Ulishawahi kutoka kimapenzi na rafiki wa mpenzi wako?

Ulishawahi kutoka kimapenzi na rafiki wa mpenzi wako?

Mimi nilikuwa na demu angu fulani anasoma chuo cha nursing nilichokuwa nafanya ni kumuambia Jumapili mana wanakaa huko huko hospital kuwa aje na marafiki zake wakutosha hata watano au zaidi nimewaandalia msosi wakija nini fresh watashinda story kibao mimi nawapisha nkirudi jioni nakuja na whisky au Sminorff Double black wanakunywa afu kila mtu nampa namba yangu kwa siri siku io ata manzi angu simli wakimaliza mida ya saa mbili usiku nawapeleka mpaka chuoni kwao mana jumapili hawawekewi limit ya muda, After there atarudi mmoja mmoja mpaka kundi linaisha lote, Nimewahi kula twin mapacha wawili walijuana wakazinguana sana bi mkubwa mpaka akanijia juu nae kwa vile ni hawa wa mama wa mjini nikamtafuna nae tena mpaka mtandao pendwa.
Aisee
 
Je ulishawahi kutoka kimapenzi na Rafiki wa mpenzi wako?

Binafsi nilipita na marafiki watatu wa mpenzi wangu kwa mpigo na wote walikuwa wananipenda cha kushangaza licha ya kuja kujuana hawakuwahi kugombana bado wako mabest na mimi bado nawala tofauti kwa sasa kila mmoja yupo mkoa wake mmoja yuko Dar, mwingine Moro na wa mwisho yupo hapa Dom kwenye harakati zao za kutafuta maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha
 
Mimi nilikuwa na demu angu fulani anasoma chuo cha nursing nilichokuwa nafanya ni kumuambia Jumapili mana wanakaa huko huko hospital kuwa aje na marafiki zake wakutosha hata watano au zaidi nimewaandalia msosi wakija nini fresh watashinda story kibao mimi nawapisha nkirudi jioni nakuja na whisky au Sminorff Double black wanakunywa afu kila mtu nampa namba yangu kwa siri siku io ata manzi angu simli wakimaliza mida ya saa mbili usiku nawapeleka mpaka chuoni kwao mana jumapili hawawekewi limit ya muda, After there atarudi mmoja mmoja mpaka kundi linaisha lote, Nimewahi kula twin mapacha wawili walijuana wakazinguana sana bi mkubwa mpaka akanijia juu nae kwa vile ni hawa wa mama wa mjini nikamtafuna nae tena mpaka mtandao pendwa.
Duuh asee
 
Back
Top Bottom