BIG STONE AND CONER STONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2023
- 421
- 728
Nirudi kwangu kwanza, kipindi nikiwa nasoma mkoa kama umefika Dar ulionekana bonge la mjanjaa! Sasa nikiwa shule ya msingi chini ya 2000 huko mwalimu yoyote akiuliza swali la nani anajua Dar es Salam, Big stone and coner stone nakuwa wa kwanza kusimama.
Nani anajua maji ya bahari yana ladha gani? Huyo Nasimama! Nani anajua kigambon? Nasimama. Mwalimu akiuliza navuka kwa kupitia nini, najibu Pantoni! Walimu; tena mpigieni makofi👏👏🥰, nikawa ka star ka Daslama.
Ikawa sasa darasani kuhusu Dar huniambii kitu. Sasa akaja mwalimu mmoja wa sayansi akauliza nani amefika Dar, wanafunzi wote macho kwangu, huyooo nikasimama. Ehee mwalimu sasa akauliza simtank Ni nn? Duuh nilikodoa macho 😀😀😀😀
Kipindi hayo ma simtak wala siyajui ni kitu gani. Nikajibu ni simu ya kumpigia Waziri Mkuu 😀😄Mwalimu alicheka sana, karbu nile mboko/fimbo. Jibu ilikuwa ni matanki ya kuhifadhi maji. Kuanzia hapo kiherehere cha kuijuia Daslama. Kiliisha.
Nikapata na marafiki darasani maana kidogo yale madogo yalianza nitenga kisa hayajui Dar😛. Anyways, nilibadilika na kuwa na mtazamo mzuri hadi leo hata kama najua kitu sisemi mpaka niulizwe direct!
Kiburi cha Dar kikashuka nikawa mtu POA kwa namna ninavyojiona sasa!
Waweza funguka nini hususani shule za msingi huko, utotoni?
Nani anajua maji ya bahari yana ladha gani? Huyo Nasimama! Nani anajua kigambon? Nasimama. Mwalimu akiuliza navuka kwa kupitia nini, najibu Pantoni! Walimu; tena mpigieni makofi👏👏🥰, nikawa ka star ka Daslama.
Ikawa sasa darasani kuhusu Dar huniambii kitu. Sasa akaja mwalimu mmoja wa sayansi akauliza nani amefika Dar, wanafunzi wote macho kwangu, huyooo nikasimama. Ehee mwalimu sasa akauliza simtank Ni nn? Duuh nilikodoa macho 😀😀😀😀
Kipindi hayo ma simtak wala siyajui ni kitu gani. Nikajibu ni simu ya kumpigia Waziri Mkuu 😀😄Mwalimu alicheka sana, karbu nile mboko/fimbo. Jibu ilikuwa ni matanki ya kuhifadhi maji. Kuanzia hapo kiherehere cha kuijuia Daslama. Kiliisha.
Nikapata na marafiki darasani maana kidogo yale madogo yalianza nitenga kisa hayajui Dar😛. Anyways, nilibadilika na kuwa na mtazamo mzuri hadi leo hata kama najua kitu sisemi mpaka niulizwe direct!
Kiburi cha Dar kikashuka nikawa mtu POA kwa namna ninavyojiona sasa!
Waweza funguka nini hususani shule za msingi huko, utotoni?