Ultimate
JF-Expert Member
- Nov 29, 2016
- 739
- 1,888
Yani leo nimekosa furaha kabisa, nilikua natoka kwenye jengo moja la biashara hapa mjini, nikasikia mtu ananiita ulti.. Ulti... Dha! Kugeuka classmate wangu wa Secondary huyu mdada nilimpendaga kipindi kile tunasoma dha!, nilivyo maliza form 4 alinipotea mazima, mara ya mwisho ku chat nae ilikua kama 2016, ameniambia alikua Singapore, singapore anafanya kazi Bank moja hapa mjini kwa sasa.. Aise yani amekuja kipindi ambacho najiandaa kuingia kwenye ndoa yani nimekosa furaha kabisa ukweni nisha enda dha yani nikiwaza nakosa furaha.. Ameniambia alikua ananitafuta hakunipata. J2 kaniambia tukutane sina amani kabisa sijui huko mbeleni itakuaje.
Mpaka sasa najiuliza ni mm tu nilimpendaga Classmate wangu au ilishaga tokea kwenu pia'?
Mpaka sasa najiuliza ni mm tu nilimpendaga Classmate wangu au ilishaga tokea kwenu pia'?