Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
kwenu mnaogea chooni😥😥Choo kipo ndani ya nyumba mkuu 😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwenu mnaogea chooni😥😥Choo kipo ndani ya nyumba mkuu 😅😅
Haijawah kukutokea ciccy 😃😃Ha haàaa haaaaa jamani nyie mbona mna wenge😁😁😁😁
Naelewa mkuuNaamanisha escort au wewe umeelewa lift ipi my friend 😃😃😃🤔
Bafuni ahahaha dahkwenu mnaogea chooni😥😥
Hapana,nadhani Kwa vile Mimi sio mtu wa mausingizi sana,nalala kama nipo macho yaaniHaijawah kukutokea ciccy 😃😃
Pole sanaBado kinanichanganyaga sana tu😂🙈
Kwahiyo wewe haijawai tokea?Ha haàaa haaaaa jamani nyie mbona mna wenge😁😁😁😁
Unatukosea sanaHapana,nadhani Kwa vile Mimi sio mtu wa mausingizi sana,nalala kama nipo macho yaani
Kabisa tangu najielewa!Kwahiyo wewe haijawai tokea?
🤣🤣Hapana siwalaumu najua binadamu tumeumbwa tofautiUnatukosea sana
Iko siku itakutokea umewasha na gari kabisa uko road🤣🤣Hapana siwalaumu najua binadamu tumeumbwa tofauti
Hongera sana aiseeHapana,nadhani Kwa vile Mimi sio mtu wa mausingizi sana,nalala kama nipo macho yaani
Hongera mm mara kibao tena hadi nikiwa boarding mida ya saa kumi room inakuwa imetulia nikajua nimechelewa classKabisa tangu najielewa!
Asante🥹Pole sana
🤣🤣🤣🤣Kha!we ukilala wanaweza kukuiba hata wewe mwenyeweHongera mm mara kibao tena hadi nikiwa boarding mida ya saa kumi room inakuwa imetulia nikajua nimechelewa class
Nikiwa chuo nakumbuka nilivaa na nguo uku nakimbia njian niwai pepa nikakutana na mtu anatoka chuo nikamuuliza wenzangu washaanza mtihani alinicheka sana
Ujakosea kabisaKwa Twakimu chache tu
Mtu akilala usingz mzito wa lisaa 1 hakuna Tofauti na mtu aliye lala 12 hr hiyo Ipo kisaikologia kabisa. Kwa hiyo wote' wakiamka ukiwaambia umelala muda gani hakuna atakayejua mpaka aanglie mazingira au saa.
Ahahah nikalala sehemu ambako hakuna kelel unaweza nisahau🤣🤣🤣🤣Kha!we ukilala wanaweza kukuiba hata wewe mwenyewe
Wewe alie kuloga amekufa 🤣🤣🤣🤣 Pole bwana mkubwaMm kidgo ni tofauti mm utakuta mda wa kuamka umekaribia huaga naanza kuota ndoto kwamba naamka najiandaa kabisa tayr kwa ratiba ya iyo siku,,, hapo km sio alarm kuniamsha lazima nichelewe