Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
Ulishawahi kushikwa hivyo😀 hata siku moja au ndio unaona leo kwenye picha hujawahi😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka umeangalia kwenye kioo kule😂Nje ya mada: Mwanaume unapakaje poda?
NakaziaNje ya mada: Mwanaume unapakaje poda?
Nani wa kunishika jamaniUlishawahi kushikwa hivyo😀 hata siku moja au ndio unaona leo kwenye picha hujawahi😀View attachment 3183117
Umeanza ngono lini ndugu mwananchi wa Elfu mbili.Ulishawahi kushikwa hivyo😀 hata siku moja au ndio unaona leo kwenye picha hujawahi😀View attachment 3183117
HaswaaaBila shaka umeangalia kwenye kioo kule😂
Ishakula mkuu,nimeilisha musosi sa nane usiku,sasaiv Iko shamba inapiga kazi😂🤣Walozi asubuhi asubuhi mnawaza mapozi na wapenzi wenu ina mana misukule yako Magical power ishakula tayari au?
Pole sana mm n Babu Yako Tena nimekula chumvi ad nimemaliza sasaiv nimeanza kula magadi🤒Umeanza ngono lini ndugu mwananchi wa Elfu mbili.
Shikamoo babuPole sana mm n Babu Yako Tena nimekula chumvi ad nimemaliza sasaiv nimeanza kula magadi🤒
KabisaUjinga wa watoto wa chuo, pole anatoka bush anaolewa chuo bila wazazi kujua akimaliza chuo jamaa anamuacha anagoma kurudi kwao
Marhabeee ujambiShikamoo babu