Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaWivu sehemu ya kupenda
HaaUlimkuta na bikra zote?
Utakuwa unamatatz maana mwanaume mweny kuwa hivyo kwanza hajiamini kwa chochote si kimuonekan hata kiuchumi, pili haamini kama anapendwa kwel na Mdada huenda Dada nimzur hivyo anahofia kuachwa muda wwtYaani una date na mdada fulani hajawahi kukuonyesha dalili yeyote ya kucheat wala hujapata aina yeyote ya ushaidi lakini moyo wako haumwamini hata kidogo unahisi tu sio mwaminifu, anaweza kuwa na simu yake mara kwa mara ukapekuwa kila kitu na bado tu moyo wako ukakwambia hapana kuna kitu hakipo sawa!
Je, Ushawahi kupitia hali hii kwenye mahusiano na ulipita vipi hiyo hali?
Karibu tu share uzoefu
Trust me!! Hizo feelings mara nyingi huwa zina ukweli......mara nyingi huwa zina ukweli....
Utaniamini siku utakapomuamini.