Kwan mr zero IQ upo dodoma weye??Je ulishawahi kutoka kimapenzi na Rafiki wa mpenzi wako?
Binafsi nilipita na marafiki watatu wa mpenzi wangu kwa mpigo na wote walikuwa wananipenda cha kushangaza licha ya kuja kujuana hawakuwahi kugombana bado wako mabest na mi bado nawala tofauti kwa sasa kila mmoja yupo mkoa wake mmoja yuko dar,mwingine moro na wa mwisho yupo hapa dom kwenye harakati zao za kutafuta maisha .
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ndy KING OF THAT.... tena nishakula KITANDA KIMOJA ,,,na demu Wangu yupo hapo hapo KITANDANI na hakujuwa.. baada ya hapo wakawa wanapishana,,,DEMU WANGU akija ASUBUHI,,,USIKU anakuja SHOGA YAKE...Je ulishawahi kutoka kimapenzi na Rafiki wa mpenzi wako?
Binafsi nilipita na marafiki watatu wa mpenzi wangu kwa mpigo na wote walikuwa wananipenda cha kushangaza licha ya kuja kujuana hawakuwahi kugombana bado wako mabest na mi bado nawala tofauti kwa sasa kila mmoja yupo mkoa wake mmoja yuko dar,mwingine moro na wa mwisho yupo hapa dom kwenye harakati zao za kutafuta maisha .
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ndy KING OF THAT.... tena nishakula KITANDA KIMOJA ,,,na demu Wangu yupo hapo hapo KITANDANI na hakujuwa.. baada ya hapo wakawa wanapishana,,,DEMU WANGU akija ASUBUHI,,,USIKU anakuja SHOGA YAKE...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeumbwa na uso wa aya hata yule naye mfaham ana mahusiano na fulani siwezi kuwa na mahusiano nayeJe ulishawahi kutoka kimapenzi na Rafiki wa mpenzi wako?
Binafsi nilipita na marafiki watatu wa mpenzi wangu kwa mpigo na wote walikuwa wananipenda cha kushangaza licha ya kuja kujuana hawakuwahi kugombana bado wako mabest na mi bado nawala tofauti kwa sasa kila mmoja yupo mkoa wake mmoja yuko dar,mwingine moro na wa mwisho yupo hapa dom kwenye harakati zao za kutafuta maisha .
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi mkuu inakuuma sana kwani mimi popoma Zero iQ kufungua uzi kila siku?