Ulishawahi kutokumuamini mpenzi wako japo hajakuonesha dalili yoyote ya usaliti?

Kweli mwanamke ni kama bata ukimchunguza sana uwezi kumla bro sio wa kuwahamini mbwa hao
 
Binafsi simwamini mwanamke na haitatokea nikamwini kamwe, yaani sitamwamini kwa jambo lolote lile
 
Utakuwa unamatatz maana mwanaume mweny kuwa hivyo kwanza hajiamini kwa chochote si kimuonekan hata kiuchumi, pili haamini kama anapendwa kwel na Mdada huenda Dada nimzur hivyo anahofia kuachwa muda wwt
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…