ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Espy kafanyaje tena!Espy [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Espy kafanyaje tena!Espy [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Hatuwezi kuishia hapa kama ulinishinikiza kutaja halafu wewe una mute! Crush wako wa moyoni tumjue😋He he he.. Kumbe anajua? Basi tuishie hapa.
Habari za wakati huu wakuu.
Wakuu hadi naandika hapa binafsi huwa natokewa na hali hii for instance, kupitia mitandao ya kijamii mfano, hapa JF kupitia mada au comment za mtu unaweza jikuta unampenda mtu usiemfahamu.
Mara kadhaa hali hii huwatokea watu na ushahidi anao kila aliewahi kutokewa na hali hii. Note: sio lazima umpende kimapenzi japo inatokea kuna wengine anapenda tu japo aone comments zako au kila anapoingia online lazima apitie profile kwako au timeline yako.
Mbaya zaidi sasa, watu wanaogopana sana humu ndani kiasi kwamba hata ukivutiwa nae au amevutiwa na wewe unapata/anapata shida anaanzanje/unaanzaje kumuaminisha kuwa wewe ni mtu mwema kwake na huna nia ovu.
Mkijitahidi sana mtachat PM akiona niaje niaje anakupiga block kimasihara. Offcoz nafahamu wapo wengi wenye mgongano wa aina hii ya kuvutiwa na baadhi ya watu hususani humu ndani watatoa ushuhuda hapa.
Ninae mpenda akisoma hii thread atajijuwa. Na naomba usione soo mama njoo PM niambie nitakupokea kwa mikono miwili. Huwezi juwa huwenda mimi ndo fungu lako!
Au nasema uongo ndugu zangu?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Espy kafanyaje tena!
Haha, bwana mimi nilikuwa natania tu kuchangamsha kijiwe. Niliyemzimikia nilishamwambiaga mda tu, akanipipa buyu la mwaka. So ndio hivyo unapenda usipopendwa.[emoji25][emoji25][emoji25][emoji25]
Habari hizi wazipate wadau wa uzi huu; Karma, Chakorii, Saint Anne, Heaven Sent. etc
Muache espy wa watu atulizane huko, akija hapa moto wake utauweza kweli?[emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Nimekusaidia kumtaja
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Acha uganga mtakatifu 😂😂Heee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja nichanganye dawa nipige ramli tena
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Mbona wewe hujamtaja??tunaenda kumalizia piemu tu hakuna namnaHakuna kwenda PM, malizaneni hapa wote tusome. Kama yupo unamhisi just sema tu...Ila ni ngumu kumjuaaaa
Hii danganya toto Eli..Haha, bwana mimi nilikuwa natania tu kuchangamsha kijiwe. Niliyemzimikia nilishamwambiaga mda tu, akanipipa buyu la mwaka. So ndio hivyo unapenda usipopendwa.😪😪😪😪
Habari hizi wazipate wadau wa uzi huu; Karma, Chakorii, Saint Anne, Heaven Sent. etc
Mama shughuli sasa 😂😂Mimi crush wangu anajijua
Ngoja nimwite aje atoe ushuhuda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mweee ni nani huyo jamani aliyeipoteza hito bahati?mtaje tumseme hapa[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Hahahaha kwa kweli anastahili makonziHii danganya toto Eli..
Yani mdada kabisa mwenye akili timamu kakuchomolea!!hivyo hivyo ulivyo..haiwezekani.
Muite hapa aje ale makonzi kwanza astue ubongo
The bossNi kawaida sana hiyo. Nadhani kuna wataokataa ku admit lakini humu kila mtu kuna ID au IDs anazipenda (yani anampemda huyo mtu) kutokana na jinsi alivyo hapa jukwaani. (Michango yake hapa jukwaani).
😄😄kabisa aiseh.Hahahaha kwa kweli anastahili makonzi
Hahaha, kwani nikoje hadi nisichomolewe,? Ungejua hata usingesema hivyo.Hii danganya toto Eli..
Yani mdada kabisa mwenye akili timamu kakuchomolea!!hivyo hivyo ulivyo..haiwezekani.
Muite hapa aje ale makonzi kwanza astue ubongo
Itoshe kusema ningekuwa mimi ndo huyo mtu 💯 nisingechomoa sheikhHahaha, kwani nikoje hadi nisichomolewe,? Ungejua hata usingesema hivyo.
Itoshe kusema ningekuwa mimi ndo huyo mtu [emoji817] nisingechomoa sheikh
Nimestuka sana kupata hizi habari za mwanamke mwenzetu aliyeipoteza bahati.Mama shughuli sasa [emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha uganga mtakatifu [emoji23][emoji23]
Kwakweli Hata mimi amenisikitisha mno.Nimestuka sana kupata hizi habari za mwanamke mwenzetu aliyeipoteza bahati.
Wacha amtaje tumsimange kwanza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]anapotezaje vitu vizuri jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]