Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Ukiskia kula hasara ndio huku Wanawake sometime muwe mnajiongeza mwanaume kakutumia nauli umetoka Mwanza unakuja hadi Dar na kashakupanga kabisa unaelewa ulichokifuata ni nini unafika Dar unasema upo period matumizi yote hadi kurudi mwanza 500k no mzigo

Wanawake sometime msipende kutupa hasara wanaume, mwanamke alikuwa ananisumbua mwaka mmoja full usumbufu yupo mwanza, nikamwanbia nimekumiss njoo dar hata siku 2 na akaelewa kabisa anachokifuata anafika nipo period
Wasukuma mnashida gani lakini?
 
Huyu wala kidole simgusi nimetoka kubooking katarama hapa kesho anasepa fresh tu ila akisepa biashara imeisha maana alikuwa mkoani analia lia nimuowe na tokea Namfaham.hapa Dar alikuaa ananizungusha zungusha mchezo nikamwambia siwezi nunua gari sijalitest hiyo biashara haipo akaenda mkoani kufanya kazi ila bado ananisumbua sana nikamwambia akubali vigezo vyangu akakubali namtumia nauli anafika Dar nipo Period.. sasa nimemuuliza ulikuja kufanya nini
Bado anakuchezesha akili na ataendelea kukunyosha.
 
Huyu wala kidole simgusi nimetoka kubooking katarama hapa kesho anasepa fresh tu ila akisepa biashara imeisha maana alikuwa mkoani analia lia nimuowe na tokea Namfaham.hapa Dar alikuaa ananizungusha zungusha mchezo nikamwambia siwezi nunua gari sijalitest hiyo biashara haipo akaenda mkoani kufanya kazi ila bado ananisumbua sana nikamwambia akubali vigezo vyangu akakubali namtumia nauli anafika Dar nipo Period.. sasa nimemuuliza ulikuja kufanya nini
Umechukia sana bhana acha hizo.
 
Back
Top Bottom