Ulishawahi kutengwa na rafiki yako wa karibu baada ya yeye kufanikiwa? Toa kisa chako ilikuwaje

Ulishawahi kutengwa na rafiki yako wa karibu baada ya yeye kufanikiwa? Toa kisa chako ilikuwaje

Wakuu habari za wakati huu! Nina Imani mu wazima wa afya na mnaendelea kupambana na maisha ya Kila siku. Mungu atusaidie sana.

Kama ambavyo title inajieleza, Mimi ni mtu ambae sina marafiki wengi, si kwakuwa ninajiskia sana, hapana ila ni aina ya watu ambao ninaweza kusema ni introvert. Nina marafiki wachache tu ambao nina amani sana kuwa nao.

Sasa kuna mmoja ambae ndio mtu wa karibu zaidi, jambo lake ni langu na langu ni lake, tumesaidizana kwenye nyakati ngumu na hatukuwahi kutengana kote tulikopita kama marafiki. Hatuna maisha mazuri kwakuwa bado ni vijana na tunapambana kutafuta angalau siku moja tuwe kwenye nafasi nzuri pia kimaisha.

Sasa changamoto imekuja kuonekana baada ya huyu mwenzangu kuwa amebahatika kupata chaka sehemu, yaani imekuwa si yeye ninaemfahamu tena. Kwa ukaribu wangu na yeye sidhani hata kama ni kubanana inaweza kuwa kwa mwenendo huu anaouonyesha.

Imekuwa ni mara chache sana siku hizi kuonana tena involuntarily ingawa najua yupo, na baadhi ya watu anakutana nao anapokuwa nje ya majukumu yake ila si mimi tena. Unaweza kumtumia ujumbe usijibiwe kabisa na tangu aanze kazi nakumbuka alinitumia ujumbe siku mbili tu za kwanza tangu alipoanza kazi.

Kiufupi sijapendezwa na mwenendo huo, muda mwingine asiponijibu ujumbe au simu yangu najisikia unyonge sana. Najiona kama nimepoteza nafasi kama rafiki kwake kutokana na aidha anahisi ntamlilia shida au sina msaada tena kwake. Silaumu yeye kupata kazi sababu mwisho wa siku haya ni maisha, tunatakiwa kukua kuelekea hatua nyingine. Mwenzangu katangulia ilhali wakati wangu wa milango kufunguka Bado..

It pains, kwa nyakati tulizifanikiwa kukutana tangu apate kazi anaonyesha kabisa he doesn't care about me and not interested with me anymore,, even jokes we used to make Hana response nazo kabisa. Mnaweza kuwa kwenye maongezi ghafla tu utaiskia anasema nataka niende kwa akina flani, like he's escaping me. Nimeamua kuacha kumtafuta pia sababu nishakuwa inferior kwa jinsi asivyojali tena kuhusu Mimi.

Ndipo nimepata kujifunza kuwa vitu vidogo sana huua urafiki.Si kwamba nahitaji pesa Toka kwake, it's all about value of friendship (THAMANI YA URAFIKI), Sawa naweza kukwama nikahitaji msaada kwake kama kawaida lakini si kudepend moja kwa moja kwenye kile alichonacho. Mara nyingi tu nimemshika mkono kipindi mambo yangu yanakwenda sawa, nimenusuru mahusiano yake zaidi ya mara moja, nimemvusha kifedha kipindi Mwanamke wake kalazimisha kuja ilhali hakuwa na pesa, nilimkabidhi sehemu ninayokaa Ili aenjoy na Mwanamke wake as a best friend of me. Treatment nayoipata sasa ndio inayoninyima furaha, sitegemei kama atajali tena lolote kati yangu naye. Nadhani kakutana na watu wapya, wa category yake ndio maana imekuwa hivi.

Anyway, Mi bado muangaikaji ambae siijui kesho yangu inakucha vipi ila naamini Mungu atanionyesha mlango pia. Tusiwapuuze watu tunaokuwa nao kwenye kipindi kigumu pindi tunapofunguliwa njia za mafanikio. Japo kuna ubize lakini si mbaya tukajuliana Hali tu..

Asanteni wakuu🙏, dondosha pia kisa chako
Rafiki kukutenga baada ya kufanikiwa ni tabia ya kawaida kwa watu wenye roho mbaya.

Ila ipo hii ya ndugu yako wa damu kukutenga hii ni mbaya sana
 
Nina kisa kama chako ila kwangu tuliponaliza Chuo getho(vingunguti) tukaendelea kuishi pamoja magetoni)

Kumbuka sio Chuo kikuu bali ni vyuo vya Kati. Msaada home ukakata,tukatafuta ajira. Mwenzangu akawahi kupata. Akasapoti Kodi katika kipindi chote.

Siku Moja nilikuta amehama amechukua godoro na kitanda nilikuta mabox(sikumbuki kama palikuwa na chandarua) lkn Ngosha mie nililala chini, nakumbuka nilipoingia na dem wangu alisikitika Sana. Kosa ambalo nahisi alihama na hakuwa anapenda hiyo kitu ni Mimi kula tunda mule ndani. Is okay sikutaka kuendelea kula mule tena.

Akahamia nisipopajua lkn baadae nikajua ni (ilala).

Nina marafiki wachache pia na nahisi hata yeye sio rafiki ni Ile kuishi pamoja, as time went on nikapata kazi 'alhamdullillah,' nikatafuta room mbili na choo(lkn huku najua Dem ni MTU wa tamaa japo niliplan tuishi tufunge ndoa Nikaishia pale. Yule Dem Wangu naye akanimwaga silently Kwa sabb nahisi naye aliona Basha mie Sina mbele Wala kazi(sikumwambia nimepata kazi) ilikuwa hivi kila nilivyopita naye sehemu na tukikaribia kufika shell Moja ya mafuta Dem.."ananambia hapa Pana MTU sipendi atuone" mie napita kule yeye huko. Tunakutana mbeleee huko. Nikahoji.....

Mimi.." kwani ni nani..."
Dem..'.....(hasemi anazungazuga)...

Sisi introverts Huwa tunafikiria na kutatua issues ndani Kwa ndani...

Nikajinyamazia kinyaa.... Baadae nikagunfua kumbe pale Kuna jamaa ana 'wazifa'.

Mungu si athuman nikapaa majuu... Basi bana si simu hizo kutoka Kwa wasaliti.
Sawa TAUSIsi
 
Nimesema alikuwa na wapenz wawili wa kwanza siyo mwongeaji na wa pili muongeaji....kutokana na uongeaji na pesa pia wa pili akamzidi kete wa kwanza Ivo akafanikiwa kumtoa bikra Jay,siku ya siku ikafika wa kwanza kakaza anataka game akapewa na akakuta alichoambiwa anacho Jay hakipo tena....Ivo Mshikaji akakasirika ikawa kama amesusa Fulani....Jay hakupata pressure sana coz wa pili ndo anaemweka mjini.....mwisho wa siku akapata mimba akiwa mwaka wa 3....mimba akaniambia ni ya mpenz wa kwanza(asiye na Hela na siyo mwongeaji) na hata Ivo huyu mwenyehela alipoambiwa Nina mimba akakimbia(japo mimba ni kweli haikuwa yake maana yule aliyekuta bikra imetolewa mbali na kususa mzigo but Kuna time nyege zikimjaa alikuwa anakula mzigo kimtindo afu ndo tuhuma za ujauzito zikamwangukia)...
Mshikaji asiyenazo alikuwa Hana shida akakubali....ila changamoto ikawa namna ya kumtunza Binti na mimba yake(mwanzoni alikuwa hadaiwi matumizi kwa kuwa alikuwa haombwi,Jay si alikuwa anapewa na yule mwingine)....so majukumu yakamwelemea yule kaka,Ivo Jay Kwa kuwa alizoea kutunzwa vyema akatafuta mchepuko mwingine hapohapo chuo,huo mchepuko ukawa unahudumia ila ndo ukawa hautaki Jay awe na mpenz mwingine....
Sasa utamfukuzaje huyo uliyemkuta ...ndo jamaa akaamua kuitumia mbinu ambayo alimficha Jay....Kila wakikutana kusex,jamaa alikuwa anapenda wajirekodi na Jay pasipo kufikiri akawa anakubali....mwisho wa siku yule jamaa akamtumia pictures na video yule Shem(mwenye Ile mimba) .....Shem akamtumia watu wa Karibu na Jay Ili akimkataa Jay kuwe na uthibitisho.....Nadhan hicho ndicho kilichomkimbiza Jay maishani mwangu....Kwa Ile aibu hakutaka kuniona Tena.Japo nilisikia alidisco,akafanya Tena mitihani akafaulu na sasa ni mwalimu songea [emoji26][emoji120]
Hizo video za jay za minyanduano bado unazo mkuu [emoji39]?
 
Hii inatokea sana mzee mana nyingi wakishakua wako sehemu wanabadilisha marafiki wanataka wale wa level moja, ila wakikwama wanakumbuka walipotoka. Kikubwa pambania kesho yako mzee
 
Hii ni moja ya sababu kubwa ya mm kumkubali rapper wa marekani Meekmill

Mshikaji ametokea street/getto life yale maisha magumu haswaa ila kwa sasa pesa ipo na wala hajabadilisha marafiki,

Ana kula bata na washkaji zake wa utotoni ambao wame-hussle wote, kuna verse moja anakuambia “i only move with niggas i grew up from the sandbox”
 
Tenda wema uende zako, atakayekulipa Mungu...
Ni kweli, kwenye maisha yangu huwa nasaidia watu bila kujali watanisaidia au watalipa fadhila. Nikimsaidia mtu sifanyi kama uwekezaji, ukiamua kulipa fadhila sawa, ukiamua kuniponda sawa. Wala siumii roho maana najua fadhila zangu zitalipwa na watu wangine. Ukifanikiwa nafurahi maana nimekua daraja zuri la kukufikisha uendako
 
Wakuu habari za wakati huu! Nina Imani mu wazima wa afya na mnaendelea kupambana na maisha ya Kila siku. Mungu atusaidie sana.

Kama ambavyo title inajieleza, Mimi ni mtu ambae sina marafiki wengi, si kwakuwa ninajiskia sana, hapana ila ni aina ya watu ambao ninaweza kusema ni introvert. Nina marafiki wachache tu ambao nina amani sana kuwa nao.

Sasa kuna mmoja ambae ndio mtu wa karibu zaidi, jambo lake ni langu na langu ni lake, tumesaidizana kwenye nyakati ngumu na hatukuwahi kutengana kote tulikopita kama marafiki. Hatuna maisha mazuri kwakuwa bado ni vijana na tunapambana kutafuta angalau siku moja tuwe kwenye nafasi nzuri pia kimaisha.

Sasa changamoto imekuja kuonekana baada ya huyu mwenzangu kuwa amebahatika kupata chaka sehemu, yaani imekuwa si yeye ninaemfahamu tena. Kwa ukaribu wangu na yeye sidhani hata kama ni kubanana inaweza kuwa kwa mwenendo huu anaouonyesha.

Imekuwa ni mara chache sana siku hizi kuonana tena involuntarily ingawa najua yupo, na baadhi ya watu anakutana nao anapokuwa nje ya majukumu yake ila si mimi tena. Unaweza kumtumia ujumbe usijibiwe kabisa na tangu aanze kazi nakumbuka alinitumia ujumbe siku mbili tu za kwanza tangu alipoanza kazi.

Kiufupi sijapendezwa na mwenendo huo, muda mwingine asiponijibu ujumbe au simu yangu najisikia unyonge sana. Najiona kama nimepoteza nafasi kama rafiki kwake kutokana na aidha anahisi ntamlilia shida au sina msaada tena kwake. Silaumu yeye kupata kazi sababu mwisho wa siku haya ni maisha, tunatakiwa kukua kuelekea hatua nyingine. Mwenzangu katangulia ilhali wakati wangu wa milango kufunguka Bado..

It pains, kwa nyakati tulizifanikiwa kukutana tangu apate kazi anaonyesha kabisa he doesn't care about me and not interested with me anymore,, even jokes we used to make Hana response nazo kabisa. Mnaweza kuwa kwenye maongezi ghafla tu utaiskia anasema nataka niende kwa akina flani, like he's escaping me. Nimeamua kuacha kumtafuta pia sababu nishakuwa inferior kwa jinsi asivyojali tena kuhusu Mimi.

Ndipo nimepata kujifunza kuwa vitu vidogo sana huua urafiki.Si kwamba nahitaji pesa Toka kwake, it's all about value of friendship (THAMANI YA URAFIKI), Sawa naweza kukwama nikahitaji msaada kwake kama kawaida lakini si kudepend moja kwa moja kwenye kile alichonacho. Mara nyingi tu nimemshika mkono kipindi mambo yangu yanakwenda sawa, nimenusuru mahusiano yake zaidi ya mara moja, nimemvusha kifedha kipindi Mwanamke wake kalazimisha kuja ilhali hakuwa na pesa, nilimkabidhi sehemu ninayokaa Ili aenjoy na Mwanamke wake as a best friend of me. Treatment nayoipata sasa ndio inayoninyima furaha, sitegemei kama atajali tena lolote kati yangu naye. Nadhani kakutana na watu wapya, wa category yake ndio maana imekuwa hivi.

Anyway, Mi bado muangaikaji ambae siijui kesho yangu inakucha vipi ila naamini Mungu atanionyesha mlango pia. Tusiwapuuze watu tunaokuwa nao kwenye kipindi kigumu pindi tunapofunguliwa njia za mafanikio. Japo kuna ubize lakini si mbaya tukajuliana Hali tu..

Asanteni wakuu[emoji120], dondosha pia kisa chako
Pole sana mkuu,lkn hiyo ni kawaida.
 
Introvert hatupo hivyo mkuu, mi binafsi naweza sema sina rafiki ila naenjoy life kama kawaida sa hv natoka job na Laptop yangu nanunua bando kwa ajili ya kucheki movie netflix najifungia Ghetto sina habari na mtu mwenye shida atanitafuta ila mimi kulalamikia mtu hiyo haipo demu wangu mwenyewe ananikubali kinyama yaani ila anajua kabisa akizingua nami nazingua
 
Back
Top Bottom