financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
ππ pole yangu piaDuuuh mkuu pole na mimi najipa.pole pole yetu.
πUmechekaaaaa nambie nawewe yupo nini??
Nilimpenda yule kaka jamani nikiwa hata sijui anafananaje, nikiona ki-msg chake tu moyo wangu kwaatu naachia tabasamu mwanana, I'm thankful hata baada ya kufahamu sura yake halisi nashukuru sikujutia, We still good..!
yote mema..!!
Pole lakini.
Thank you, love you tooAhsante mama angu nakupenda sana ujue .
Mi mwanaume kaka.Mkuu sorry wewe jinsia gan !?
Mlikulana kwa bluetooth nini.Nishawahi mpenda mtu simjui ata sura, tukadate na kuaachana bila hata kuonana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mapenzi upofu kwahiyo hamna umuhimu wa sura [emoji23]
Ahsante mama angu nakupenda sana ujue .
Hahahaha kausha niseme man.
Thank you, love you too
Jamani usijali tuko pamojaπkwamba sina wivu sio
Jamani usijali tuko pamoja[emoji6]