Super women 2
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 5,164
- 6,540
- Thread starter
-
- #61
Embe tugombane basi na mimi. [emoji16][emoji16][emoji16]Kuna mtu alishasema ukitaka kumpata mwanamke aliyefunga pm humu gombana naye kisha atakuja pm kuomba msamaha.. akishakuja unaanzia hapo hapo.
Like nimekupa bwana shemeji. Nitakunyimaje wakati unataka ziwe nyingi uwe maarufu kama naniii
Hapo ndio ujue kwamba binadam tupo tofauti sana, unachowaza wewe sicho anachowaza yeye,na sicho anachowaza mtu mwingine inabidi tuvumiliane tuu hakuna namna.Sijawahi na siwezi ila nimewahi kuchukia baadhi ya kauli zao (nachukia kauli si mtoa kauli) iwe inanilenga Mimi au hata members wengine, kuna watu wanakauli chafu sana hawawezi eleze mawazo yao kwa ustaarabu
Shemeji nikikuchukia wewe basi dunia imekwisha.
How are you? Missed you.
HahahaWakupe like tu [emoji3][emoji3]
Mbona haujafunga pm anza kuifunga kwanza.Embe tugombane basi na mimi. [emoji16][emoji16][emoji16]
Mbona mimi ccm [emoji3][emoji3]We ukishakuwa CCM tu nakujua sikujui mi sikupendi
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Missed you too, karibu tena maana tulipoteana si kidogo mpaka nikawaza umepata chimbo jipya!
Tujue bhana...Alafu nikishasema?
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Mimi nawachukia watu saana humu. Mfano kuna mtu kacomment hapo juu nataka kutapika hapa.
Aptyuuu
Wengine bangi, si unajua Bangi,za kuvutia chumbani zinawachanganya mnoKuchukia hapana ila inafika mahali ukiona the way mtu anatoa comment juu ya topic inayojadiliwa, unashindwa kuelewa anamatatizo gani kwenye ufahamu wake.
Mkishajua...???Tujue bhana...
Huwa tunapata ahueni ya moyo unapotoa la moyoni
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Nipo shemeji, sijui nani anakuficha hivyo siku hizi.
[emoji6][emoji6][emoji6][emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Unamchukulia tu hivyohivyo. KiubishiubishiKawaida nyani huwa mbishi sana
TutulieMkishajua...???
KweliMtu humjui hakujui chuki ya nini?
Tupendane tuu .....kwani hakuna kinachopungua
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] anakukera niniKuna wengine wanakera kama Troll
Tuache unafiki kila mtu ana namna yake ya kumchukia mtu hata kama humjui..
Mfano: Huwa nachukia mtu wale wanaojiona ni manguli wa jukwaa fulani, na hao wanapatikana sana sana MMU, unakuta mtu kaanzisha uzi wake wa kuomba ushauri au msaada wa jambo fulani, mwisho wa siku wanatoke wale vihere here wanakuja kupindua mada husika na kuleta stori zao binafsi za kipuuzi ambazo kiuhalisia halikuwa dhumuni la mada husika..
Kiujumla wanawakwaza na kuwakasirisha watu kwa tabia zao za kilimbukeni.