Ulishawahi kulazwa kituo cha polisi na mkeo?

Mkuu hapa Uliover react kwa kweli unless kuna mengine alikuwa anafanya ukaona hapo ndo pa kumalizia mchezo.....
 
Angalau hata kuna wanaume mko positive.
 
Mashangazi sometimes wanazingua...
Wanajua watu tuna njaa njaa za kingese sijui [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nika quit mapema kabisa sinaga mambo mengi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mdogo wangu wamama watakuua.
 
Mkuu hapa Uliover react kwa kweli unless kuna mengine alikuwa anafanya ukaona hapo ndo pa kumalizia mchezo.....

Mkuu ndoa zina mambo mengi, ila kupelekana polisi kwa mtazamo wangu niliona amefika mbali. Ndoa ikishaanza kufika sijui polisi, sijui ustawi wa jamii kwa mtazamo wangu ni taa nyekundu.
 
Wewe tena cheupe cheupe😂
Sawa cheupe, ulinifanya nikafanye ujasusi wangu maana nilihisi ni wewe umenshtukia. Ila kumbe badoo niko salama. 😁
Nitakupata tu, ngoja nikipata muda 😀
 
Mie niliwahi kuwekwa ndani polisi Kawe na baadae nikapelekwa mahabusu Segerea enzi niko Chuo Kikuu baada ya kumtukana Afisa Mkubwa wa Polisi aliyenizingua kwenye daladala. Niliyoyaona katika huo mchakato wa kuwekwa ndani na maisha ya Segerea kwa ujumla wake siku mke wangu akiniweka ndani nitamwacha na hata watoto niliyezaa nae nitamwachia. Sitataka ukaribu nae tena
 
Mke wako hana makosa, mwenye makosa ni wewe. Unaonyesha dalili za wazi kabisa kuwa alikuwa ameshajenga tabia ya kukufokea na alikuwa amesahakudharau; mwanamake hawezi akaibuka tu from nowhere kuanza kumfokea mume wake. Pengine hata hakuwa na kisirani cha kufikia kiwango hicho, ila wewe ndiyo ulikuwa umemlea na kumsababisha akajangea taba hiyo

Mwanaume ambaye ni kaa la moto, wala hawezi kupiga mwanamke na huwa hawapigi wake zao kwa sababu mwanamke mwenye mume wa aina hiyo, hawezi kudiriki hata siku moja kumfanyia mme wake, kile ambacho huwa kinasababisha wanawake wanapigwa na waume zao; sasa kwa mazingira ya namna hiyo, hapo wanaume atampiga mke wake saa ngapI? Labda kwa kumuonea tu; na wanaume kaa la moto huwa hawaonei watu, hata kama ni mwanaume mwenzake

Kwa hiyo umeleta mada humu jukwaani, ili iikitokea baadhi ya watu wakakushauri urudiane naye, uweze kumrudia si ndiyo?
 
Si mleta mada kasema hivyo, kuwa ugombi na mke wake ni kiasi cha pesa kilipelea cha kuweka dhamana kama milion 2 hivi ndiyo mimi kuuliza swali sasa [emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…