Ulishawahi kulazwa kituo cha polisi na mkeo?

Ulishawahi kulazwa kituo cha polisi na mkeo?

Kwanini uliwekewa mtego na wewe ukajaa ,ungetumia akili kuuchenga mtego wake..
Huwezi kusema hivi ikiwa wewe ni mwanaume usiyependa dharau za wanawake.

Kama aliniwekea mtego kwa kunidharau nilimuwasha na nilitengana naye.
 
Huwezi kusema hivi ikiwa wewe ni mwanaume usiyependa dharau za wanawake.

Kama aliniwekea mtego kwa kunidharau nilimuwasha na nilitengana naye.
Ukimnya ni jibu tosha kwa mwanamke pale anapokosea, siku nyingine jifunze kutokupigapiga hawa viumbe maana ipo siku atakufia na hautoamini kama kakufia
 
Ukimnya ni jibu tosha kwa mwanamke pale anapokosea, siku nyingine jifunze kutokupigapiga hawa viumbe maana ipo siku atakufia na hautoamini kama kakufia
Najua wapi pa kupiga ili asinifie, kukaa kimya ni kuruhusu mwendelezo wa dharau zake kwangu.

Nitampa kipigo kila atakaponidharau.
 
Back
Top Bottom