Uta Uta
JF-Expert Member
- Feb 2, 2016
- 3,740
- 8,751
Habari wanajamvi?
Katika mitandao mingi ya kijamii kama JF, FB, TWITER, INSTA na mingineyo mara nyingi watu hutumia majina ambayo si halisi. Hata picha pia ambzo huweka katika plofie zao huwa si wao wenyewe. Sasa je ilishawahi tokea siku ulituma picha yako halisi katika mtnadao ambao hupendi ujulikane uhalisia wako kimakosa? Nani alikushtua kuwa umetuma picha halisi? au nini kilikufanya ugundue kuwa umetuma picha halisi?
Katika mitandao mingi ya kijamii kama JF, FB, TWITER, INSTA na mingineyo mara nyingi watu hutumia majina ambayo si halisi. Hata picha pia ambzo huweka katika plofie zao huwa si wao wenyewe. Sasa je ilishawahi tokea siku ulituma picha yako halisi katika mtnadao ambao hupendi ujulikane uhalisia wako kimakosa? Nani alikushtua kuwa umetuma picha halisi? au nini kilikufanya ugundue kuwa umetuma picha halisi?