Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
This is very sad.Nilimwachia hata hako ka baby girl, sihitaji kuunganishwa kwa lolote na huyo mshenzi.
Asee, we noma sana. Maamuzi magumu haswa.Nilimwachia kila kitu akiwemo na mtoto mmoja
Hata hilo uwe makini nalo.Unaweza kuambiwa umemmega thumni yake kwa nguvu kwenye motokaa ukapelekwa jela.Mimi paka mahakaman paka mwanashelia tena mara 2 toka hapo Sina hamu na wanawake kifupi Akisha ni mbususu namsahau hapo hapo
Nilishakichukua mkuuHicho kibinti kichukue ukilee mkuu. Utakuja kunishukuru sana huko mbele ya safari!
We acha tuAsee, we noma sana. Maamuzi magumu haswa.
aseee kama wanawake awajakugusa na tukio unaweza ona mama ila wakikupiga tukio acha basiHata hilo uwe makini nalo.Unaweza kuambiwa umemmega thumni yake kwa nguvu kwenye motokaa ukapelekwa jela.
Kwer kabisaMimi paka mahakaman paka mwanashelia tena mara 2 toka hapo Sina hamu na wanawake kifupi Akisha ni mbususu namsahau hapo hapo
Wewe n mwogaUnaye "Kibatala" wa kukutetea? Ni hatari sana kuwataja wakuu hao kwa majina yao kabisa.
We mpuuziUliyekuwa ukimuita mkeo awe na chuki binafsi na wewe?
-Ulifanya kosa kisheria kumpiga.
-ulimpiga baada ya kuwa na hasira.
-mngeachwa mrudi wote nyumbani lazima/kuna uwezekano ungemkoyonga tena ndiyo mkatenganishwa.
NB;Kutupwa selo ilikuwa ni njia bora ya kuwatuliza wote wawili hasira ziwatoke akilini na mtafakari upya mambo yenu.Halafu,hukutaka kukubali moyoni mwako kwamba ulikosea kupiga. Na mwishowe ukaikimbia nyumba na kumtwisha lawama mtu unayemwita "mnyiramba" badala ya kulijutia kosa lako.Hadi mke anang'ang'ania umpe hela ambazo kiuhalisia yawezekana haukuwa nazo umeonesha huna uwezo wa kujieleza,kumshawishi mtu akuamini na kusuluhisha mambo kwa amani.
Bado sijakuzidi wewe kwa ujinga.Upo daraja la juu.We mpuuzi
Kama kuna mtu anapenda kunyandua wanawake mapolisi mimi ni wa kwanza.Dawa ni kuoa polisi mwenye cheo.
Namnyemelea Suzan Kaganda, akijaaa naoa kabisa
Sio kawaida kabisa, mtu akikupeleka polisi anakuwa ameshindwa tu kukuuwa utoweke duniani, hakufai asilan.Kawaida mbona,wanaume kuwekwa rumande na wake zao
Hiyo ndoa itaishia hapo..!! Ingawa inategemea na sababu..!! Yaani kaka yake ajihusishe na nyara za taifa halafu mimi nikamdhamini..!! Angetusua ningehusishwa? Mbaya zaidi jamaa alikuwa hana hela.SI kwamba anazo zimekaa tu sehemu..!!Kawaida mbona,wanaume kuwekwa rumande na wake zao
🤣🤣Hiyo hatariHiyo ndoa itaishia hapo..!! Ingawa inategemea na sababu..!! Yaani kaka yake ajihusishe na nyara za taifa halafu mimi nikamdhamini..!! Angetusua ningehusishwa? Mbaya zaidi jamaa alikuwa hana hela.SI kwamba anazo zimekaa tu sehemu..!!
Kwanini uliwekewa mtego na wewe ukajaa ,ungetumia akili kuuchenga mtego wake..Niliwekwa ndani na mke wangu baada ya mimi kugoma kutoa mchango wa kumdhamini kaka yake aliyekamatwa na pembe za ndovu.
Zilitakiwa milioni 5 kumdhamini kaka wa mke wangu, ndugu zake walijikusanya wakachanga milioni 3. Zile mbili zilizopungua mke wangu alikuja kuniomba nitoe hizo hela ili kukamilisha malipo ya dhamana.
Sikuwa na hiyo hela, nilimwambia wazi kuwa sina hela. Kilichotokea sasa baada ya kumwambia hivyo alinifokea kwa ukali akinituhumu kuwa nina roho mbaya na sipendi kusaidia ndugu zake Ila naweza kuhonga malaya tu huko mitaani.
Sikufurahishwa na hayo aliyoniambia so nilimfata na kumcharaza kwa vibao vitatu vya shavu ili kumshikisha adabu. Alipiga yowe la uchungu na kutoka baru akatokomea sijui wapi huko.
Baada ya kama lisaa limoja hivi nilipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kuwa ni polisi akinitaka nifike kituoni, nilishangaa Ila niliitikia wito.
Nilipofika kituoni mshangao wangu ukawa mkubwa zaidi baada ya kumkuta mke wangu yupo hapo na alifika hapo kuripoti kuwa nimemshambulia kwa kukusudia. Nilishindwa kujitetea maana ni kweli nilimpa Kichapo.
Afande aliyeshughurikia hayo malalamiko ya mke wangu alisema hawezi kulimaliza hilo suala muda huo maana ilikuwa ni saa mbili usiku, atalishughulikia kesho yake asubuhi. Afande alimtaka mke wangu arudi nyumbani Ila mimi sikuruhusiwa kurudi nyumbani bali nilitakiwa kulala hapo kituoni.
Muda mfupi baada ya mke wangu kuondoka niliamriwa na afande wa zamu kuvua viatu na mkanda wa suruali kisha nikasukumwa kwenye kachumba kasiko na dirisha wala taa nikawa nimelala polisi kwa mara ya kwanza.
Nililala kwa usiku mmoja tu, asubuhi tuliyamaliza mambo ya kipolisi kishikaji nikaachiwa huru asubuhi hiyo.
Nikiwa na hasira kali sikurudi home niliamua tu kuachana na huyo mwanamke wa kinyiramba.
Tuliowahi kulazwa polisi na wake zetu tujuane hapa.