Mtaje chapu kwa haraka.Kwa kuwataja humu ee...eheee wewe ni jasiri
Hivi ullishamtaja ee..nilimuona alikuja๐๐๐งโโ๏ธ๐งโโ๏ธ๐งโโ๏ธWapendwa so mmechagua kufaaa na tai shingoni inasikitisha.
Mtaje kwa wew rasmi kwenye huu uzi.kuna sehemu nilikubamba.haya mtaje chap tufunge mzizi wa fitinaMtaje chapu kwa haraka.
Nani alikuja hajaingia jf ana wiki sasa.Hivi ullishamtaja ee..nilimuona alikuja๐๐๐งโโ๏ธ๐งโโ๏ธ๐งโโ๏ธ
Expectations hurt ndugu ๐ ๐ ๐ ๐[emoji23][emoji23][emoji23] Mtu alini PM tukachat tuka fall in love siku ya kuonana Daaaaaa[emoji174][emoji174][emoji174][emoji174] nlichoka mwili na roho sio kitu nilichokitarajia tukaachana hapo hapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi Liza...nani sijui huko hajakutaja.na vipi Jack bila bila[emoji1][emoji1]hatari sana
๐๐Wapi huko mpendwa yule hata nadhubutu kumfungukia jukwaani.Mtaje kwa wew rasmi kwenye huu uzi.kuna sehemu nilikubamba.haya mtaje chap tufunge mzizi wa fitina
Inabidi jina langu liwekwe kwenye makabati yote ya jf[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa kuwataja humu ee...eheee wewe ni jasiri
Hivi yule uliemtag kwenye ule uzi mwingine hajatokea hapa akutag ๐ ๐ ๐ ๐ ๐This thread[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji119]
Wengine hadi Sasa bilabila mweeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila wewe ni pro wa kuunganisha matukio, fanya kuunga dots za Chakorii tumjue krashi wake anaesuuza moyo wake๐๐๐๐๐Inabidi jina langu liwekwe kwenye makabati yote ya jf[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tajeni jamani,acha kutufanya wenzenu tugeuke wapiga ramli.
Usione soo mtaje basi cha kufia nini๐๐๐๐Wapi huko mpendwa yule hata nadhubutu kumfungukia jukwaani.
Vunga sasa na wewe loh๐๐Nani alikuja hajaingia jf ana wiki sasa.
Kuwa wewe kuweza๐๐๐Usione soo mtaje basi cha kufia nini๐๐
Vipi ulimpea?!Nilimpenda yule kaka jamani nikiwa hata sijui anafananaje, nikiona ki-msg chake tu moyo wangu kwaatu naachia tabasamu mwanana, I'm thankful hata baada ya kufahamu sura yake halisi nashukuru sikujutia, We still good..!
yote mema..!!
Sawa mpendwa amini unachoona ndio.Vunga sasa na wewe loh๐๐
Wala sitosema kwa mtu kama nilimuona
Acha basi kukuangusha taifa mtakatifu...kaza we nae loh..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio uone jinsi dunia inavyonitenda jamani.
Yaani hadi mchumba wangu hajanitaja[emoji1787]
Halafu yule ashanichoka,akatafuta mwanamke mwingine mbele yangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasubiri tu anniversary ipite kwa kweli angalau tuwe tumemaliza japo kamwaka kwenye uchumba[emoji1787].
Huyo Lizarazu mweeee ni kaka yangu wa damu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Nilisema nimeiona avatar yake ikiyumba yumba lakini si kwenye huu uzi.
Huku bado hajaingia ila nilimuona sehemu fulani fulani hivi nikahisi harufu ya makopa kopa yanaanza kuota[emoji1][emoji1]hatari sana.
Akiingia humu nitafurahi sana [emoji3344][emoji3344][emoji3344]
Hahaha, shem hivi wewe huna hata mmoja unayemwangukia kweli! Naona unanishinikiza tu mimi๐Dah!!!Ninong'oneze hata mimi Shem
Kabla mdogo wangu hajaona[emoji23][emoji23][emoji23]
Nahisi NimeshampataNiache basi Karma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usiwe mfukunyuku.
๐๐๐๐๐mitaa ya kati huko mpendwa๐๐Wapi huko mpendwa yule hata nadhubutu kumfungukia jukwaani.