Ulishawahi kumpenda usiyemfahamu kwa sura?

Ulishawahi kumpenda usiyemfahamu kwa sura?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiisoma tu utajiona.
Ni yule crush wako niliyekupigia ramli[emoji16]

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Mtakatifu umeanza lini kona kona?yule nilishakwambia sio yeye jamani.niite kwenye hiyo comment aliyoiandika..usiseme kitu zaidi ya kuniita tafadhali..haya sasa unayonipa ni mateso bila chuki
 
Mtakatifu umeanza lini kona kona?yule nilishakwambia sio yeye jamani.niite kwenye hiyo comment aliyoiandika..usiseme kitu zaidi ya kuniita tafadhali..haya sasa unayonipa ni mateso bila chuki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ile comment ipo peupe mno aiseee..kwanini hujaiona?wakati imekaribiana na comments zenu wewe na Eli79

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ile comment ipo peupe mno aiseee..kwanini hujaiona?wakati imekaribiana na comments zenu wewe na Eli79

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Ok iko page ya ngapi..just do me a f... please
 
[emoji38][emoji38][emoji38] umemshikia bango dada wa watu.hufai[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sema macho yangu hayana pazia[emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi vitu huwa nashtukia tu nimeviona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Sema macho yangu hayana pazia[emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi vitu huwa nashtukia tu nimeviona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Yani humu inabidi mtu kuwa makini..ukishangaa shangaa hukawii kukuta mwandiko wako umelowana maji ya moto

😁😁
 
Back
Top Bottom