasikia geti kubwa la kwenye fence linafunguliwa na gari kupita lakin wakati huu watu walioshuka ilikuwa tofauti na nilivyofikiria.
_ Kwanza alishuka wanda upande wa dereva akashuka na mmama mmoja kati ya wale wawili upande wa pembeni ya dereva nyuma walishuka Wanaume wawili waliovalia suti nyeusi wakiwa wanapiga story na wote walikuwa na tabasam wanda akaongoza mbele kufungua geti la kuingilia ndani nao wakafata, nami nikatoka dirishani nikarud kitandani....
_ nikiwa na hofu nimejilaza kitandani pozi lilelile waliloniacha nalo wakafungua mlango wa chumbani nikawa naskia tu saut ya yule mmam akisema mwanaume gani huyu yaani limelala kweli mda wote. Kumbe walifunga mlango wakijua nikiamka sitakuwa nakwakukimbilia sas wanashangaa kunikuta bado nimelala..
Wale wauni wakafika kitandani nikawa naskia wanahesabu moja mbili tatu ghafla nikabebwa juu nikaekwa begani kwa mmoja akaanza kutembea na kutoka nje nikasikia alienibeba anauliza kwa sauti ""kwenye buti au nyuma ya gari"" Wanda akajibu ""nyumaa"" kisha nikawekwa siti za nyuma wakapanda na tukaondoka....
_ hakuna aliekuwa ananizingatia wakaendelea na story zao ndipo nikajua hii mijamaa na yenyewe ilikuwa kweny sherehe walikuwa wakiwasifia watu waliopendeza kwenye sherehe na matukio.... Lakin kilichonishangaza kila mtu anaetajwa basi mwanzoni hakukosi neno afande au cheo flan cha kijeshi.....
_ Tulifika sehem gari likasimama yule mama akasema muamshe huyo, aisee wazee nilikulaa kofi moja hiloo dadeky [emoji23][emoji23] nikajifanya nashtuka nashangaa nauliza niko wapi nyie wakina kwa uwoga daah wakaanza kunicheka huku wakisema Raia bhna [emoji16][emoji16]... yule mama akanambia yeye ndo mama ake mdogo wanda akasema nilisaidia sababu nilitaka kuuawa mpirani hivyo nisiseme chochote nilichokiona waka kukiskia[emoji2958] na akaniahidi kesho tutaongea vizuri ila niende kwanza nyumbani 🥲 nilifurahi kimoyo moyo daah wakafungua mlango nikatoka nje mbio kama sungura alieachiwa bandani [emoji38]......
Nafika home nakuta watu nje wamesimama kaka; shemeji; na baadhi ya masela ambao tulienda nao uwanjani, wanaongea ongea walivyoniona tu wakanikimbilia ... maswali mengi ulipigwa? mara umeumia!! Ulikuwa umekimbilia wapi??!! Nikawaambia tu niko poa wakasema kuna msela alipigwa yupo hospitali ya "zakhem" sijui kalazwa wengine waliumia lakini sio sana .... daah tulikaa pale nje kuongea ongeq baada ya mda nikawaaga nikaingia ndani kulala........
Nikiwa nauanza usingizi niliskia sauti ya broo akiniita kutoka sebuleni naambiwa una mgeni wako nje. Kufungua mlango wanda huyu apa..?? Maneno ya yule mama yalinijia kichwani kama flashback dadeky na kile kibao weee [emoji2][emoji2][emoji2] nikakataa kutoka nje maan alikuwa ananiomba nitoke tuongee...
_Lakini nilikubali akanambia tuende kwake tukaongee nikakubali tukatembea hadi geto kwake na mim ndo nilikuwa wakwanza kuingia kati ya masela wote pale kitaani.... bas kufika ndani hatukuongea kitu akanikumbatia tukakiss then mnajua kilichofata.... then akanambia anajua nimeskia kila kitu akanambia na nihatari kwa maisha yangu sikupaswa kujua vyote na uzembe wake kutonipiga nusu kaputi ila akasema atanambia ukweli ili nisiwe na wasi wasi kwanza ananipenda, pili hataki niishi kwa wasiwasi, pia nikijua ukweli nitajua kutunza siri.......
Akasema yeye hana wazazi wala ndugu wa damu na yule mama mdogo sio ndugu wa dam.. na yeye sio Tom boy ...... [emoji2962][emoji2962][emoji2962] nilishangaa kama wew ndugu msomaji....
_Akasema kuhusu wazazi wake sio kwamba hawajui, anawajua ila kwa sasa hawapo duniani.... Asiĺi yao ni Singida huko ambapo wazazi wake walikuwa ni ndugu kabisa wa damu yani kaka na dada ambapo mama yake alishika ujauzito akiwa na umri mdg miak 14 au 13 na ikagundulika ni ya kaka yake wa damu so ili familia kuondoa aibu ikawafukuza wote wawili kwenye ukoo na kuwaambia waende mbali na hawataki kuwaona....... Wanda aliyajua hayo kupitia baru aliyopewa baada ya kifo cha mama yake
_Walivyofukuzwa baba yake ambae ni kaka wa mama yake alikuwa na rafiki ake ambae tangu anampa mimba dada yake alikuwa akimwambia na walijua kitakachofata ni kufukuzwa; sas kama sehemu ya msaada akamwambia yeye (rafiki wa baba yake) alipata kibarua cha kazi ya ulinzi wa shamba la mZungu la mchele wilaya moja huko morogoro hivyo kama atapenda waende pamoja huko wakaanzishe maisha upya nayeye anaweza akapata hata kibarua cha kulima.....
na wakati huo mimba ilikuwa changa na huyo rafiki mtu alishaondoka ila alimuachia location husika means jina la kijiji na wilaya na jina la shamba maana mashamba makubwa huwaga na majina kutokana na wamiliki. So mda wanasubiria mimba iwe kubwa kubwa wafukuzwe na kweli ikawa hivyo...
_ kwakua alikuwa hawana Option safari ya kumfata rafiki mtu ikaanza kwa kuunga unga kwenye malori.. ni jambo ambalo walilitegemea so kaka mtu alijipanga kidogo kwa kuweka vihela na kuuza mashamba mawili kisiri siri ambayo alipewa na baba yake mzazi babu yake wanda ambae nae wakati huo hakuwepo duniani.....
_Mungu Si Arteta kafungwa kwa aibu jana na timu iliyokuwa nusu uwanjani[emoji1787][emoji1787] wakafika hadi kwenye shamba ila mhusika waliemfata hawakumkuta sijui ilikuwaje ila watu walisema hawamfahamu hadi mlinzi waliemkuta shambani pia alisema halijui jina la huyo.mtu [emoji58][emoji58][emoji58]
_ Tumaini lao lilikuwa ni hilo na mwnyeji wao hayupo ikabidi sasa waende ofisi za serikali ya mtaa wakajieleze maan hata wakisema waondoke wataenda wapi?? Na watapoteza hata ela waliokuwa nayo kuanzia maisha kwa nauli kwenda sehem wasioijua. Walisikilizwa na kama ilivyo Watanzania wakarimu wakapokewa wakapewa eneo japo hawakusema kama wao ni ndugu ila walisema walifukuzwa kwao sababu walitaja walioijua wao...
_ Maisha yalianza kam mke na mume mpka Wanda alizaliwa na alipewa jina ambalo nilikisikia yule mmama akimuita. Ila kwakua ilikuwq ni porini sana alikuwa maisha aliyoyajua ni shamba tu;; shule alisoma lakini ni zile za kijijini sana madarasa matatu tu mnaenda kwa kupokezana madarasa wanafunzi wachache mno na mkimaliza lasaba hakuna anaeenda sekondary hata mkifaulu ...
Wanda alisoma hapo mpka akamaliza lasaba na hawakujishughulisha kuangalia matokeo maan uwezo wa kusomesha sekondary hawana;;; sasa baada ya kumaliza la saba ukapita mwak mmoja akiwa tu anakaa nyumbani na huko.kijijini ni vile vijiji ambavyo ukikuta nyumba moja mpka kuikuta nyingine kubabake ni kaziii [emoji1787][emoji1787]
THE SADDEST PART OF THE STORY.....
- Wazazi wake walikuwa na tabia ya kutoka asubuh na kwenda shambani kisha yeye kubakia nyumbani siku nzima. SASA siku hyo kaamka asubuh akijua kuwa wazazi wake wameshaenda shambani kumbe baba yake alikuwepo ndani na mama yake alienda shambani mwenyewe ( kuna umbali sana kutoka nyumbni hadi shambani)... sasa kaamka asubuh na kanga yake kafagia uwanja kapika chai then akarudi ndani kujilaza akiwa anasinzia kutokana na chai ISIYO na sukari na kiporo
AKASHANGA kuona mtu anaingia chmbani kwake . Hakukuwa na mlango ila ni shuka tu imefungwa. Mara anamuona mzee wake akiwa uchi akimsogelea pale alipo lala yeye; sas akiwa anaload mafaili dingi namna gani ghafla mzaa alimvamia na kuanza kumshika mshika [emoji17][emoji17][emoji17] kutoka na kuzidiwa nguvu na mzee wake mzee alifanikiwa kumbaka binti yake sas wakati bado mzee yupo kazin hata kumwaga hajamwaga ila ngoma ipo ndani;; mara mama huyo mpka ndani akakuta tukio likiwa katikati[emoji54][emoji54][emoji54][emoji54]
Mama alishuka chini mzima mzima;; mzee akamuacha binti na kukimbilia chumbani na kuvaa shati na suruali ya kutambaa na kurudi kuanza kumpepea mke wake binti alimsaidia huku analia.
Mama alishtuka na kuanza kumlaumu mzee kwanini kafanya kitendo kam hicho huku analia kwa uchungu na akimlaum kuwa hata yeye alimbaka hivyohivyo:: mzee alikuwa akisema tu nisamehe baada ya vilio kutawala ndani humo baada ya mda kupita mama aliinuka na kwenda shamba la hapo nyumbani alilopanda mboga mboga na mihogo akafukua mihogo na mboga gani sijui na kumwambia binti aandae maana ndo chakula cha usiku......
_ ndani hakuna aliemsemesha mwenzake ukimya ulitawala sana;;; Wanda baada ya kuandaa akaanza kuntafta mama ili ajue wanapikaje hiyo mohogo na hiyo mboga mara mama akapotea akawa haonekani chumba chochote ndani humo baada ya kumtafta bila mafanikio ndipo wakamkuta nyuma ya nyumba kalala akiwa anatokwa na mapovu mdomoni....
Mama alijiua kwa kunywa sumu ya asili nahisi kutokana na mfadhaiko wa hilo tukio[emoji24][emoji24][emoji24]
Wanda aliacha kunihadithia na akaanza kutokwa na machozi namimi nilikaa kimya nikijua ni maumivu amabayo inabidi umuache mtu kidogo:: wakati nataka nianze kumbembeleza sijui alijua akaendelea kuhadithia
__ alivomuona mama pale alimuita baba yake huku akilia na akishikwa na hasira kubwa akijua kabisa sababu ya kifo cha mama yake ni lile tukio la mzee wake akajikuta anamchukia mzee wake palepale mzee alivofika baada ya kumuita sana na kumtikisa mke wake kuona haamki akatoka mbio kuelekea kijijini kuliko changamka:::
Baada ya mda kidogo mzee wake alifika akiwa na wazee kadhaa na wamam watatu akiwemo huyo mama yake mdogo wa sasa ( mjeshi alienipiga mikwara ):: ambapo hap0 ndo.ilikuwa mara ya kwanza kuonana yeye na Wanda...
Walivofika tu wanda akiwa out of control akaanza kushout uku akimwambia baba yake kuwa ""ntakuua umefanya mama amekufa lazima nikuue"" alisema hayo huku akimfata baba yake kwa hasira.. ikabidi wale wamam wamshike Wanda japo alikuwa na nguvu za ajabu huku akirusha mikono na miguu..... huku wakishangaa sababu ni nin mpaka atake kumuua baba yake kisa kifo cha mama yake
Baba yake alikuwa akisema tu nisamehe huku akilia na kujipiga kwa kusema nishaharibu;; walivofika wale wazee na huyo mama ake mdogo wa sas wakaanza kugusu mwili na wakajua ni kweli tayari alishafariki. Hivyo wakatoa kanga kumfunika.... zikapigwa simu kadhaa pale wakati huo....
KWA hali ya kushtukiza baba yake wanda aliingia ndani na akatoka spidi akitimua mbio akielekea porini. Walishangaa imekuaje ila kwakua ni msiba wakajua kafata mahitaji na isitoshe hawana ndugu pale...
Walikaa mpaka wakaja vijana kuuchukua mwili kuubeba kuusogeza eneo ambalo gari liliishia ili kuupakiza mwili wa mama.. ndipo wakakumbuka baba yake wanda hajarudi mpka wakati huo kiza kikianza kuingia... wakatuma vijana wawili ,;, walivyoenda mda mfupi kati ya wale vijan akarudi mmoja akikimbia kuita wazee waongozane nae kule na walipofika wakakuta msiba mwingine
_ baba yake Wanda nae kajitundikia kitanzi kajinyonga
Oyaaa wazeee ntaendelea ngoja kwanza nipate walau chai sikujua kuandika ni kazi hivi [emoji52][emoji52][emoji52]
ITAENDELEA
MADRID KAFUNGWA ILA MBAPPE KAWAFUNGA BARCA
SIMBA KAFUZU ... YANGA KASHINDA [emoji3][emoji3]
Unaumia kutokea wapi kakaSasa arteta akaingiaje hapa, tunyweshe tu tangawizi
View attachment 3201204
Kama Inawezekana Kiongoz Story Nzuri Sana.Sasivi kaka
5hrs ago!!Sasivi kaka
Leta mwendelezo mzee babaUnaumia kutokea wapi kaka
Mkuu kwema ? Nina imani kuna mdau alikushauri upitie ubalozini kwao pengine wanaweza kuwa msaada. Naamini ulifanya hivyo na pengine ulishajua mahali pa kuanzia.Mkuu Emery paper
Kumbukumbu zangu alishaniambia wapo 3 kwao, wakwanza kaka ake yupo paris Ufaransa ni engineer alitaja kiwanda ckumbuki ila wa pili ni dadake ambaye alikua ni daktari Queens hospital kama sikosei ila mji ndo nimesahau yeye ni wa mwisho na alikua pia daktari,pale london na alikua anaishi na mama ake kwani Mzee wake alisha fariki,
Kipindi hicho ujana ilikua shida sikutilia umanaan sana wala kuuliza maswali kwani nilikua na mtu ambaye nilimpenda sana na isitoshe huyo dada nilimla kimasihara,sema swala la mtoto ndo linaniumiza kichwa kila napomkumbuka
Changamoto pia umbali na nchi yenyewe namna ya kufika huko au kama kuna mwana jamii forum anae ishi huko tuwasiliane dada ake anafanya kazi Queen hospital na anaitwa charlotte hudson
Ngoja waje Wazee wa kuchangamkia fursa.Kama upo Dodoma kuna MBUSUSU mmoja inajifanya NGUMU KUMEZA.Kimasihara imegoma na ina mguu wa bia nicheki ujaribu bahati yako
Haka choshi haka...... 😛
subiri kwanza usiendeleze story nipo kwenye maombolezo ya msiba wa wazazi wa wanda.MUENDELEZO0
KULA KIMASIHARA KULIVYOBADILI HADITHI NZIMA YA MAISHA YANGU....
Tuseme ni part 02........
_ Basi hatua ziliendelea kujongea mpka kufika chumba nilichokuwepo wakasimama ndipo kati ya wale wamama wawili mmoja akauliza " Ushampiga nusu kaputi??" Wanda akajibu "ndiyo"..
_Wale wamama waliovalia sare za kijesh sasa skujua ni jeshi gani sijui polisi sijui wanajeshi hawa wakata kujua kilichotokea ndipo wanda aliwasimulia mkasa mzima uliotokea huku akisisitiza kwamba mimi npo tofauti na vijana wa mtaani pale situmii madawa alafu pia ni mgeni so aliona kunisaidia itakuwa sawa sababu sina madhara kwenye kazi yao..
_Hapo ndipo nilishtuka sina madhara kwenye kazi yao? Kazi gani!!......
- nikiwa bado nimejifanya nimelala nmegeukia pembeni lakin nipo mwanzoni mwa kitanda tu nikageuzwa kuangalia juu yan kama nililazwa chali hivi alafu nikashikwa kiganja cha mkono wangu wakulia na mmoja kati ya wale wamama ni kama alikuwa anakagua kam kweli anachokisema wanda situmii madawa nadhani alikuwa anakagua kama nanyonga??
_ Alivyomaliza akahamia kushoto pia nikaguswa lips na mwanga kam wa tochi ya simu ukinimulika usoni hasa kwenye mdomo si mnajua ata ukifumba macho mwanga ukiwa karibu unaona kam rangi nyekundu angavu ndan ya macho...
-Niliweza kujikaza wakati hayo yakiendelea nikijua ni wamama tu endapo watatka kunifanyia jambo baya ntakurupuka na kukimbia mbioo nje nikitafta msaada so nilikuwa nawasikilizia tu....
_ Mmama mmoja akamuita Wanda na alitumia jina flan iv lakike amabalo baadae nilijua ndo jina lake wanda na sitalitaja humu 😂😂😂 akamwambia nenda kajiandae mda unakaribia....... alivyotoka wanda wale wamam wakaanza kupiga story yan kama umbea kuhusu sherehe walipotoka kabla ya kuja hapo.......
_ walikuwa wakiponda kamati ya ukaribishaji imefanya vibaya na wakifia kamati ya mapambo na kusema ngoja ifike kamati yao ambayo nilihisi ni chakula maana walikuwa wakisfia misosi waliyoandaa...... kumbe mda mfupi uliopita walitokea kwenye ukumbi wa harusi ya mjeshi mwenzao ambao katika kugawa kamati wakapata ya chakula...
Walikuja kama dharura baada ya kusikia nyumbani kuna ugeni wa watu wawili hvyo kama walitoroka. Dakika chache Wanda alirudi chumban kusema "tayari" na wale wamama wakasimama maana mmoja alikaa kweny kiti mda wanaongea mwingine alikaa juu ya ile meza wakaanza kuondoka ndani huku wakisema tutakakuta bado kamelala.......
Walivyofika nje nikasikia mlango wa chumban unafungwa kwa nje na walivyofika getini pia hvyo hvyo walifunga kwa nje wakapanda gari na wanda wakaondoka nikasema leo " Afwile Mundu kmmke yaani leo ndo ile siku nabakwa" 😂😂
-Nikasimama kutafakari kipi nifanye huku nachungulia durishani na kujaribu kufungua mlango nilihaha. Sikuwa na simu maan hata skupata nafasi ya kuichukua kwa alietushikia vitu mda tunaingia uwanjani. Nikaenda chooni kutafuta upenyo labda ntatoka ila ila nkapata jibu kwamba mim ni mpumbavu nilivyopata chance ya kukimbia kabla wale wamama hawajatoka ningeitumia na wasingenikamata..... nikawa mpole tu nikiangalia dirishani.....
_ baada ya mda flan ambao sikujua kabisa exactly ni kias gan maan skuwa nasaa ya kuangalia ila kwa kukadiria masaa matatu au mawili na nusu nikasikia geti kubwa la kwenye fence linafunguliwa na gari kupita lakin wakati huu watu walioshuka ilikuwa tofauti na nilivyofikiria.
_ Kwanza alishuka wanda upande wa dereva akashuka na mmama mmoja kati ya wale wawili upande wa pembeni ya dereva nyuma walishuka Wanaume wawili waliovalia suti nyeusi wakiwa wanapiga story na wote walikuwa na tabasam wanda akaongoza mbele kufungua geti la kuingilia ndani nao wakafata, nami nikatoka dirishani nikarud kitandani....
_ nikiwa na hofu nimejilaza kitandani pozi lilelile waliloniacha nalo wakafungua mlango wa chumbani nikawa naskia tu saut ya yule mmam akisema mwanaume gani huyu yaani limelala kweli mda wote. Kumbe walifunga mlango wakijua nikiamka sitakuwa nakwakukimbilia sas wanashangaa kunikuta bado nimelala..
Wale wauni wakafika kitandani nikawa naskia wanahesabu moja mbili tatu ghafla nikabebwa juu nikaekwa begani kwa mmoja akaanza kutembea na kutoka nje nikasikia alienibeba anauliza kwa sauti ""kwenye buti au nyuma ya gari"" Wanda akajibu ""nyumaa"" kisha nikawekwa siti za nyuma wakapanda na tukaondoka....
_ hakuna aliekuwa ananizingatia wakaendelea na story zao ndipo nikajua hii mijamaa na yenyewe ilikuwa kweny sherehe walikuwa wakiwasifia watu waliopendeza kwenye sherehe na matukio.... Lakin kilichonishangaza kila mtu anaetajwa basi mwanzoni hakukosi neno afande au cheo flan cha kijeshi.....
_ Tulifika sehem gari likasimama yule mama akasema muamshe huyo, aisee wazee nilikulaa kofi moja hiloo dadeky 😂😂 nikajifanya nashtuka nashangaa nauliza niko wapi nyie wakina kwa uwoga daah wakaanza kunicheka huku wakisema Raia bhna 😁😁... yule mama akanambia yeye ndo mama ake mdogo wanda akasema nilisaidia sababu nilitaka kuuawa mpirani hivyo nisiseme chochote nilichokiona waka kukiskia🤫 na akaniahidi kesho tutaongea vizuri ila niende kwanza nyumbani 🥲 nilifurahi kimoyo moyo daah wakafungua mlango nikatoka nje mbio kama sungura alieachiwa bandani 😆......
Nafika home nakuta watu nje wamesimama kaka; shemeji; na baadhi ya masela ambao tulienda nao uwanjani, wanaongea ongea walivyoniona tu wakanikimbilia ... maswali mengi ulipigwa? mara umeumia!! Ulikuwa umekimbilia wapi??!! Nikawaambia tu niko poa wakasema kuna msela alipigwa yupo hospitali ya "zakhem" sijui kalazwa wengine waliumia lakini sio sana .... daah tulikaa pale nje kuongea ongeq baada ya mda nikawaaga nikaingia ndani kulala........
Nikiwa nauanza usingizi niliskia sauti ya broo akiniita kutoka sebuleni naambiwa una mgeni wako nje. Kufungua mlango wanda huyu apa..?? Maneno ya yule mama yalinijia kichwani kama flashback dadeky na kile kibao weee 😃😃😃 nikakataa kutoka nje maan alikuwa ananiomba nitoke tuongee...
_Lakini nilikubali akanambia tuende kwake tukaongee nikakubali tukatembea hadi geto kwake na mim ndo nilikuwa wakwanza kuingia kati ya masela wote pale kitaani.... bas kufika ndani hatukuongea kitu akanikumbatia tukakiss then mnajua kilichofata.... then akanambia anajua nimeskia kila kitu akanambia na nihatari kwa maisha yangu sikupaswa kujua vyote na uzembe wake kutonipiga nusu kaputi ila akasema atanambia ukweli ili nisiwe na wasi wasi kwanza ananipenda, pili hataki niishi kwa wasiwasi, pia nikijua ukweli nitajua kutunza siri.......
Akasema yeye hana wazazi wala ndugu wa damu na yule mama mdogo sio ndugu wa dam.. na yeye sio Tom boy ...... 🤯🤯🤯 nilishangaa kama wew ndugu msomaji....
_Akasema kuhusu wazazi wake sio kwamba hawajui, anawajua ila kwa sasa hawapo duniani.... Asiĺi yao ni Singida huko ambapo wazazi wake walikuwa ni ndugu kabisa wa damu yani kaka na dada ambapo mama yake alishika ujauzito akiwa na umri mdg miak 14 au 13 na ikagundulika ni ya kaka yake wa damu so ili familia kuondoa aibu ikawafukuza wote wawili kwenye ukoo na kuwaambia waende mbali na hawataki kuwaona....... Wanda aliyajua hayo kupitia baru aliyopewa baada ya kifo cha mama yake
_Walivyofukuzwa baba yake ambae ni kaka wa mama yake alikuwa na rafiki ake ambae tangu anampa mimba dada yake alikuwa akimwambia na walijua kitakachofata ni kufukuzwa; sas kama sehemu ya msaada akamwambia yeye (rafiki wa baba yake) alipata kibarua cha kazi ya ulinzi wa shamba la mZungu la mchele wilaya moja huko morogoro hivyo kama atapenda waende pamoja huko wakaanzishe maisha upya nayeye anaweza akapata hata kibarua cha kulima.....
na wakati huo mimba ilikuwa changa na huyo rafiki mtu alishaondoka ila alimuachia location husika means jina la kijiji na wilaya na jina la shamba maana mashamba makubwa huwaga na majina kutokana na wamiliki. So mda wanasubiria mimba iwe kubwa kubwa wafukuzwe na kweli ikawa hivyo...
_ kwakua alikuwa hawana Option safari ya kumfata rafiki mtu ikaanza kwa kuunga unga kwenye malori.. ni jambo ambalo walilitegemea so kaka mtu alijipanga kidogo kwa kuweka vihela na kuuza mashamba mawili kisiri siri ambayo alipewa na baba yake mzazi babu yake wanda ambae nae wakati huo hakuwepo duniani.....
_Mungu Si Arteta kafungwa kwa aibu jana na timu iliyokuwa nusu uwanjani🤣🤣 wakafika hadi kwenye shamba ila mhusika waliemfata hawakumkuta sijui ilikuwaje ila watu walisema hawamfahamu hadi mlinzi waliemkuta shambani pia alisema halijui jina la huyo.mtu 😑😑😑
_ Tumaini lao lilikuwa ni hilo na mwnyeji wao hayupo ikabidi sasa waende ofisi za serikali ya mtaa wakajieleze maan hata wakisema waondoke wataenda wapi?? Na watapoteza hata ela waliokuwa nayo kuanzia maisha kwa nauli kwenda sehem wasioijua. Walisikilizwa na kama ilivyo Watanzania wakarimu wakapokewa wakapewa eneo japo hawakusema kama wao ni ndugu ila walisema walifukuzwa kwao sababu walitaja walioijua wao...
_ Maisha yalianza kam mke na mume mpka Wanda alizaliwa na alipewa jina ambalo nilikisikia yule mmama akimuita. Ila kwakua ilikuwq ni porini sana alikuwa maisha aliyoyajua ni shamba tu;; shule alisoma lakini ni zile za kijijini sana madarasa matatu tu mnaenda kwa kupokezana madarasa wanafunzi wachache mno na mkimaliza lasaba hakuna anaeenda sekondary hata mkifaulu ...
Wanda alisoma hapo mpka akamaliza lasaba na hawakujishughulisha kuangalia matokeo maan uwezo wa kusomesha sekondary hawana;;; sasa baada ya kumaliza la saba ukapita mwak mmoja akiwa tu anakaa nyumbani na huko.kijijini ni vile vijiji ambavyo ukikuta nyumba moja mpka kuikuta nyingine kubabake ni kaziii 🤣🤣
THE SADDEST PART OF THE STORY.....
- Wazazi wake walikuwa na tabia ya kutoka asubuh na kwenda shambani kisha yeye kubakia nyumbani siku nzima. SASA siku hyo kaamka asubuh akijua kuwa wazazi wake wameshaenda shambani kumbe baba yake alikuwepo ndani na mama yake alienda shambani mwenyewe ( kuna umbali sana kutoka nyumbni hadi shambani)... sasa kaamka asubuh na kanga yake kafagia uwanja kapika chai then akarudi ndani kujilaza akiwa anasinzia kutokana na chai ISIYO na sukari na kiporo
AKASHANGA kuona mtu anaingia chmbani kwake . Hakukuwa na mlango ila ni shuka tu imefungwa. Mara anamuona mzee wake akiwa uchi akimsogelea pale alipo lala yeye; sas akiwa anaload mafaili dingi namna gani ghafla mzaa alimvamia na kuanza kumshika mshika 😔😔😔 kutoka na kuzidiwa nguvu na mzee wake mzee alifanikiwa kumbaka binti yake sas wakati bado mzee yupo kazin hata kumwaga hajamwaga ila ngoma ipo ndani;; mara mama huyo mpka ndani akakuta tukio likiwa katikati😯😯😯😯
Mama alishuka chini mzima mzima;; mzee akamuacha binti na kukimbilia chumbani na kuvaa shati na suruali ya kutambaa na kurudi kuanza kumpepea mke wake binti alimsaidia huku analia.
Mama alishtuka na kuanza kumlaumu mzee kwanini kafanya kitendo kam hicho huku analia kwa uchungu na akimlaum kuwa hata yeye alimbaka hivyohivyo:: mzee alikuwa akisema tu nisamehe baada ya vilio kutawala ndani humo baada ya mda kupita mama aliinuka na kwenda shamba la hapo nyumbani alilopanda mboga mboga na mihogo akafukua mihogo na mboga gani sijui na kumwambia binti aandae maana ndo chakula cha usiku......
_ ndani hakuna aliemsemesha mwenzake ukimya ulitawala sana;;; Wanda baada ya kuandaa akaanza kuntafta mama ili ajue wanapikaje hiyo mohogo na hiyo mboga mara mama akapotea akawa haonekani chumba chochote ndani humo baada ya kumtafta bila mafanikio ndipo wakamkuta nyuma ya nyumba kalala akiwa anatokwa na mapovu mdomoni....
Mama alijiua kwa kunywa sumu ya asili nahisi kutokana na mfadhaiko wa hilo tukio😭😭😭
Wanda aliacha kunihadithia na akaanza kutokwa na machozi namimi nilikaa kimya nikijua ni maumivu amabayo inabidi umuache mtu kidogo:: wakati nataka nianze kumbembeleza sijui alijua akaendelea kuhadithia
__ alivomuona mama pale alimuita baba yake huku akilia na akishikwa na hasira kubwa akijua kabisa sababu ya kifo cha mama yake ni lile tukio la mzee wake akajikuta anamchukia mzee wake palepale mzee alivofika baada ya kumuita sana na kumtikisa mke wake kuona haamki akatoka mbio kuelekea kijijini kuliko changamka:::
Baada ya mda kidogo mzee wake alifika akiwa na wazee kadhaa na wamam watatu akiwemo huyo mama yake mdogo wa sasa ( mjeshi alienipiga mikwara ):: ambapo hap0 ndo.ilikuwa mara ya kwanza kuonana yeye na Wanda...
Walivofika tu wanda akiwa out of control akaanza kushout uku akimwambia baba yake kuwa ""ntakuua umefanya mama amekufa lazima nikuue"" alisema hayo huku akimfata baba yake kwa hasira.. ikabidi wale wamam wamshike Wanda japo alikuwa na nguvu za ajabu huku akirusha mikono na miguu..... huku wakishangaa sababu ni nin mpaka atake kumuua baba yake kisa kifo cha mama yake
Baba yake alikuwa akisema tu nisamehe huku akilia na kujipiga kwa kusema nishaharibu;; walivofika wale wazee na huyo mama ake mdogo wa sas wakaanza kugusu mwili na wakajua ni kweli tayari alishafariki. Hivyo wakatoa kanga kumfunika.... zikapigwa simu kadhaa pale wakati huo....
KWA hali ya kushtukiza baba yake wanda aliingia ndani na akatoka spidi akitimua mbio akielekea porini. Walishangaa imekuaje ila kwakua ni msiba wakajua kafata mahitaji na isitoshe hawana ndugu pale...
Walikaa mpaka wakaja vijana kuuchukua mwili kuubeba kuusogeza eneo ambalo gari liliishia ili kuupakiza mwili wa mama.. ndipo wakakumbuka baba yake wanda hajarudi mpka wakati huo kiza kikianza kuingia... wakatuma vijana wawili ,;, walivyoenda mda mfupi kati ya wale vijan akarudi mmoja akikimbia kuita wazee waongozane nae kule na walipofika wakakuta msiba mwingine
_ baba yake Wanda nae kajitundikia kitanzi kajinyonga
Oyaaa wazeee ntaendelea ngoja kwanza nipate walau chai sikujua kuandika ni kazi hivi 😐😐😐
ITAENDELEA
MADRID KAFUNGWA ILA MBAPPE KAWAFUNGA BARCA
SIMBA KAFUZU ... YANGA KASHINDA 😀😀
Aendele mkuusubiri kwanza usiendeleze story nipo kwenye maombolezo ya msiba wa wazazi wa wanda.