AminAlhamdulillah.
Allah atamuaf insha Allah.
Asante mamy [emoji120]Pole dear sikulijua hilo Mwenyez Mungu aiimarishe afya yako
AsaalamAlhamdulillah.
Allah atamuaf insha Allah.
HahahaAisee shunie mm au shunierapa
Mzima weweAsaalam
shangazi kwani we ulimaanisha nini [emoji85] [emoji85]Shangazi kwani mambo gani unaongelea?
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Mimi mzima... mwambie Asprin asogee pembeni kuna kitu nataka nikuambie
Mzima wewe
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Hahaha... sio wewe nilimaanisha shunie [emoji16][emoji16]. Eti nikuamkie mimi mkubwa mkubwa wewe
Hahahahe he leo hii sawa
Nimeshamkumbuka Johnson mekiSijawahi muona
Lol.ngoja nimwambie.Mimi mzima... mwambie Asprin asogee pembeni kuna kitu nataka nikuambie
Halafu hizo tabia za kuanza kupimana na mimi umri umeanza lini vile![emoji2] [emoji2] [emoji2]
ni komenti namba ngapi.Ila pacha hebu hakikisha kwanza mbona kuna sehemu nimeona comment yake moja nikapata shaka na jinsia yake.
[emoji2] [emoji2]
Ameeenushindweee
Maana hachelewi kuniharibia huyoLol.ngoja nimwambie.
babu asprin sogea pembeni niambiwe kitu huku
[emoji18] [emoji18] nisamehe shemejiHalafu hizo tabia za kuanza kupimana na mimi umri umeanza lini vile!