Ulishawahi kupendwa na rafiki wa Mpenzi wako?

Ulikosea hesabu.

Me enzi za ujana nimetafuna sana, marafiki zake hata madem wa rafiki zangu, ambao nilikuwa najua siyo main.

Cha msingi ujue mwingine yuko wapi muda wa tukio
 
Mimi imwnitokea mara nyingi sana,ila huwa siwaachi nawala sana
 
Wakati naongea na demu wangu Y kwenye simu nikasikia sauti ya mtu anaimba nikamuuliza huyo nani anaimba akaniambia ni mtoto wa mama ake mdogo nikamwomba niongee nae japo nimsalimie akafanya kosa akampa huyo dogo namba yangu ilituwe tunawasiliana badae nikaja kumega wote
 
Kuwa makini mkuu wadada wana tabia ya kutega kupima misimamo so isije kuwa unalengeshwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…