mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si mjadili mada? Mbona mnawashwa na comment yangu? Mimi nilikuwa naongea na mtoa mada.Baby Doll, uko pande zipi nije Nikushone? Yaonekana leo unawashwa sana kwenye pachu pachu!
Wewe me au kedah mi nlimpitia rafiki wa mpenz wangu badae akaja kujua aisee ilikuwa mbaya sana kwan waligombana vibaya na urafiki ukaishia hapohapo, aisee huwa najutia sana nilichofanya maana niliwakuta wakiwa marafiki wa muda mrefu mi ndo nkawafarakanisha, sitorudia tena
Nataka nitumie fursa. Tupo ki fursa zaidi.Si mjadili mada? Mbona mnawashwa na comment yangu? Mimi nilikuwa naongea na mtoa mada.
Sent using Jamii Forums mobile app
Je ulishawahi kutoka kimapenzi na Rafiki wa mpenzi wako?
Binafsi nilipita na marafiki watatu wa mpenzi wangu kwa mpigo na wote walikuwa wananipenda cha kushangaza licha ya kuja kujuana hawakuwahi kugombana bado wako mabest na mi bado nawala tofauti kwa sasa kila mmoja yupo mkoa wake mmoja yuko dar,mwingine moro na wa mwisho yupo hapa dom kwenye harakati zao za kutafuta maisha .
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kamuulize popoma mwenzangu GENTAMYCINE bila kumsahau ndugu Mshana Jr pamoja na ndege JOHN kama kuanzisha uzi humu kila siku ni sheria,lazima au matakwa ya mtu utajibiwa vyema kabisa mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika ni jibu mubashara kabisa kwake mkuuNa Wewe muulize na Yeye ' anavyotambaliziwa ' kunako ' Unyabeni ' kila Uchao kuna Mtu huwa anamuuliza ni kwanini anapenda kufanya hivyo na siyo wengine?
Cc: Baby Doll
Wewe popoma tulia.Na Wewe muulize na Yeye ' anavyotambaliziwa ' kunako ' Unyabeni ' kila Uchao kuna Mtu huwa anamuuliza ni kwanini anapenda kufanya hivyo na siyo wengine?
Cc: Baby Doll
Wewe popoma tulia.
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji41][emoji41]
Kama umenitukana na wewe hivyo hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila shaka wewe ndiyo umeni "cc" kwenye post yako na wala sikukutaja popote. Okay kama unataka fight nipo tayari tunaweza kuanza.Umeshamalizana na Zero IQ Kwanza kabla hujaanza kutafuta ' matatizo ' nami Usiku huu?
Bila shaka wewe ndiyo umeni "cc" kwenye post yako na wala sikukutaja popote. Okay kama unataka fight nipo tayari tunaweza kuanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukkona hivyo tambua wote akili zao zinafanana na siajabu wewe si wakwanza kuchanganya bamia, nyama, maharagwe, samaki nyanya chungu n.kJe ulishawahi kutoka kimapenzi na Rafiki wa mpenzi wako?
Binafsi nilipita na marafiki watatu wa mpenzi wangu kwa mpigo na wote walikuwa wananipenda cha kushangaza licha ya kuja kujuana hawakuwahi kugombana bado wako mabest na mi bado nawala tofauti kwa sasa kila mmoja yupo mkoa wake mmoja yuko dar,mwingine moro na wa mwisho yupo hapa dom kwenye harakati zao za kutafuta maisha .
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23]hayaNakuonea huruma unaweza ukakosa ' Usingizi ' bure! Nisalimie Mumeo niliyepishana nae ' Loji ' leo mchana nikiwa natoka ' Kumbandua ' Mtu na Yeye akiwa na Demu wake mkali ( mzuri ) kukuzidi wa Kampuni moja ipo Uwanja wa Ndege akiwa anaenda Kufanya zoezi ambalo nilitoka Kulifanya.
Laana hiyo, usipokuwa makini mkeo na mwannao wana wezekana wakuliwa na mtu 1Nilisha kula mama mtu nikaja kula mtoto wake...
Uongo wako ni wa kiwango cha juu sanaJe ulishawahi kutoka kimapenzi na Rafiki wa mpenzi wako?
Binafsi nilipita na marafiki watatu wa mpenzi wangu kwa mpigo na wote walikuwa wananipenda cha kushangaza licha ya kuja kujuana hawakuwahi kugombana bado wako mabest na mi bado nawala tofauti kwa sasa kila mmoja yupo mkoa wake mmoja yuko dar,mwingine moro na wa mwisho yupo hapa dom kwenye harakati zao za kutafuta maisha .
Sent using Jamii Forums mobile app