hata ukienda POLISI DAWATI LA JINSIA ni 100,000/ au bure km Kesi ni nzito
lkn majibu ndio hivyo tena km alivyosema jamaa hapo juu
Itel A51
Mimi yalinikuta, nyumba ndogo, kumbe mm nalisha na chumba nalipia usiku anakuja mlinzi Korokoroni kulala anaacha lindo anaisimamia kwa vidole mali yangu
mtoto kutoka hatufanani kabisa jirani wakanitonya ni wa mlinzi pale kituo cha mafuta
tukafikishana POLISI wakanilazimishia kuwa nikikataa na licha ya kutoa laki nitashtakiwa
niliporudi siku ya pili Mlinzi akajatishia na kukubali ni damu yake hataki na hakuna cha DNA akasaini
kw hiyo mm nikachukua maelezo nakala yangu nikayahifadhi
sasa mwanamke bado ananitaka nilee, nikamuonesha maelezo ya POLISI akadai huyo Baba hana uwezo atamuua mtoto au amnyweshe sumu, NIKAACHANA NAO ingawa mwanamke hajakubali