Ulishawahi kusingiziwa ujauzito wakati wewe si muhusika? Je, ulifanyaje kukabiliana na hali hiyo?

Ulishawahi kusingiziwa ujauzito wakati wewe si muhusika? Je, ulifanyaje kukabiliana na hali hiyo?

hata ukienda POLISI DAWATI LA JINSIA ni 100,000/ au bure km Kesi ni nzito
lkn majibu ndio hivyo tena km alivyosema jamaa hapo juu Itel A51
Mimi yalinikuta, nyumba ndogo, kumbe mm nalisha na chumba nalipia usiku anakuja mlinzi Korokoroni kulala anaacha lindo anaisimamia kwa vidole mali yangu
mtoto kutoka hatufanani kabisa jirani wakanitonya ni wa mlinzi pale kituo cha mafuta
tukafikishana POLISI wakanilazimishia kuwa nikikataa na licha ya kutoa laki nitashtakiwa
niliporudi siku ya pili Mlinzi akajatishia na kukubali ni damu yake hataki na hakuna cha DNA akasaini
kw hiyo mm nikachukua maelezo nakala yangu nikayahifadhi
sasa mwanamke bado ananitaka nilee, nikamuonesha maelezo ya POLISI akadai huyo Baba hana uwezo atamuua mtoto au amnyweshe sumu, NIKAACHANA NAO ingawa mwanamke hajakubali
Ungeenda ofisi za ustawi wa jamii, naona wana uwezo mzuri wa ku handle hizo issues. Tatizo mwanamke akishajua aliyempa mimba hana uwezo aisee atakuganda kama luba...
 
Kuna tetesi nliskia et kua ukienda pima DNA lazma tu matokeo yatakuja kua "ww ndio baba" lengo lao likiwa ni kupunguza watoto yatima sjui haki za mama na mtoto blah blah.. Kuna ukweli hapa?
Io ni kwel tena hasahasa hz hospital za serikali ukitaka vipimo vya DNA real nenda nje ya nch au hospital kubwa kubwa km aghakhan nk hawa wapo very serious
 
Kuna mmoja hivi [emoji1787][emoji1787][emoji1787] tulikutana mahusiano yalikuwa mafupi sana.

Sasa kuna siku akanitunuku tunda yani tume vurugana kama bao 3 hivi, baada ya kumalizaa naona mtu kanuna yani haongeiii anadai anasikia kichefu chefu. Nikamwambia shida ni nini? Alicho nijibuu ndo nili choka.

Akadaii mimba imeingiaa tayarii ndo maana anajisikia vibaya kila dakika, nikamuuliza umejua wakati ndo kwanza ni leo.

[emoji23][emoji23][emoji23] akasema yeye nimtaalamu anajua kuanzia day one.. Nikamuuliza so hapa mimba imezama akasea ndiooo nijiandaee kuwa baba. [emoji23][emoji23][emoji23]

Siku hiyoo nilibaki mdomo wazii

Sent using mt4 app
Kuna wanaume mbapitia matedo makal uyo ulipaswa uzabe kibao hapo hapo ni dharau kakuona we mjinga hujui kitu
 
Habari zenu ndugu?

Poleni na mihangako ya kila siku ya Maisha, natumai mu wazima wa afya.

Kama heading inavyosema, nataka kufaham kama ulishawahi kutana na situation kama hio na ulifanyaje kukabiliana na hali kama hio? Maana wanawake siku hizi wamekua ni wenye akili nyingi na ujanja mwingi sana.

Binafsi nna huyu binti kabla hajanipa taarifa kua anaujauzito alikua ananiuliza maswali mengi sana ambayo mpka sasa yananipa utata.

Mfano:
1. Hivi fulani (jina langu) unaweza kuwa na mahusiano na mwanamke mwenye ujauzito au mtoto wa mtu mwingine? Hili swali kila nkikumbuka nachoka coz yeye kaniuliza mara 2 nyakati tofauti tofauti na rafki pia aliniuliza.

2. Mfano leo nkapata ujauzito utafanyaje? Hapa nahisi alikua ananpima akili ili ajue ananiingiaje?

3. Kuna day nlimkuta yuko so sad and silent, nkamuuliza "unaumwa?" Kajibu hapana, "tatizo nn?? Mbna uko hvo?" Kajibu hamna shda, nkamtania "au umetoa mimba?" Hilo swali lilisababisha ugomvi sku hio stak hata kukumbuka.

4. Last month aliniambia akipata ujauzito bas ataondoka na kwenda somewhere ambako hakuna atakae muona, nkamuuliza kwann akasema "basi tu"

Then two weeks ago ananambia anaujauzito wangu, nashndwa kumuamini coz nna series ya vitu kichwan vinavyofanya roho ikatae kabisa na kuona kua hapa kuna game nachezewa. Hapo juu nmetaja baadhi tu.

So wakuu naombeni ushauri wenu, coz me kulea mtoto sishindwi wala siogopi, ila nnachoogopa ni kulea mtoto asie wangu "For the rest of my life"
Angalia kama hii mbinu yangu ita-apply kwako.
Mimi nina 43 yrs, kwenye ndoa yangu nina watoto watatu, wa mwisho ana 9 yrs na kwa sababu maalum ya kiafya, wife alifunga kabisa uzazi alipozaliwa huyo mtoto wa mwisho! Nilichepuka na binti ambaye anafahamu kila kitu nyumbani kwangu maana ni jirani na tunatokea mkoa moja kabila moja! Aliponiambia ana mimba yangu nikaruka juu sana hapo hapo sikuchelewesha. Nilimwambia sihusiki, mimi nilishafunga uzazi (kwa wanaume inaitwa Vasectomy - sijui kama spelling iko sawa). Nikamwambia mimi kwa miaka 9 sasa sina uwezo wa kutia mimba, nakula tu mzigo basiii, na ushahidi ni huyo mtoto wa mwisho ana miaka 9. Nikamgeuzia kibao kwamba kumbe wewe ni muhuni na ulitaka kuniharibia ndoa?? Nikambana aseme ukweli. Baada ya siku mbili alikiri mhusika ni kijana mwenzake wa chuo na ni mvuta bangi tu hana mbele wala nyuma, kwa hiyo akaniomba hela ya kuitoa, nikamwambia hiyo dhambi sitashiriki. Baadaye inaonekana aliitoa, sasa hivi ameshika sana adabu, yuko focused na masomo hataki tena ujinga. Mi nampa mpa tu hela za chips na kinywaji mara moja moja yuko tu very happy anapiga kitabu.
 
Akili zao hawa viumbe wanazijua wenyewe.

Kuna mmoja hivi [emoji1787][emoji1787][emoji1787] tulikutana mahusiano yalikuwa mafupi sana.

[emoji23][emoji23][emoji23] akasema yeye nimtaalamu anajua kuanzia day one.. Nikamuuliza so hapa mimba imezama akasea ndiooo nijiandaee kuwa baba. [emoji23][emoji23][emoji23]

Siku hiyoo nilibaki mdomo wazii

Sent using mt4 app
 
Njia pekee ya kujua kama mtoto wako DNA...hawa wanawake atakukazia uso mkavu hata umtishie atakuambia mtoto wako. Kama unauwezo muda ukiwadia kapime.

Kwasasa kuwa mpole.
He km ujauzito ni wa mdogo wako DNA itasomaje
 
Angalia kama hii mbinu yangu ita-apply kwako.
Mimi nina 43 yrs, kwenye ndoa yangu nina watoto watatu, wa mwisho ana 9 yrs na kwa sababu maalum ya kiafya, wife alifunga kabisa uzazi alipozaliwa huyo mtoto wa mwisho! Nilichepuka na binti ambaye anafahamu kila kitu nyumbani kwangu maana ni jirani na tunatokea mkoa moja kabila moja! Aliponiambia ana mimba yangu nikaruka juu sana hapo hapo sikuchelewesha. Nilimwambia sihusiki, mimi nilishafunga uzazi (kwa wanaume inaitwa Vasectomy - sijui kama spelling iko sawa). Nikamwambia mimi kwa miaka 9 sasa sina uwezo wa kutia mimba, nakula tu mzigo basiii, na ushahidi ni huyo mtoto wa mwisho ana miaka 9. Nikamgeuzia kibao kwamba kumbe wewe ni muhuni na ulitaka kuniharibia ndoa?? Nikambana aseme ukweli. Baada ya siku mbili alikiri mhusika ni kijana mwenzake wa chuo na ni mvuta bangi tu hana mbele wala nyuma, kwa hiyo akaniomba hela ya kuitoa, nikamwambia hiyo dhambi sitashiriki. Baadaye inaonekana aliitoa, sasa hivi ameshika sana adabu, yuko focused na masomo hataki tena ujinga. Mi nampa mpa tu hela za chips na kinywaji mara moja moja yuko tu very happy anapiga kitabu.
Baba hiyo njia yako matata...na ulijitoa mwanga.
 
Mi alinifanyiaga huo mchezo nilimtimua sitakagi ujinga
Habari zenu ndugu?

Poleni na mihangako ya kila siku ya Maisha, natumai mu wazima wa afya.

Kama heading inavyosema, nataka kufaham kama ulishawahi kutana na situation kama hio na ulifanyaje kukabiliana na hali kama hio? Maana wanawake siku hizi wamekua ni wenye akili nyingi na ujanja mwingi sana.

Binafsi nna huyu binti kabla hajanipa taarifa kua anaujauzito alikua ananiuliza maswali mengi sana ambayo mpka sasa yananipa utata.

Mfano:
1. Hivi fulani (jina langu) unaweza kuwa na mahusiano na mwanamke mwenye ujauzito au mtoto wa mtu mwingine? Hili swali kila nkikumbuka nachoka coz yeye kaniuliza mara 2 nyakati tofauti tofauti na rafki pia aliniuliza.

2. Mfano leo nkapata ujauzito utafanyaje? Hapa nahisi alikua ananpima akili ili ajue ananiingiaje?

3. Kuna day nlimkuta yuko so sad and silent, nkamuuliza "unaumwa?" Kajibu hapana, "tatizo nn?? Mbna uko hvo?" Kajibu hamna shda, nkamtania "au umetoa mimba?" Hilo swali lilisababisha ugomvi sku hio stak hata kukumbuka.

4. Last month aliniambia akipata ujauzito bas ataondoka na kwenda somewhere ambako hakuna atakae muona, nkamuuliza kwann akasema "basi tu"

Then two weeks ago ananambia anaujauzito wangu, nashndwa kumuamini coz nna series ya vitu kichwan vinavyofanya roho ikatae kabisa na kuona kua hapa kuna game nachezewa. Hapo juu nmetaja baadhi tu.

So wakuu naombeni ushauri wenu, coz me kulea mtoto sishindwi wala siogopi, ila nnachoogopa ni kulea mtoto asie wangu "For the rest of my life"
 
Usisahau kuleta mrejesho mkuu... Siku zimeshasogea[emoji23][emoji23]
 
Hawa wanawake ni wajanja na wana akili sana. Me kuna mmoja hapa nasikilizia nimeambiwa ana mimba ya mwezi mmoja na kweli nilipita nae kavu japo anaishi na mshikaji wake mpk leo. So sijui kama ni yangu au lah.
Hapo mshkaji alibebeshwa.Vipi mrejesho?
 
Ahsante kwa ushauri ndugu,

swala la DNA pia linaonekana linamlolongo sana na pia majibu yake sio ya uhakika sana kwa Hapa TZ hili pia linanipa changamoto mno. Vp nkakomaa saiv, af hayo mambo ya DNA yaje kunirudisha tena kwenye hali ya mkanganyiko kama sasa??
DNA pekee mpeleke kwa mama yako atajua Kama Ni wako au sio
 
hata ukienda POLISI DAWATI LA JINSIA ni 100,000/ au bure km Kesi ni nzito
lkn majibu ndio hivyo tena km alivyosema jamaa hapo juu Itel A51
Mimi yalinikuta, nyumba ndogo, kumbe mm nalisha na chumba nalipia usiku anakuja mlinzi Korokoroni kulala anaacha lindo anaisimamia kwa vidole mali yangu
mtoto kutoka hatufanani kabisa jirani wakanitonya ni wa mlinzi pale kituo cha mafuta
tukafikishana POLISI wakanilazimishia kuwa nikikataa na licha ya kutoa laki nitashtakiwa
niliporudi siku ya pili Mlinzi akajatishia na kukubali ni damu yake hataki na hakuna cha DNA akasaini
kw hiyo mm nikachukua maelezo nakala yangu nikayahifadhi
sasa mwanamke bado ananitaka nilee, nikamuonesha maelezo ya POLISI akadai huyo Baba hana uwezo atamuua mtoto au amnyweshe sumu, NIKAACHANA NAO ingawa mwanamke hajakubali
Ishu imeishaje mkuu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom