nkanziga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 694
- 1,104
😂Ingiza kitu toa kitu, vivyo hivyo mpaka kinachotafutwa kipatikane.
Hahahah 😂 ila kujamiiana kungekuwa kunahusu kundi fulani tu la watu kungeonekana kama kitu cha ajabu mno😂😁🤣😅.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂Ingiza kitu toa kitu, vivyo hivyo mpaka kinachotafutwa kipatikane.
Hahahah 😂 ila kujamiiana kungekuwa kunahusu kundi fulani tu la watu kungeonekana kama kitu cha ajabu mno😂😁🤣😅.
Kuna omba omba Moja alikua maeneno ya mtaa wa Lindi aiseee alikua na magonjwa ngozi anatishaSawa mkuu ila nmeshtuka sana
We acha TU mzabzanVipi limekukurupisha asububi wakati bado wataka kuliwa kimasikhara?
Ni yule alievimba vimba anakaa kwenye wheelchair?Kuna omba omba Moja alikua maeneno ya mtaa wa Lindi aiseee alikua na magonjwa ngozi anatisha
Linawaka achaaaa...mvua zije tuuWe acha TU mzabzan
Yeye hata sura hamna ni ameumuka hivi asubuh wanamleta jioni wanaondoka naeNi yule alievimba vimba anakaa kwenye wheelchair?
Aise pole yake hivi serikali kupitia wizara ya afya wasiwasaidie hawa watu?Yeye hata sura hamna ni ameumuka hivi asubuh wanamleta jioni wanaondoka nae
Ndio mpk zije. Mana Kila mawingu yakijikusanya yanapotea. Anga linakuwa blue. Au asubuhi mawingu mchana doz ya moto Inaendelea.🙃🥲Linawaka achaaaa...mvua zije tuu
Kweli kabisa juu ni blue tupu.Ndio mpk zije. Mana Kila mawingu yakijikusanya yanapotea. Anga linakuwa blue. Au asubuhi mawingu mchana doz ya moto Inaendelea.🙃🥲
Yule Dr kijazi. Sio amestaafu Kweli?Kweli kabisa juu ni blue tupu.
Yule mama wa hali ya hewa hajajitokeza tuu
Miezi kadhaa hata mwaka unaweza ukaona kawaida ila usipotibu mapema unakomaaNshaogopa, dalili zinaanza kuonekana baada ya muda gani?
Kama waliopo vizuri kupata huduma za kawaida ni kipengele itakuaje Kwa hao ambao Wana changamoto mbali mbali?Aise pole yake hivi serikali kupitia wizara ya afya wasiwasaidie hawa watu?
Inasikitisha sana ndio maana mimi huwa kama nna kauwezo kidogo huwa siwapiti bila kuwapa chochote.Kama waliopo vizuri kupata huduma za kawaida ni kipengele itakuaje Kwa hao ambao Wana changamoto mbali mbali?
Kwahiyo nifanyaje mkuu kabla mambo hayajawa mengiMiezi kadhaa hata mwaka unaweza ukaona kawaida ila usipotibu mapema unakomaa
Acha kutisha watuUkiguswa tu hivi na akiwa na jasho jasho unao yaan hapo utatoka mafundo fundo mauvimbe au km una kinga mwili yenye nguvu utaona unaanza kuvimba viduara vinasambaa kwa kasi ya jet na ukikuna ndio unasambaza mwisho mwili mzima utakua na huo ugonjwa sasa tiba ni dawa ya kupakaa na kumeza maana ukipakaa bila kunywa dawa vinakua hujamaliza ugonjwa kwa hio lazima upige dozi Mwezi mmoja ila ukimaliza unakua na ngozi km Gwanda la JW ni mabaka mabaka mwili mzima
Mimi sikua huku nimefikaje uzi umehamishwa?Acha kutisha watu
Umeshaingia kwenye mfumo, tuliaaMimi sikua huku nimefikaje uzi umehamishwa?
Vipi umeshamchakata ?Niko bar flani hivi, iko kavu haina watu na kuna mhudumu naona ananitolea macho sana akipita kwangu anajichekesha tu.. niombeeni tu aelekee kibla nije kuwahadithia humu.