Hahahaha...sifa wepesiWakati naongea na demu wangu Y kwenye simu nikasikia sauti ya mtu anaimba nikamuuliza huyo nani anaimba akaniambia ni mtoto wa mama ake mdogo nikamwomba niongee nae japo nimsalimie akafanya kosa akampa huyo dogo namba yangu ilituwe tunawasiliana badae nikaja kumega wote
Ndio kabisa.....Tuwe na huruma
Daaah!! Ebwana nimewalatea huu uzi hivi vitu vinatokea eti,
Na vimenitokea sana hii ni mara ya pili nakumbuka mara ya kwanza nikiwa na demu wangu alinitambulisha kwa rafiki ake Y, hapo ndipo mambo yalipoanzia, kila siku alinitafuta ooh!! Shem mzima nataka nije nikutembelee mara sijui rafiki yangu ana bahati natamani hiyo bahati iwe ya kwangu
Daah mimi nikashindwa kumwelewa kabisa huyu bi dada
Sahivi imenitokea tena baada tu ya demu wangu kuja geto na rafiki yake, sahivi rafiki yake ananisumbua kweli
Tena anadai eti ananipenda sijui haoni kama nipo na rafiki yake, mademu bhana
Kama imeshawahi kukutokea ebu changia ulikwepaje huu msala?
Kwa marafiki zaoHao mashemeji zako huwa wanapataje namba yako hadi mnawasiliana?
Mapenzi hayana mwenyeweDuuuh
Weee!! unacheza na mauono ya kisukuma wewe!! demu umkatie kiuno cha kisawa sawa mpaka ananyanyukia akuache??? maajabu haya, atakuwa hajakupenda wengi hata wakigundua wanasema tuchukue wote tuwe wako!! tuoe!! mzee unaruka tu mara huku mara kule halafu mtu na mdogo wake wanatuliaaaaaaSi kitu kizuri kwa wadada kwenda na rafiki kwa boyfriend ingawa katika mawazo yao hufanya hivyo siku akijisikia hataki kugongwa siku hiyo, kumkoga tu rafiki yake au pia kukutega na kukujaribu mwanaume aone misimamo yako. Inawezekana hata hiyo ya binti rafiki kujitongozesha kwako ikawa ni planned. Hivyo inabidi uwe makini unaweza kuwakosa wote!
Kawaida ya mademu hata kama anakutega usipopiga ukijifanya et una msimamo wanakuona boya..Dah! Ebwana nimewalatea huu uzi hivi vitu vinatokea eti. Na vimenitokea sana hii ni mara ya pili nakumbuka mara ya kwanza nikiwa na demu wangu alinitambulisha kwa rafiki ake Y, hapo ndipo mambo yalipoanzia, kila siku alinitafuta ooh!! Shem mzima nataka nije nikutembelee mara sijui rafiki yangu ana bahati natamani hiyo bahati iwe ya kwangu
Daah mimi nikashindwa kumwelewa kabisa huyu bi dada. Sahivi imenitokea tena baada tu ya demu wangu kuja geto na rafiki yake, sahivi rafiki yake ananisumbua kweli
Tena anadai eti ananipenda sijui haoni kama nipo na rafiki yake, mademu bhana. Kama imeshawahi kukutokea ebu changia ulikwepaje huu msala?
Mle na mtembelee kwa mpalangeDah! Ebwana nimewalatea huu uzi hivi vitu vinatokea eti. Na vimenitokea sana hii ni mara ya pili nakumbuka mara ya kwanza nikiwa na demu wangu alinitambulisha kwa rafiki ake Y, hapo ndipo mambo yalipoanzia, kila siku alinitafuta ooh!! Shem mzima nataka nije nikutembelee mara sijui rafiki yangu ana bahati natamani hiyo bahati iwe ya kwangu
Daah mimi nikashindwa kumwelewa kabisa huyu bi dada. Sahivi imenitokea tena baada tu ya demu wangu kuja geto na rafiki yake, sahivi rafiki yake ananisumbua kweli
Tena anadai eti ananipenda sijui haoni kama nipo na rafiki yake, mademu bhana. Kama imeshawahi kukutokea ebu changia ulikwepaje huu msala?