Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Haya mambo hayataki hasira kwa kweliKama hadi muda huu haujatajwa,my friend inuka tumsifu Bwana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Siajabu aliyekuwa akiuvuruga huu mtima hata hajijui maskini 🤭🤭Aiseeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Au ni yule jirani yako🥱
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Kunywa
Last seen yake ni April 9 tusimlaumuRRONDO naye kauzu[emoji1787][emoji1787]
Siku ile watu kibao wamemtaja ila hakutokea[emoji16]
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
😄😄kwakweliKama hadi muda huu haujatajwa,my friend inuka tumsifu Bwana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Ila mm nahisi nimetajwa huko juu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1]kwakweli
Basi kumbe nimemuonea bure[emoji120]Last seen yake ni April 9 tusimlaumu
Heee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siajabu aliyekuwa akiuvuruga huu mtima hata hajijui maskini [emoji2960][emoji2960]
Sasa yule jirani Yangu ndo wa yule nahisi ..Ehee yule.
Ndiyo mkuu.Haya mambo hayataki hasira kwa kweli
Mm nshawahi kulea na mtotoNishawahi mpenda mtu simjui ata sura, tukadate na kuaachana bila hata kuonana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mapenzi upofu kwahiyo hamna umuhimu wa sura [emoji23]
😅😅😅😅😅Unahudumia mtoto usiyemuona pia,baba wa kambo ulikuwa na balaaahMm nshawahi kulea na mtoto
Haha, bwana mimi nilikuwa natania tu kuchangamsha kijiwe. Niliyemzimikia nilishamwambiaga mda tu, akanipipa buyu la mwaka. So ndio hivyo unapenda usipopendwa.😪😪😪😪Wewe si ndiyo umeanza kusema Shem? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi crush wangu anajijuaHaha, bwana mimi nilikuwa natania tu kuchangamsha kijiwe. Niliyemzimikia nilishamwambiaga mda tu, akanipipa buyu la mwaka. So ndio hivyo unapenda usipopendwa.[emoji25][emoji25][emoji25][emoji25]
Habari hizi wazipate wadau wa uzi huu; Karma, Chakorii, Saint Anne, Heaven Sent. etc
Espy [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]Hakuna kwenda PM, malizaneni hapa wote tusome. Kama yupo unamhisi just sema tu...Ila ni ngumu kumjuaaaa
He he he.. Kumbe anajua? Basi tuishie hapa.Haha, bwana mimi nilikuwa natania tu kuchangamsha kijiwe. Niliyemzimikia nilishamwambiaga mda tu, akanipipa buyu la mwaka. So ndio hivyo unapenda usipopendwa.[emoji25][emoji25][emoji25][emoji25]
Habari hizi wazipate wadau wa uzi huu; Karma, Chakorii, Saint Anne, Heaven Sent. etc