Hujakosea Bali imejiweka...c unajua tecno mambo yakeMbn mm saivi nimeweka avatar ya ukweli sijui nimekoseaaa
Ngoja niangalie kama inafaa kwa matumizHujakosea Bali imejiweka...c unajua tecno mambo yake
Maana TECNO unaweza ukawa umechepuka...Ngoja niangalie kama inafaa kwa matumiz
Tecno bhn basi tu sitak ugomvi na team tecnoMaana TECNO unaweza ukawa umechepuka...
Mida ya mechi ikampigia mmeo/mkeo
Ngoja tukae kimya...Tecno bhn basi tu sitak ugomvi na team tecno
mi nawekaga picha zangu coz sinaga cha kufichaHabari wanajamvi?
Katika mitandao mingi ya kijamii kama JF, FB, TWITER, INSTA na mingineyo mara nyingi watu hutumia majina ambayo si halisi. Hata picha pia ambzo huweka katika plofie zao huwa si wao wenyewe. Sasa je ilishawahi tokea siku ulituma picha yako halisi katika mtnadao ambao hupendi ujulikane uhalisia wako kimakosa? Nani alikushtua kuwa umetuma picha halisi? au nini kilikufanya ugundue kuwa umetuma picha halisi?
kha!kwan shida nn!
Shida maji ya bomba
Mimi nawekaga avatar zangu Mara nyingi japo naficha sura na kwenye Uzi wangu wangu mmoja huwaga najipost japo nakata sura. Sina cha kuogopa kiviiile sema kuna maneno naandikaga nasema Mara boss wangu kayasoma halafu Ndo ajue ni Mimikuna watu JF wana avatar amazing, sa cjajua ndo wao wenyewe au vp...!
kwan ruvu haipo?
Ruvu haiwezi kuleta maji huku kihonda