Ulishawahi kupendwa na rafiki wa Mpenzi wako?

Hahahaha...sifa wepesi
 
Hao mashemeji zako huwa wanapataje namba yako hadi mnawasiliana?
Kwa marafiki zao
 
Hii ishanitokea aisee nliulizwa swali la kizushi na best yake dem “ivi unajua kuwa mi nakupendaga” Akaishia kuwa dem wangu ni nikawa kwake na kwa kwa rafiki yake.
 
Weee!! unacheza na mauono ya kisukuma wewe!! demu umkatie kiuno cha kisawa sawa mpaka ananyanyukia akuache??? maajabu haya, atakuwa hajakupenda wengi hata wakigundua wanasema tuchukue wote tuwe wako!! tuoe!! mzee unaruka tu mara huku mara kule halafu mtu na mdogo wake wanatuliaaaaaa
 
Hii ishanitokea aisee nliulizwa swali la kizushi na best yake dem “ivi unajua kuwa mi nakupendaga” Akaishia kuwa dem wangu ni nikawa kwake na kwa kwa rafiki yake.
Wanachanganya sana hawa
 
Mi nilishapiga marafiki wanne kwa wivu kila anakuja kivyake gheto nabandua na wana boy wao
 
Kawaida ya mademu hata kama anakutega usipopiga ukijifanya et una msimamo wanakuona boya..
 
Mle na mtembelee kwa mpalange

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…