Ulishawahi kumwingiza Demu getto zaidi ya mara moja na ukashindwa kula tunda?

Ulishawahi kumwingiza Demu getto zaidi ya mara moja na ukashindwa kula tunda?

Nilihisi ni mimi tu. Ofcourse zaidi ya madem watatu wamewahi nichezea haka kamchezo. Ngoja leo nishushe ya mmoja kwanza.

Ilkuwa tupo chuo mwaka wa kwanza. So kwenye zile group discussion tukawa saba mabaharia 4 na madem 3 .

Lilikuwa group flani lakibabe mana wale wanaume tulokuwepo tulikuwa sirious sana na shule ukizangitia wawili walikuwa watuwazima wenye familia na mwingne alikuwa kwenye mahusiano yanayofahamika na kila mtu ko me ndo nilihesebika single .

Sasa picha linaanza kipindi cha field katika wale wadada wa3 kuna mmoja tukapangiwa nae mkoa mmoja office moja. Sa ile office hawakuwa na shobo na wageni design kama walitutenga flani. Ko yule dada me ndo kampani yake muda wote. Wakati mwingne kwangu akawa anakuja namimi kwake naenda muda wote so ikawa ishazoeleka hata kwa wenye nyumba wetu mana hata kazi baadhi tulikuwa tunakutana kuzifanya kwa pamoja.

Siku moja nipo ndani kwake Jini mahaba likapanda nikaanza kumuona mzuri kuliko siku zote. Nikawa namuangalia mara nyingi tena kwa kumkodolea mimacho kwa muda mrefu. Mara nikashindwa kujizuwia palikuwa na kimvua kinanyesha so akawa katoka nje kukinga maji akarudi kaloa ile gauni limenatana na mwili apo ndo kanichanganya kabisaaaaa. Nilirusha pc mezani nikamfata nikamkumbatia kwa nguvu nikaanza kumpelekea ulimi akakataa nikimgusa anaruka, duh! Akanibadirikia ghafra akawa mbogo akanifukuza kwake kama mbuzi huku akiniita malaya, mshenzi, mwanaharam, shetani nk. Mwanaume nilidharirika na ile mvua ikabidi niende kwangu kinyonge huku nanyeshewa.

Kesho yake tukakutana job akanichunia nikawa najishoboshekasha ili nimrejeshe kwenye mood ila kakaza. Iliniuma sana wakuu ikabidi nimuombe radhi akanambia nisirudie yeye ni kama dada yangu na mazoea yasizidi.

Siku nyingine akanikuta geto nime rest nina stress zangu akaanza kunisemesha me namjibu mikato. Akaja nilipo lala akaanza kuongea kwa sauti ya kunibembeleza " Dogo (alikuwa anapenda kuniita Dogo) mbona upo iv leo" sasa kutokana na nilichokuwa nawaza nikawa na huzuni nikajaribu ku relate na yeye so nikajitolesha chozi, apo ndo nikazidi kumchanganya ikabidi asogee karibu yangu zaidi akaanza nionea huruma akinibembeleza huku mikono yake akinishika shavuni akinifuta machozi. Basi nilijitoa akili tena nikaa sogeza mdomo hadi kwenye midomo yake round hii akapokea nikanyonya kidogo mara ghafra aka change Alikuwa na nguvu yule dada alinisukumizia mlangoni nikajigonga kwenye kitasa cha mlango nikapasuka juu ya jicho kidogo but damu zikawa zinatoka nyingi. Lile demu lina roho ngumu sijawahi ona, likasepa huku likisema ndo ukome na kuniacha na madamu yangu yakinitoka. Hakuishia apo akampigia simu sister akamshatakia (hichi ndicho kilichonikera zaidi ukizingatia masister ndo msada mkubwa kwangu afu tunaheshimiana afu mtu ananichafua) basi apo ndo nilipogundua kuwa huyu si mtu mzuri. Na Mimi nikajikata kwanza kesho yake ilikuwa j3 sijaenda ofsin, j4 na j5 pia sijaenda (ukizingatia tulikuwa tushafanyiwa assessment, akawa ana ulizwa sana kazini kuhusu Mimi anakosa majibu. Akashindwa kunitafta akamtafuta rafiki yangu., akamuuliza kuhusu mimi huyo rafiki yangu akamuwashia Moto balaa akamwambia "yani mtu umemuumiza umeshindwa kumsaidia hata kumjulia hali? Na umeona haitoshi umeenda mbali zaidi umemchomea hadi kwa ndugu sehem anapotegemea, mbona unaroho mbaya hivo " . Dem yalimgusa sana yale maneno . Kesho yake (Alhamis) nikaingia ofsin nilikuwa nimeshonwa nyuzi mbili ile sehem nilipopasuka. Akawa ananitazama ananionea huruma kila akijaribu kujikaribisha kwangu namkataa nikajitenga nae. Ilimuuma sana akawa ananitext sijibu, akijiandikisha vikaratasi akimpa Mtu aniletee nisome ninavichana hata kabda sijasoma. Usiku akampigia sister simu akamwambia ameshikwa na ugonjwa ghafra ananipigia simu sipokei na hana msada mwingne zaidi yangu ule mkoa, sister akanipigia nikaenda fasta kwa heshima ya sister namkuta analia ile naingia ndani kwake akanikumbatia huku akilia kwa kwikwi kana kwamba ashalia muda mrefu hadi sauti imekata. Alinikumbatia kama dakika 10 huku akilia tu bila kusema chochote. Aliponyamanza akanipa pole huku akipashika pale palipochanika, akaanza kunibembeleza nimsamehe akanambia hata yeye ananipenda sema haelewi kwanini ananifanyia yale. Mwanaume nikaona ni golden chance nikamlaza kitandani nikimpa ulimi ananipa ushirikiano but nikimshika mwili ananizuwia na mikono. Nikatumia ubabe nikavua gauni nikavuta "taiti" nakuta bado ana chuu××× sasa kimbembe kikawa kuitoa ile pichu sasa. Nikafosi kuivuta aiseeeee nilipigwa meno hayo.! Na dushe likapoa ghafra nililia sana nisidangnye mana yale meno hayakuwa ya nchi hii (alikuwa kama anatafuna muwa). Kuanzia apo mpaka tunarudi chuo sikukanyaga kwake na siku yakuondoka sikumtaarifu. Tulivyoonana chuo akamuhathia rafiki yake kila kitu yule rafiki yake ndo akanifata akanambia kuwa yule dem bado bikraa ko nimsamehe. Nilimsamehe tukawa wadhikaji ila nikamuacha kabisa mpaka sasa ni mke wa R t o mmoja mkoa flani .
Dingi ulitesekaa sanaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Na puss hukuilaaa
 
Kama fisi lazima kuna siku mkeka unachanika tu dadekiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani mbinu zote zinafail ila inabdi ukubaliane na matokeo tu hata simba kuna siku anakosa mawindo anakula nyasiii...!!


Wengi wao mademu wanaokaza wanakuwaga mabikraa aisee yani unaweza pigikaa balaa[emoji1787][emoji1787] sijui huwaga wanaambiwa nini kuhusu sex..
 
Wanaume huwa mumejaa upumbavu Sana Sasa mtu wa kazini uzini naye sikujishishia heshima tu huko hafu ukute una kibamia chako, atoke kwako aende kwa mwingine wivu siutakuua.
Rafiki yangu aliwahi nialika kwake akaja akanichukua niende Mimi Sina wazo la mawazo ya kingono kufika eti anataka kunishika kinguvu nilimpiga kibao mpaka akaxinduka nikakimbia na kutoka nje, mpaka leo urafiki umekufa.
Mpumbavu mwenyewe
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] uliposikia kaolewa na RTO hukulia?
Yeye ndo alilia mana alivyoning'ata meno niliambatanisha na tukio lakunifukuza kama m mbwa na kunisukuma nikapasuka basi nikamchukia mazima ko ht baadae alihitaji ukaribu nikamzingua. Nikawa nawaza kama kanipasua, na amening'ta mena si kuna siku nitampa denda aning'ate ulimi kibisa
 
Haa ha ha...wapi mjanja tu huyo falaa!! Baada ya hapo vip mliendelea kudate???
Baada ya kuning'ata meno niliambatanisha na tukio lakunifukuza kama m mbwa na kunisukuma nikapasuka basi nikamchukia mazima ko ht baadae alihitaji ukaribu nikamzingua na hasira nikazimalizia kwa rafiki yake mwingne
 
Nilihisi ni mimi tu. Ofcourse zaidi ya madem watatu wamewahi nichezea haka kamchezo. Ngoja leo nishushe ya mmoja kwanza.

Ilkuwa tupo chuo mwaka wa kwanza. So kwenye zile group discussion tukawa saba mabaharia 4 na madem 3 .

Lilikuwa group flani lakibabe mana wale wanaume tulokuwepo tulikuwa sirious sana na shule ukizangitia wawili walikuwa watuwazima wenye familia na mwingne alikuwa kwenye mahusiano yanayofahamika na kila mtu ko me ndo nilihesebika single .

Sasa picha linaanza kipindi cha field katika wale wadada wa3 kuna mmoja tukapangiwa nae mkoa mmoja office moja. Sa ile office hawakuwa na shobo na wageni design kama walitutenga flani. Ko yule dada me ndo kampani yake muda wote. Wakati mwingne kwangu akawa anakuja namimi kwake naenda muda wote so ikawa ishazoeleka hata kwa wenye nyumba wetu mana hata kazi baadhi tulikuwa tunakutana kuzifanya kwa pamoja.

Siku moja nipo ndani kwake Jini mahaba likapanda nikaanza kumuona mzuri kuliko siku zote. Nikawa namuangalia mara nyingi tena kwa kumkodolea mimacho kwa muda mrefu. Mara nikashindwa kujizuwia palikuwa na kimvua kinanyesha so akawa katoka nje kukinga maji akarudi kaloa ile gauni limenatana na mwili apo ndo kanichanganya kabisaaaaa. Nilirusha pc mezani nikamfata nikamkumbatia kwa nguvu nikaanza kumpelekea ulimi akakataa nikimgusa anaruka, duh! Akanibadirikia ghafra akawa mbogo akanifukuza kwake kama mbuzi huku akiniita malaya, mshenzi, mwanaharam, shetani nk. Mwanaume nilidharirika na ile mvua ikabidi niende kwangu kinyonge huku nanyeshewa.

Kesho yake tukakutana job akanichunia nikawa najishoboshekasha ili nimrejeshe kwenye mood ila kakaza. Iliniuma sana wakuu ikabidi nimuombe radhi akanambia nisirudie yeye ni kama dada yangu na mazoea yasizidi.

Siku nyingine akanikuta geto nime rest nina stress zangu akaanza kunisemesha me namjibu mikato. Akaja nilipo lala akaanza kuongea kwa sauti ya kunibembeleza " Dogo (alikuwa anapenda kuniita Dogo) mbona upo iv leo" sasa kutokana na nilichokuwa nawaza nikawa na huzuni nikajaribu ku relate na yeye so nikajitolesha chozi, apo ndo nikazidi kumchanganya ikabidi asogee karibu yangu zaidi akaanza nionea huruma akinibembeleza huku mikono yake akinishika shavuni akinifuta machozi. Basi nilijitoa akili tena nikaa sogeza mdomo hadi kwenye midomo yake round hii akapokea nikanyonya kidogo mara ghafra aka change Alikuwa na nguvu yule dada alinisukumizia mlangoni nikajigonga kwenye kitasa cha mlango nikapasuka juu ya jicho kidogo but damu zikawa zinatoka nyingi. Lile demu lina roho ngumu sijawahi ona, likasepa huku likisema ndo ukome na kuniacha na madamu yangu yakinitoka. Hakuishia apo akampigia simu sister akamshatakia (hichi ndicho kilichonikera zaidi ukizingatia masister ndo msada mkubwa kwangu afu tunaheshimiana afu mtu ananichafua) basi apo ndo nilipogundua kuwa huyu si mtu mzuri. Na Mimi nikajikata kwanza kesho yake ilikuwa j3 sijaenda ofsin, j4 na j5 pia sijaenda (ukizingatia tulikuwa tushafanyiwa assessment, akawa ana ulizwa sana kazini kuhusu Mimi anakosa majibu. Akashindwa kunitafta akamtafuta rafiki yangu., akamuuliza kuhusu mimi huyo rafiki yangu akamuwashia Moto balaa akamwambia "yani mtu umemuumiza umeshindwa kumsaidia hata kumjulia hali? Na umeona haitoshi umeenda mbali zaidi umemchomea hadi kwa ndugu sehem anapotegemea, mbona unaroho mbaya hivo " . Dem yalimgusa sana yale maneno . Kesho yake (Alhamis) nikaingia ofsin nilikuwa nimeshonwa nyuzi mbili ile sehem nilipopasuka. Akawa ananitazama ananionea huruma kila akijaribu kujikaribisha kwangu namkataa nikajitenga nae. Ilimuuma sana akawa ananitext sijibu, akijiandikisha vikaratasi akimpa Mtu aniletee nisome ninavichana hata kabda sijasoma. Usiku akampigia sister simu akamwambia ameshikwa na ugonjwa ghafra ananipigia simu sipokei na hana msada mwingne zaidi yangu ule mkoa, sister akanipigia nikaenda fasta kwa heshima ya sister namkuta analia ile naingia ndani kwake akanikumbatia huku akilia kwa kwikwi kana kwamba ashalia muda mrefu hadi sauti imekata. Alinikumbatia kama dakika 10 huku akilia tu bila kusema chochote. Aliponyamanza akanipa pole huku akipashika pale palipochanika, akaanza kunibembeleza nimsamehe akanambia hata yeye ananipenda sema haelewi kwanini ananifanyia yale. Mwanaume nikaona ni golden chance nikamlaza kitandani nikimpa ulimi ananipa ushirikiano but nikimshika mwili ananizuwia na mikono. Nikatumia ubabe nikavua gauni nikavuta "taiti" nakuta bado ana chuu××× sasa kimbembe kikawa kuitoa ile pichu sasa. Nikafosi kuivuta aiseeeee nilipigwa meno hayo.! Na dushe likapoa ghafra nililia sana nisidangnye mana yale meno hayakuwa ya nchi hii (alikuwa kama anatafuna muwa). Kuanzia apo mpaka tunarudi chuo sikukanyaga kwake na siku yakuondoka sikumtaarifu. Tulivyoonana chuo akamuhathia rafiki yake kila kitu yule rafiki yake ndo akanifata akanambia kuwa yule dem bado bikraa ko nimsamehe. Nilimsamehe tukawa wadhikaji ila nikamuacha kabisa mpaka sasa ni mke wa R t o mmoja mkoa flani .
Daaaaaah...
Ulitisha sana... Ila dem alikua kichomi sana
 
Kama fisi lazima kuna siku mkeka unachanika tu dadekiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani mbinu zote zinafail ila inabdi ukubaliane na matokeo tu hata simba kuna siku anakosa mawindo anakula nyasiii...!!


Wengi wao mademu wanaokaza wanakuwaga mabikraa aisee yani unaweza pigikaa balaa[emoji1787][emoji1787] sijui huwaga wanaambiwa nini kuhusu sex..
Kweli kabisa... Bikra anakuaga mgumu mno
 
Mkuu hata mm niliwahi kushindwa kumla demu aliekuja geto ila nilishindwa Mara mbili tu Sasa wewe ni mzembe kabisa yani umemshindwa mara 3???
Mkuu, mimi huwa napasuaga madem kila wiki ila huyo alinishinda. Nikaona isiwe tabu maana wanawake wapo wengi wazuri hata zaidi yake wanajigongesha.. Kwann nitumie nguvu?
 
Wanaume huwa mumejaa upumbavu Sana Sasa mtu wa kazini uzini naye sikujishishia heshima tu huko hafu ukute una kibamia chako, atoke kwako aende kwa mwingine wivu siutakuua.
Rafiki yangu aliwahi nialika kwake akaja akanichukua niende Mimi Sina wazo la mawazo ya kingono kufika eti anataka kunishika kinguvu nilimpiga kibao mpaka akaxinduka nikakimbia na kutoka nje, mpaka leo urafiki umekufa.
Huyo rafiki atakuwa ni mwanaume wa Dar
 
Wakuu, hii ni story ya kweli ya tukio likilonikuta few years ago.

Wakati nafanya kazi Dar es Salaam kwenye kampuni fulani ya usafirishaji, waliletwa wafanyakazi wapya watatu wa kike.

Kila ofisa mzoefu alikabidhiwa binti mmoja amfunze kazi pale kwa ofisi. Mimi nilikabidhiwa binti mmoja mrefu na mwenye shape kama Hamisa Mobeto(jina kapuni)

Ktk kumpa uzoefu kazini, tukazoeana hadi kufika stage ya kumpiga sound ila hakunipa jibu lolote ila akawa anaelewa hisia zangu sasa.

Baada ya wiki kadhaa, nikamkaribisha Getto... Akajibu tu nitakujuza nikiwa free.

Siku moja Jumapili, akanipigia simu, 'Mjina uko nyumbani?' nikamjibu ndio.

Akaniambia niko hapa makumbusho, nikitoka nakuja kukupa hi nyumbani kwako. Nikasema sawa.

Mwamba nikajikoki vilivyo, nikanunua zana kabisa, kisha nikaweka vinywaji kadhaa kwa friji pamoja na mbuzi choma kg 1 na ndizi rost

Baada ya 1hr hivi akaniambia nimepanda gari, nishukie kituo gani? Nikamwambia shuka Sinza Kumekucha (kituo feki hiki).. Haikupita muda akaniambia nimeshuka tayari njoo unichukue. Nikamwambia achukue boda imlete sehemu nilipo(nilimjuza boda via simu ya demu).

Baada ya muda kidogo akafika. Nikatoka na kumpokea nikamleta hadi getto. Ameingia ndani nikampa juice akanywa, pombe alisema hatumii.

Amekaa muda kidogo, akaanza kusema 'Mjina naondoka muda si mrefu',.. Mimi nikapotezea na story mbili tatu ili azoee kidogo. Lakini baada ya dk kadhaa tena akaniambia tena, Mjina naondoka baada ya nusu saa....' nikajiuliza huyu mtoto anataka dyudyu mapema mapema ili aondoke nini?... Nikasema ngoja nimsogelee nianze usumbufu kuona kama atalainika nimle..

Ile nimemsogelea tu, kuanza kumpelekea mkono, aliruka na kuanza kumind kuwa yeye kaja kunisalimu halafu mimi nimeanza kuwaza ngono..

Akamind kinyama very serious akachukia kabisa hadi akachukua vitu vyake na kusepa bila kuniaga. Wiki iliyofuata hakuongea na mimi kazini yote, ila baadae akaja kunitext tukarudi normal.

Baada ya muda wa wiki kadhaa, akanipigia tena simu siku ya Jumapili na kusema kajipanga kuja kwangu. Kipindi hiki sikuwa nimemwomba mimi aje, maana nilikua nishampotezea.

Alipofika getto, alinikuta nacheki movie yangu, akaketi na kuanza kuchek movie na mimi... Sikutaka kumgusa tena maana aliniudhi that day.. But nikasikia anasema tena kuwa Mjina ninaondoka si muda, nikamjibu sawa. But hakuondoka bali kila baada ya muda anarudia kuwa anataka kusepa.

Nikasema hii pisi itakuwa leo imekuja kwa ajili ya dyudyu... Nisipoila itanidharau.. Nikaisogelea, nikaanza kuipigisha story za mapenzi na baada ya muda nilipoona kama anapata hisia, nikaanza kupitisha mkono kwenye mapaja maana alikua kavaa skirt fupi.... Yaani akaleta Mchezo ule ule na akamind na kusepa.. Akanitumia txt nimsindikize, sikwenda na txt sikujibu.

Kazini tukarud akanisalimia namjibu kisha naendelea na mishe zangu. Nikawa mazoea sitaki kabisa maana pia kazi alishazoea.

Out of nowhere, weekend moja nimechill getto mida ya saa moja, nikasika mlango umegongwa, kufungua, mrembo huyu hapa tena.. Akaingia ndani wala sikumkaribisha.. Wala sikumpa maji, wala chochote cha kula/kunywa. Kwakua alikua kazoe pale kidogo, alijisevia mwenyewe huku mim nacheki movie nimejilaza kwenye kapeti pale sebuleni.. Yeye alijilaza kwenye sofa..

Baada ya muda akasema kachoka kulala kwenye sofa, akasogeza mto chini kwenye kapeti akaja akalala uelekeo ule niliokua nimelala. Sikua na time nae, ye ndo alikua akiniongelesha na kujichekesha. Ikatokea kuna wakati anajigeuza, akajikuta kaniwekea mkono kwenye kifua (nilikua kifua wazi).. Nilisisimuka mwili mzima huku dushe ikisimama kwa mwendokasi maana mikono ilikua laini ile.

Ushetani ukanipanda, nikamgeukia nikajaribu tu kushika ziwa... Alinyanyuka pale chini like flash na ku shout kuwa mimi tabia yangu ni ile ile kuwaza ngono kila akija.

Wakati huo mvua ilikua inanyesha, alivaa viatu vyake, akachukua mkoba wake na alikua na kimwavuli kidogo akasepa kwa hasira... Nili mind kinyama nikamtxt 'usikae uje getto kwangu tena'.. Ilikua majira ya saa tatu usiku. Basi baada ya ile txt yangu, akanipigia simu sana sikupokea.

Akanitumia txt..'Im sorry Mjina, I will give my body to you siku ukija kwetu kujitambulisha kuwa unataka kunioa'... Sikumjibu na nikampotezea mazima.

Sasa wakuu, kuna yeyote yule ameshawahi kutana na situation kama hii na dem kuja getto zaidi ya mara moja na ukashindwa kula tunda? Au niko peke angu?

-------------------
Dunia ipo kubwa utandawazi sasa,hapa mie,sikuelewi
 
Wakuu, hii ni story ya kweli ya tukio likilonikuta few years ago.

Wakati nafanya kazi Dar es Salaam kwenye kampuni fulani ya usafirishaji, waliletwa wafanyakazi wapya watatu wa kike.

Kila ofisa mzoefu alikabidhiwa binti mmoja amfunze kazi pale kwa ofisi. Mimi nilikabidhiwa binti mmoja mrefu na mwenye shape kama Hamisa Mobeto(jina kapuni)

Ktk kumpa uzoefu kazini, tukazoeana hadi kufika stage ya kumpiga sound ila hakunipa jibu lolote ila akawa anaelewa hisia zangu sasa.

Baada ya wiki kadhaa, nikamkaribisha Getto... Akajibu tu nitakujuza nikiwa free.

Siku moja Jumapili, akanipigia simu, 'Mjina uko nyumbani?' nikamjibu ndio.

Akaniambia niko hapa makumbusho, nikitoka nakuja kukupa hi nyumbani kwako. Nikasema sawa.

Mwamba nikajikoki vilivyo, nikanunua zana kabisa, kisha nikaweka vinywaji kadhaa kwa friji pamoja na mbuzi choma kg 1 na ndizi rost

Baada ya 1hr hivi akaniambia nimepanda gari, nishukie kituo gani? Nikamwambia shuka Sinza Kumekucha (kituo feki hiki).. Haikupita muda akaniambia nimeshuka tayari njoo unichukue. Nikamwambia achukue boda imlete sehemu nilipo(nilimjuza boda via simu ya demu).

Baada ya muda kidogo akafika. Nikatoka na kumpokea nikamleta hadi getto. Ameingia ndani nikampa juice akanywa, pombe alisema hatumii.

Amekaa muda kidogo, akaanza kusema 'Mjina naondoka muda si mrefu',.. Mimi nikapotezea na story mbili tatu ili azoee kidogo. Lakini baada ya dk kadhaa tena akaniambia tena, Mjina naondoka baada ya nusu saa....' nikajiuliza huyu mtoto anataka dyudyu mapema mapema ili aondoke nini?... Nikasema ngoja nimsogelee nianze usumbufu kuona kama atalainika nimle..

Ile nimemsogelea tu, kuanza kumpelekea mkono, aliruka na kuanza kumind kuwa yeye kaja kunisalimu halafu mimi nimeanza kuwaza ngono..

Akamind kinyama very serious akachukia kabisa hadi akachukua vitu vyake na kusepa bila kuniaga. Wiki iliyofuata hakuongea na mimi kazini yote, ila baadae akaja kunitext tukarudi normal.

Baada ya muda wa wiki kadhaa, akanipigia tena simu siku ya Jumapili na kusema kajipanga kuja kwangu. Kipindi hiki sikuwa nimemwomba mimi aje, maana nilikua nishampotezea.

Alipofika getto, alinikuta nacheki movie yangu, akaketi na kuanza kuchek movie na mimi... Sikutaka kumgusa tena maana aliniudhi that day.. But nikasikia anasema tena kuwa Mjina ninaondoka si muda, nikamjibu sawa. But hakuondoka bali kila baada ya muda anarudia kuwa anataka kusepa.

Nikasema hii pisi itakuwa leo imekuja kwa ajili ya dyudyu... Nisipoila itanidharau.. Nikaisogelea, nikaanza kuipigisha story za mapenzi na baada ya muda nilipoona kama anapata hisia, nikaanza kupitisha mkono kwenye mapaja maana alikua kavaa skirt fupi.... Yaani akaleta Mchezo ule ule na akamind na kusepa.. Akanitumia txt nimsindikize, sikwenda na txt sikujibu.

Kazini tukarud akanisalimia namjibu kisha naendelea na mishe zangu. Nikawa mazoea sitaki kabisa maana pia kazi alishazoea.

Out of nowhere, weekend moja nimechill getto mida ya saa moja, nikasika mlango umegongwa, kufungua, mrembo huyu hapa tena.. Akaingia ndani wala sikumkaribisha.. Wala sikumpa maji, wala chochote cha kula/kunywa. Kwakua alikua kazoe pale kidogo, alijisevia mwenyewe huku mim nacheki movie nimejilaza kwenye kapeti pale sebuleni.. Yeye alijilaza kwenye sofa..

Baada ya muda akasema kachoka kulala kwenye sofa, akasogeza mto chini kwenye kapeti akaja akalala uelekeo ule niliokua nimelala. Sikua na time nae, ye ndo alikua akiniongelesha na kujichekesha. Ikatokea kuna wakati anajigeuza, akajikuta kaniwekea mkono kwenye kifua (nilikua kifua wazi).. Nilisisimuka mwili mzima huku dushe ikisimama kwa mwendokasi maana mikono ilikua laini ile.

Ushetani ukanipanda, nikamgeukia nikajaribu tu kushika ziwa... Alinyanyuka pale chini like flash na ku shout kuwa mimi tabia yangu ni ile ile kuwaza ngono kila akija.

Wakati huo mvua ilikua inanyesha, alivaa viatu vyake, akachukua mkoba wake na alikua na kimwavuli kidogo akasepa kwa hasira... Nili mind kinyama nikamtxt 'usikae uje getto kwangu tena'.. Ilikua majira ya saa tatu usiku. Basi baada ya ile txt yangu, akanipigia simu sana sikupokea.

Akanitumia txt..'Im sorry Mjina, I will give my body to you siku ukija kwetu kujitambulisha kuwa unataka kunioa'... Sikumjibu na nikampotezea mazima.

Sasa wakuu, kuna yeyote yule ameshawahi kutana na situation kama hii na dem kuja getto zaidi ya mara moja na ukashindwa kula tunda? Au niko peke angu?

-------------------
Hilo tatizo unalo wewe peke yako
 
Sina desturi ya kutumia nguvu asee, nikianza romance then dem akaniambia hajisikii au hataki au yuko period ndio basi simgusi tena mpaka anaondoka au aanzishe yeye romance. Na akiondoka wala hatanisikia nikilalamika au kuomba appointment nyingine. Ilifikia hatua mmoja ikabidi aniulize, ''mbona una jeuri kiasi hiki?'' nikamwambia mapenzi ni starehe, sio vita wala mashindano. Mwisho wa siku, huwa wanaishia kuniletea kwa muda wao wenyewe and i like it that way!
 
Wanaume huwa mumejaa upumbavu Sana Sasa mtu wa kazini uzini naye sikujishishia heshima tu huko hafu ukute una kibamia chako, atoke kwako aende kwa mwingine wivu siutakuua.
Rafiki yangu aliwahi nialika kwake akaja akanichukua niende Mimi Sina wazo la mawazo ya kingono kufika eti anataka kunishika kinguvu nilimpiga kibao mpaka akaxinduka nikakimbia na kutoka nje, mpaka leo urafiki umekufa.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwamba baba yako umemuweka kando au na yeye ndani.
 
Back
Top Bottom