Ulishawahi kumwingiza Demu getto zaidi ya mara moja na ukashindwa kula tunda?

Ulishawahi kumwingiza Demu getto zaidi ya mara moja na ukashindwa kula tunda?

Haya mambo haya ... mwanaume wa kiafrika kustaarabika tachukua miaka mingi sana .... Dem kuja ghetto (kwa baadhi lakini) sio tiketi ya kutaka kumlala.usidhani kufanya ngono ndio kutampa mwanamke attention kwako never ever.badilika man usikariri Sana maisha .
Wanawake wa kiafrika hawatabiriki mkuu hadi umto.mbe ndo mtaenda sawa hasa hivi viserenget fulu usmbufu pale mwanzomwanzo
 
Hizi mambo za kulazimisha kufukunyua kipochi manyoa nilishaacha na siwezi tumia nguvu nyingi kuomba gemu, moja naona kama inanitoa kwenye mudi ya kuchakata.

Niliwai enda na mtoto night kali lodge kufika mtoto kasaula afu anabana ..muhuni nikaomba kutoka nje kidogo nikale zangu bia , nikapigia manzi nyingine ikatiki nikachukua chumba pale pale, afu nikaingiq zangu kula bia na bebe ingine usiku nikarudi nikajilia vyangu, asubuhi nikafukuza ya kwanza nikarudi kupiga cha asubuhi na kusepa.

Baadae demu analalamika uliniacha watu wanasumbua na kelele zao chumbq jirani[emoji1377][emoji2]
 
Wanawake wa kiafrika hawatabiriki mkuu hadi umto.mbe ndo mtaenda sawa hasa hivi viserenget fulu usmbufu pale mwanzomwanzo
Asee tutajajisifia sana lakini hakuna kitu kinanipa majuto na guilty moyoni kama kulala na mwanamke kimasihara [emoji16][emoji16] hata kama alijirahisisha mwenyewe. halafu ukute sina mpango wa kumuoa .huwa najutia sana kwa kweli.
 
Wanaume huwa mumejaa upumbavu Sana Sasa mtu wa kazini uzini naye sikujishishia heshima tu huko hafu ukute una kibamia chako, atoke kwako aende kwa mwingine wivu siutakuua.
Rafiki yangu aliwahi nialika kwake akaja akanichukua niende Mimi Sina wazo la mawazo ya kingono kufika eti anataka kunishika kinguvu nilimpiga kibao mpaka akaxinduka nikakimbia na kutoka nje, mpaka leo urafiki umekufa.
Chakupewa na Mungu kumnyima mwenzio zambi.😂😂😂😂
 
Kuwa kama mobeto hilo napinga.huna jeur hyo ya kuchkua watoto wakali

Pili...huyo demu nikwel anamaanisha.anataka mtu serious.tofaut na bwana wake wa sasa ambae anakula tuu anavyotaka bila future.so hatak iendelee kutoa hivyo hvyo kwa bwana mwingne.so wew anataka yale mambo ya had ndoa wakat kunaa mwingne anampa huko kiroho saf
 
Hizi mambo za kulazimisha kufukunyua kipochi manyoa nilishaacha na siwezi tumia nguvu nyingi kuomba gemu, moja naona kama inanitoa kwenye mudi ya kuchakata.

Niliwai enda na mtoto night kali lodge kufika mtoto kasaula afu anabana ..muhuni nikaomba kutoka nje kidogo nikale zangu bia , nikapigia manzi nyingine ikatiki nikachukua chumba pale pale, afu nikaingiq zangu kula bia na bebe ingine usiku nikarudi nikajilia vyangu, asubuhi nikafukuza ya kwanza nikarudi kupiga cha asubuhi na kusepa.

Baadae demu analalamika uliniacha watu wanasumbua na kelele zao chumbq jirani[emoji1377][emoji2]
Ulitakiwa umfukuze utumie chumba hichohicho
 
Wakuu, hii ni story ya kweli ya tukio likilonikuta few years ago.

Wakati nafanya kazi dar es Salaam kwenye kampuni flani ya usafirishaji, waliletwa wafanyakazi wapya watatu wa kike.

Kila ofisa mzoefu alikabidhiwa binti mmoja amfunze kazi pale kwa ofisi. Mimi nilikabidhiwa binti mmoja mrefu na mwenye shape kama Hamisa Mobeto(jina kapuni)

Ktk kumpa uzoefu kazini, tukazoeana hadi kufika stage ya kumpiga sound ila hakunipa jibu lolote.. Ila akawa anaelewa hisia zangu sasa.

Baada ya wiki kadhaa, nikamkaribisha Getto... Akajibu tu nitakujuza nikiwa free.

Siku moja jumapili, akanipigia simu, 'Mjina uko nyumbani?' nikamjibu ndio.. Akaniambia niko hapa makumbusho, nikitoka nakuja kukupa hi nyumbani kwako. Nikasema sawa. Mwamba nikajikoki vilivyo, nikanunua zana kabisa, kisha nikaweka vinywaji kadhaa kwa friji pamoja na mbuzi choma kg 1 na ndizi rost

Baada ya 1hr hivi akaniambia nimepanda gari, nishukie kituo gani? Nikamwambia shuka Sinza Kumekucha (kituo feki hiki).. Haikupita muda akaniambia nimeshuka tayari njoo unichukue. Nikamwambia achukue bora imlete sehemu nilipo(nilimjuza boda via simu ya demu).

Baada ya muda kidogo akafika. Nikatoka na kumpokea nikamleta hadi getto. Ameingia ndani nikampa juice akanywa, pombe alisema hatumii. Amekaa muda kidogo, akaanza kusema 'Mjina naondoka muda si mrefu',.. Mimi nikapotezea na story mbili tatu ili azoee kidogo. Lakini baada ya dk kadhaa tena akaniambia tena, Mjina naondoka baada ya nusu saa....' nikajiuliza huyu mtoto anataka dyudyu mapema mapema ili aondoke nini?... Nikasema ngoja nimsogelee nianze usumbufu kuona kama atalainika nimle..

Ile nimemsogelea tu, kuanza kumpelekea mkono, aliruka na kuanza kumind kuwa yeye kaja kunisalimu halafu mimi nimeanza kuwaza ngono.. Aka mind kinyama very serious akachukia kabisa hadi akachukua vitu vyake na kusepa bila kuniaga. Wiki inayofata hakuongea na mimi kazini yote, ila baadae akaja kunitext tukarud normal.

Baada ya muda wa wiki kadhaa, akanipigia tena simu siku ya jpil na kusema kajipanga kuja kwangu... Kipindi hiki sikua nimemwomba mimi aje, maana nilikua nishampotezea. Alipofika getto, alinikuta nacheki movie yangu, akaketi na kuanza kuchek movie na mimi... Sikutaka kumgusa tena maana aliniudhi that day.. But nikasikia ansema tena kuwa Mjina ninaondoka si muda, nikamjibu sawa.. But hakuondoka bali kila baada ya muda anarudia kuwa anataka kusepa... Nikasema hii pisi itakua leo imekuja kwa ajili ya dyudyu... Nisipoila itanidharau.. Nikaisogelea, nikaanza kuipigisha story za mapenzi na baada ya muda nilipoona kama anapata hisia, nikaanza kupitisha mkono kwenye mapaja maana alikua kavaa skirt fupi.... Yaani akaleta Mchezo ule ule na akamind na kusepa.. Akanitumia txt nimsindikize, sikwenda na txt sikujibu.

Kazini tukarud akanisalimia namjibu kisha naendelea na mishe zangu. Nikawa mazoea sitaki kabisa maana pia kazi alishazoea...

Out of nowhere, weekend moja nimechill getto mida ya saa moja, nikasika mlango umegongwa, kufungua, mrembo huyu hapa tena.. Akaingia ndani wala sikumkaribisha.. Wala sikumpa maji, wala chochote cha kula/kunywa. Kwakua alikua kazoe pale kidogo, alijisevia mwenyewe huku mm nacheki movie nimejilaza kwenye kapeti pale sebuleni.. Yeye alijilaza kwenye sofa..

Baada ya muda akasema kachoka kulala kwenye sofa, akasogeza mto chini kwenye kapeti akaja akalala uelekeo ule niliokua nimelala. Sikua na time nae, yeye ndo alikua akiniongelesha na kujichekesha. Ikatokea kuna wakati anajigeuza, akajikuta kaniwekea mkono kwenye kifua (nilikua kifua wazi).. Nilisisimuka mwili mzima huku dushe ikisimama kwa mwendokasi maana mikono ilikua laini ile... Ushetani ukanipanda, nikamgeukia nikajaribu tu kushika ziwa... Alinyanyuka pale chini like flash na ku shout kuwa mimi tabia yangu ni ile ile kuwaza ngono kila akija.

Wakati huo mvua ilikua inanyesha, alivaa viatu vyake, akachukua mkoba wake na alikua na kimwavuli kidogo akasepa kwa hasira... Nili mind kinyama nikamtxt 'usikae uje getto kwangu tena'.. Ilikua majira ya saa tatu usiku. Basi baada ya ile txt yangu, akanipigia simu sana sikupokea. Akanitumia txt..'Im sorry Mjina, I will give my body to you siku ukija kwetu kujitambulisha kuwa unataka kunioa'... Sikumjibu na nikampotezea mazima.

Sasa wakuu, kuna yeyote yule ameshawahi kutana na situation kama hii na dem kuja getto zaidi ya mara moja na ukashindwa kula tunda? Au niko peke angu?

honest speaking iliwai kunitokea lakin kwa uzembe wangu binafsi na sikujutia sana kwa sababu nilikuwa kusahihisha makosa kirahisi sana ilikuwa ivi

nilikuwa napita Pita fb kuna picha moja niliiona nkaweka kituo na kuamua kumchunguza mmiliki ni Nan kwa Bahati iliyokuwa nzUri alkuwa yupo online basi nkaamua kumtext
Me; "sura yako sio ngeni kama nmewai kuiona mahari!!!"
Ke; mhhhh umenifananisha utakuwa.
me; yote yanawezekana either nmekufananisha au nakujua, simu yangu inakaribia kuisha chaji na mimi sio mpenzi sana wa fb, naomba npatie mawasiliano yako nje ya fb tujadili kwa Urefu hili swala.
ke; mhhhh mi skujui hivyo swezi kukupa namba yang.
me; ouky kama hutojari yangu 065*****
nkavunga siku iliyofuata mchana naona text inaingia "mamb"ukaribu wetu ukaanzia hapo mwisho nkamkaribisha geto pis likaibuka
alniambiaga anapenda movie nkamwekea am in love with a church girl
huwezi amin tumeangalia movie mpaka inaisha ndo naanza kumtomasa aaaah aliniluka akaondoka sjamnjunja
pindi anataka kwenda shule likizo ilvoisha nlimwambia nnazawad yake si akaja kuifata geto hahahaaa alkuta nmemwandaria chupa ya asari nlimpaka kila kona ya mwili wake.....
 
Wanaume huwa mumejaa upumbavu Sana Sasa mtu wa kazini uzini naye sikujishishia heshima tu huko hafu ukute una kibamia chako, atoke kwako aende kwa mwingine wivu siutakuua.
Rafiki yangu aliwahi nialika kwake akaja akanichukua niende Mimi Sina wazo la mawazo ya kingono kufika eti anataka kunishika kinguvu nilimpiga kibao mpaka akaxinduka nikakimbia na kutoka nje, mpaka leo urafiki umekufa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah dea jomoneeeeeh lol
 
Back
Top Bottom