Ulishawahi kulazwa kituo cha polisi na mkeo?

Nilimwachia hata hako ka baby girl, sihitaji kuunganishwa kwa lolote na huyo mshenzi.
This is very sad.

Hicho kimalaika cha Mungu kina makosa gani? Hata kama mamake ni mshenzi huwa tunachukua damu yetu na kuilea. Hicho kibinti kichukue ukilee mkuu. Utakuja kunishukuru sana huko mbele ya safari!
 
We mpuuzi
 
Mtu yeyote atakayenipeleka polisi na kuniweka ndani basi lazima awe adui yangu wa kudumu. Sina mshamaha na yeyote anayehusisha polisi tukikosana.
 
Kawaida mbona,wanaume kuwekwa rumande na wake zao
Hiyo ndoa itaishia hapo..!! Ingawa inategemea na sababu..!! Yaani kaka yake ajihusishe na nyara za taifa halafu mimi nikamdhamini..!! Angetusua ningehusishwa? Mbaya zaidi jamaa alikuwa hana hela.SI kwamba anazo zimekaa tu sehemu..!!
 
Kwanini uliwekewa mtego na wewe ukajaa ,ungetumia akili kuuchenga mtego wake..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…