Ulishawahi kulazwa kituo cha polisi na mkeo?

Umeoa?
 
Mkeo alifanya uamuzi sahihi ila wewe na gubu lako ukashindwa kuelewa! Siku hiyo ulimpiga vibao asingeenda polisi kuna siku ungempiga na mwichi ukamuua kabisa.
Ikiwa hujawahi kukutana na ke wenye madharau ni rahisi kuwaza ulivyowaza.
 
Kwanza kabisa hakunaga mwanadamu mwenye uzoefu wa ndoa humu dunian wazee hilo msijidanganye. Watu wana uzoefu wa wanawake sio ndoa. Kuna mwanamke ukiwekwa nae chumba kimoja utavunja ukuta. Na Kwasababu kila mtu ana mke wake na Style yake ya kuishi nae pia. Ukipewa mke wa huyu hata kama umeishi na mkeo miaka 40 utaweza kukimbia vivyo hivyo na wewe mkeo ni wewe unaweza kuishi nae na kuna watu kuna wazee na ukongwe wao wanakuonea huruma. Mimi nilivyooa tu nikanunua bastola. Miaka kadhaa mbele akazingua nikapotea home wiki tatu hawakujua nilipo nilizima CM zote. Tangu cku hizo na leo kukwaruzana. Maana nilimwambia mbele ya mama yake, Cku ukizingua tena hata maiti yangu hutaiona. Ila cjawah kumpiga wala kumtukana. Mi ukiongea sana nateleza tu kama kitimoto narudi ukiwa umelala na naondoka ukiwa umelala.
 
Mi mwenyewe nimeshangaa binafsi nasapoti mke wake kumpeleka polisi alifanya ivo ili siku nyingine awe makini anapokutana na situation kama hiyo. Angeweza kuja kupata kesi ya mauaji
 
Yes, 4 days. Kwa sasa ameolewa. Namuombea tu azidi kufanikiwa.

She
4 days na Kwa sasa ameolewa. Namtakia kila la kheri
 
Sijawahi
 
Ila Lucha bhana ๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ