Kelsea njoo nikuwowe uwe unashikwa hivi kila usubuhi😜Ulishawahi kushikwa hivyo😀 hata siku moja au ndio unaona leo kwenye picha hujawahi😀View attachment 3183117
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kelsea njoo nikuwowe uwe unashikwa hivi kila usubuhi😜Ulishawahi kushikwa hivyo😀 hata siku moja au ndio unaona leo kwenye picha hujawahi😀View attachment 3183117
Hii picha sisi wataalam wa body language hawa hawana zaidi ya mwaka mmoja kwenye mahusiano.Ulishawahi kushikwa hivyo😀 hata siku moja au ndio unaona leo kwenye picha hujawahi😀View attachment 3183117
Unataka nirudi nikalime, tunabanana hapahapaUjinga wa watoto wa chuo, pole anatoka bush anaolewa chuo bila wazazi kujua akimaliza chuo jamaa anamuacha anagoma kurudi kwao anapanga rum somewhere anaamua kuishi mjini kwa kudanga na kuuza madela na viatu vya kike, pole chuo kinakupeleka puta angalia usipate mimba utaishia kuongeza idadi ya single mother mjini
Una tunda zuri kweli au ndio?Unataka nirudi nikalime, tunabanana hapahapa
Suphian JumaNani wa kunishika jamani
Ndio tamu laini soft😂Una tunda zuri kweli au ndio?
Heee mbona unmuita
Unanikaribisha PM kiaina au sio?Ndio tamu laini soft😂
Karibu rafikiUnanikaribisha PM kiaina au sio?
Kiuno cha kushikwa hivyo kwanza unacho!? Usije kua na kiuno kama sanamu la Michelin hadi mikono yenyewe kukutana inakua shida!!? Just joking karibu nikushike mwaya pressure yako ishuke kidogo ufurahie maisha!!Nani wa kunishika jamani