Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Kweli kumá uisafirishe umbali wa km 1100! Hii akili au matope? Ushamba wa K utawaua na kuwafirisi vijana wajinga wajinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabidi ufungiwe na kamba nzuri na imara😅😜why umekata?piskali mamboo😉
Wasukuma mnashida gani lakini?Ukiskia kula hasara ndio huku Wanawake sometime muwe mnajiongeza mwanaume kakutumia nauli umetoka Mwanza unakuja hadi Dar na kashakupanga kabisa unaelewa ulichokifuata ni nini unafika Dar unasema upo period matumizi yote hadi kurudi mwanza 500k no mzigo
Wanawake sometime msipende kutupa hasara wanaume, mwanamke alikuwa ananisumbua mwaka mmoja full usumbufu yupo mwanza, nikamwanbia nimekumiss njoo dar hata siku 2 na akaelewa kabisa anachokifuata anafika nipo period
helow mremboo i love Youuuu
Mi staki Jamani 😅😅😅😅angeagiza hata lishangazi la JFUkome kuagiza bidhaa mikoani na wakati hapa Buza zipo. Shoga yangu Mwajuma yupo single wewe unge oda tu usafiri bure hadi magetoni.
We jamaaa DaahMkuu wanakuwaga waongo sana hao haoni tabu kuweka tomato sosi, weka kidole ulambe kuhakikisha kama ni kweli
Sasa kufidia hasara 500k unaicha vp, kula tu haramu.Sio michezo yangu mule
Sawa naitaka hiyo radhiAaah nitake radhi bn mimi mke wangu ndo ananipenda 😁
bahati mbaya mrembo usihofuInabidi ufungiwe na kamba nzuri na imara😅😜why umekata?
😂😂Safi mnasemaga dar hakuna wanawakeMama angetokea mburahati sawa nauli 3000 kwenda na kurudi mtu ametoka mwanza Go and return vip 220,000 kuspend hapa mjini 200,000 na mambo mengine imentoka laki 5 fanya masihara nini na mzigo sjapata
Bado anakuchezesha akili na ataendelea kukunyosha.Huyu wala kidole simgusi nimetoka kubooking katarama hapa kesho anasepa fresh tu ila akisepa biashara imeisha maana alikuwa mkoani analia lia nimuowe na tokea Namfaham.hapa Dar alikuaa ananizungusha zungusha mchezo nikamwambia siwezi nunua gari sijalitest hiyo biashara haipo akaenda mkoani kufanya kazi ila bado ananisumbua sana nikamwambia akubali vigezo vyangu akakubali namtumia nauli anafika Dar nipo Period.. sasa nimemuuliza ulikuja kufanya nini
Duh! Wanaweka tomato kwa mbususu...alooh hizo mbususu zinaingizwa vitu vingiMkuu wanakuwaga waongo sana hao haoni tabu kuweka tomato sosi, weka kidole ulambe kuhakikisha kama ni kweli
Muone 😅bahati mbaya mrembo usihofu
Mzee wangu huyu.nilitaka nimpe ndoa sema nishamjua ujinga wake akitoka hapa biashara imeishaBado anakuchezesha akili na ataendelea kukunyosha.
Ataisoma nambaDuh! Wanaweka tomato kwa mbususu...alooh hizo mbususu zinaingizwa vitu vingi
Hili ndio jibu.....sema kwa kuwa amepamisi dar na nauli kubwa amepata fala wa kupiga akakubali hivyo hivyo.au hajakupenda 😅😅😅
Nipe huyo mwajumaaaaUkome kuagiza bidhaa mikoani na wakati hapa Buza zipo. Shoga yangu Mwajuma yupo single wewe unge oda tu usafiri bure hadi magetoni.
Umechukia sana bhana acha hizo.Huyu wala kidole simgusi nimetoka kubooking katarama hapa kesho anasepa fresh tu ila akisepa biashara imeisha maana alikuwa mkoani analia lia nimuowe na tokea Namfaham.hapa Dar alikuaa ananizungusha zungusha mchezo nikamwambia siwezi nunua gari sijalitest hiyo biashara haipo akaenda mkoani kufanya kazi ila bado ananisumbua sana nikamwambia akubali vigezo vyangu akakubali namtumia nauli anafika Dar nipo Period.. sasa nimemuuliza ulikuja kufanya nini
hii pisi ninayo iona niwewe?😁😁😁Muone 😅
Ameshajua unampenda sana.Mzee wangu huyu.nilitaka nimpe ndoa sema nishamjua ujinga wake akitoka hapa biashara imeisha