Ulishawahi kumwingiza Demu getto zaidi ya mara moja na ukashindwa kula tunda?

Ulishawahi kumwingiza Demu getto zaidi ya mara moja na ukashindwa kula tunda?

Wanaume huwa mumejaa upumbavu Sana Sasa mtu wa kazini uzini naye sikujishishia heshima tu huko hafu ukute una kibamia chako, atoke kwako aende kwa mwingine wivu siutakuua.
Rafiki yangu aliwahi nialika kwake akaja akanichukua niende Mimi Sina wazo la mawazo ya kingono kufika eti anataka kunishika kinguvu nilimpiga kibao mpaka akaxinduka nikakimbia na kutoka nje, mpaka leo urafiki umekufa.
Hivi urafiki na mtoto wa kike huwa unawezekanaje ?
 
Wanaume wasiojielewa mzee baba angu anajielewa mno mbona
Mzee wako angekua unavyotaka wanaume tuwe...sidhan hata wewe ungezaliwa...mnakula vya wanaume kutoa nyuchi hutaki...ukiwa mbishi tunakuwekea tu hata sex drop s.....mkizeeka mnaanza tafuta marafiki wa kiume watakao ishia kuwa wanandoa
 
Tone uliyoitumia kwenye ile post ya kumpiga jamaa kofi, maana umeandika kwa hasira kama vile sisi ndo tuliofanya lile kosa.

Umetukasirikia wana JF
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uzi huu umenikumbusha mbali Sana tabia ka hizo za mleta mada hutukera wanawake wengi ukute tumezoeana mno,na hatuwezi ngono, Sasa ukienda tu utajutraa wallah, kilichonisikitisha ni urafiki wetu kufa, maana saa nyingine unawaza urafiki na nyie mkipewa tu mnakimbia, Mara nyingi hufanya hivo kulinda urafiki basi
 
Mzee wako angekua unavyotaka wanaume tuwe...sidhan hata wewe ungezaliwa...mnakula vya wanaume kutoa nyuchi hutaki...ukiwa mbishi tunakuwekea tu hata sex drop s.....mkizeeka mnaanza tafuta marafiki wa kiume watakao ishia kuwa wanandoa
Mimi sili na Cha mtu Bora nife na shida yangu, pia kwenye maisha siweki expectation kwa watu, na ndio maana Niko huru kabisa.
Na hzo sex drops mtaniwekea wapi Sasa maana Niko makini mno
 
Mimi sili na Cha mtu Bora nife na shida yangu, pia kwenye maisha siweki expectation kwa watu, na ndio maana Niko huru kabisa.
Na hzo sex drops mtaniwekea wapi Sasa maana Niko makini mno
Kwahiyo umri huu hata bwana wa kuzugua huna.....au unawakoboa wengine ndo maana unahasira hivyo 🐩🐩😀😀
 
Kwahiyo umri huu hata bwana wa kuzugua huna.....au unawakoboa wengine ndo maana unahasira hivyo [emoji251][emoji251][emoji3][emoji3]
Mimi kuwa na bwana hzo ni personal matters, excuse me Mimi sikoboi Wala kukobolewa na yoyote heshimu mtazamo wangu na wallah Sina hasira yoyote please I begoo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uzi huu umenikumbusha mbali Sana tabia ka hizo za mleta mada hutukera wanawake wengi ukute tumezoeana mno,na hatuwezi ngono, Sasa ukienda tu utajutraa wallah, kilichonisikitisha ni urafiki wetu kufa, maana saa nyingine unawaza urafiki na nyie mkipewa tu mnakimbia, Mara nyingi hufanya hivo kulinda urafiki basi

Naelewa, sema pia nyie nao hamweleweki.

Mwingine akija akaondoka bila kuguswa anapeleka maneno kwamba umeshindwa kazi.

Kwa hiyo tunakuwa kwenye dilema, kujua kipi ni kipi.
 
Naelewa, sema pia nyie nao hamweleweki.

Mwingine akija akaondoka bila kuguswa anapeleka maneno kwamba umeshindwa kazi.

Kwa hiyo tunakuwa kwenye dilema, kujua kipi ni kipi.
Sisi mbona tunaeleweka tu vizuri na huyo anayemtangaxa mwenzake iko jinsia zote Kuna wanaume hukutangaza flani Malaya nimepita naye kumbe hujawahi kufanya naye chochote, pia na Kuna wanawake wasiojielewa wanaweza eneza uzushi Ila wa design hyo ni very few compared na wanaume
 
Sisi mbona tunaeleweka tu vizuri na huyo anayemtangaxa mwenzake iko jinsia zote Kuna wanaume hukutangaza flani Malaya nimepita naye kumbe hujawahi kufanya naye chochote, pia na Kuna wanawake wasiojielewa wanaweza eneza uzushi Ila wa design hyo ni very few compared na wanaume

True, kuna simple theory kwamba mwanamke akienda kumtembelea mwanaume kwake, amekubali kufanya naye.

Sasa hii huwa inasababisha mambo kama hayo. Sema pia kuna uzembe unatokea, kwa sababu kama sijawahi kukutongoza, ukaja nikakuvamia ni kosa.

Ila chukulia mfano nilishawahi kukutongoza, iwe hujakubali lakini ukaja kunitembelea, nafikiri hapo ni kama nimejibiwa ndiyo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uzi huu umenikumbusha mbali Sana tabia ka hizo za mleta mada hutukera wanawake wengi ukute tumezoeana mno,na hatuwezi ngono, Sasa ukienda tu utajutraa wallah, kilichonisikitisha ni urafiki wetu kufa, maana saa nyingine unawaza urafiki na nyie mkipewa tu mnakimbia, Mara nyingi hufanya hivo kulinda urafiki basi
Wewe ujipeleke kwa mwanaume kichwa-kichwa tu kama kondoo anapelekwa machinjioni eti kisa rafiki yako, ulishaona wapi urafiki wa mwanamke na mwanaume!

Na mjirekebishe kula vya wanaume, ukila ukubali na wewe ukienda geto uliwe.
 
Wanaume huwa mumejaa upumbavu Sana Sasa mtu wa kazini uzini naye sikujishishia heshima tu huko hafu ukute una kibamia chako, atoke kwako aende kwa mwingine wivu siutakuua.
Rafiki yangu aliwahi nialika kwake akaja akanichukua niende Mimi Sina wazo la mawazo ya kingono kufika eti anataka kunishika kinguvu nilimpiga kibao mpaka akaxinduka nikakimbia na kutoka nje, mpaka leo urafiki umekufa.
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mwaka fulani Niko chuo nikafahamiana na mdada mmoja wa kutoka morogoro ana shepu matata Sura sio Sana ila kilichonivutia zaidi ni ngozi yake laini mwili wake laini na mikono yake midogo flani hv na laini ambapo huo ndo ugonjwa wangu

Na infact yeye ndio alianziasha mazoea na Mimi baada ya kua tunakutana mahali na Mimi kuonekana Niko kimya Sana (ingawa ndio Tabia yangu hua nacheka na kuongea Sana Kwa wale niliozoeana nao sana) baada ya kuzoea Nikawa namtania tunapiga story anaenjoy huku nikimvutia timing ya kumuimbisha ingawa na yeye wkt Fulani alionesha kuelewa

Baada ya muda Nikawa nimemtongoza Kwa ishara aliashiria kukubali ingawa ilikua ngumu kuonesha waziwazi kidume nikawaza nakulaje tunda lake.... As tulivyokua tunaendelea akawa analeta Sana stroy za ndoa mara anitumie clip za harusi nyimbo za harusi nisikilize....na Mimi time hiyo nilikua sina hizo guts

Siku moja nikamualika and geto akaitikia mualiko ingawa alinambia anawahi discussion nikasema just normal akaja nikaishia kushika mikono na mapaja yaliyo kwenye nguo tu [emoji23][emoji23][emoji23]

Mara ya pili akaja tena nikaishia kuhusu shavu na kupapasa mwili uliojazwa nguo Kama magamba ya mgomba tu pamoja na juhudi zote nilizofanya

Mara ya tatu nikiwa na matumaini makubwa Sana ya Kula tunda ilikua jumapili dem kaja geto akaanza pika akiwa anapika akawa ananiita tupike wote hapa na pale nikaanza kumbatia Kwa nyumb huku anapika nikaanza ona kwamba mambo tayariiii baada ya hapo juhudi zote nikafanya kila mbinu niliyotumia Kula madem waliokuja geto fanya kila Aina ya mbinu lakini dem hachangamki ingawa kiss na hugging anakubali tukaishia Kula pilau yetu na nyama ya kuku na Pepsi big moja akasepa [emoji23][emoji23][emoji23] Ila nilikuja kumla vizuri Tu Kwa hiari yake alipokaribia kumaliza chuo coz alikua mwaka mmoja mbele yangu

Mpaka Leo ni mmoja ya wachumba wangu Yuko interested Sana na ndoa huyo
 
Wewe ujipeleke kwa mwanaume kichwa-kichwa tu kama kondoo anapelekwa machinjioni eti kisa rafiki yako, ulishaona wapi urafiki wa mwanamke na mwanaume!

Na mjirekebishe kula vya wanaume, ukila ukubali na wewe ukienda geto uliwe.
Mtu mgonjwa kwenda kumsalimia ni kosa maana sikuwahi kula hata Mia mbili, yake na ni mtu niliyemweshimu Sana, kumbe yeye ataka ngono, hafu mjue wanawake tukija kwenu hatujafata hzo ngono zenu tunataka heshima zetu.
Urafiki upo vile nyie huwaza uzinzi tu
 
True, kuna simple theory kwamba mwanamke akienda kumtembelea mwanaume kwake, amekubali kufanya naye.

Sasa hii huwa inasababisha mambo kama hayo. Sema pia kuna uzembe unatokea, kwa sababu kama sijawahi kukutongoza, ukaja nikakuvamia ni kosa.

Ila chukulia mfano nilishawahi kukutongoza, iwe hujakubali lakini ukaja kunitembelea, nafikiri hapo ni kama nimejibiwa ndiyo.
Si kweli eti tukienda tembelea mwanaume tumekubali Tena unakuta huwazi kabisa hzo Mambo, wanaume tuheshimuni bana sio tunafika mwatukamata kwa nguvu.
Wengine hata hajawahi kukutongoza siku hyo unashangaa
 
Back
Top Bottom