vipi kubeti mkuuAddiction yangu mpira wa miguu tuu, achilia mbali Manchester united timu ninayoishabikia ila imefika mahala naangalia ligi yoyote inshort nikigundua Kuna mechi yoyote inachezwa iwe ligi ya Italy, uholanzi, ufaransa au Spain nimo.
Hapa Kama leo imefika ijumaa nikiingia ndani ni mpira tuu mpaka j3 kazi yangu kubadili tu stations za mipira, hii addiction Wala sijutii inanisave na mengi ya walimwengu ingawa mahusiano yangu ya mwisho yalikufa kutokana na mwenzangu kushindwa kutokana na mpenzi yangu mpira yaliyopitiliza mipaka.
Napoongelea mpira wa miguu namaanisha kuangalia mpira, kubishana kuhusu mpira nipo kwenye groups kama 4 hivi za soccer, mavazi yangu ya kushindia nyumbani na mishemishe za hapa na pale kwa kiasi kikubwa ni jezi za mpira, marafiki wangu wengi wamebase kwenye mpira, Mimi sio muongeaji asili yangu Kama sio kubishana mpira basi tunaeza kukaa kimya hata masaa mawili usiponiongelesha, kwa vijana wa Sasa wapenda mpira Kuna kitu kinaitwa FPL ( Fantasy premeir league) humo namo nimo hii ndio imenishika kabisa.
Hiii addiction inaenda sambamba na muziki simu yangu ina application ya Spotify nikiweka earphones masikioni nisahau kabisa ukipiga simu sipokei hata awe ya boss.
We acha tu nna washkaj zangu hao nahis wamenzid wakishaskia tuHadi papuchi sizani kama inafikia utamu wa FIFA 17
Ngoja niitafute hii ban itakuwa tamu sana...Ukingia inakuonesha kuwa ban na sababu ya kubaniwa
Na john championWe acha tu nna washkaj zangu hao nahis wamenzid wakishaskia tu
"hello its Martin Taylor and Alan Smith this is Friendly Match" unasema naaam
mtukane Melo, hahahahahahahahahahhahhaah (natania)Ngoja niitafute hii ban itakuwa tamu sana...
Kubet nilibet Kama Mara 3 hivi nililiwa zote nilifungua account meridian nilikua nabet online ila Sasa nikasahau password na namba ya voda ambayo ndio nilifanyia registration kwa ajili ya kudepost na withdraw pesa nikaipoteza basi nikapotezea kabisa mambo ya kubet ila nitarudi Tena nikipata mdaa wa utulivuvipi kubeti mkuu
Martin Taylor ha ha ha haWe acha tu nna washkaj zangu hao nahis wamenzid wakishaskia tu
"hello its Martin Taylor and Alan Smith this is Friendly Match" unasema naaam
Askari wangu hii kitu acha naweza kusahau hata jf labda nikutane na mbabe sana anisumbue hapo ndio naweza kuachia pad.Hadi papuchi sizani kama inafikia utamu wa FIFA 17
Ha ha ha ah ah EA Sports to the GameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeNa john champion
Wameshafanya Release yake nahis Addiction itazid ila nashukuru vikao vya Bar vimepungua sana na washkaj zangu baada ya kuwa Addicted na hukuMartin Taylor ha ha ha ha
Jana kulikua Kuna official launch ya FIFA18
Aisee hata awe mbabe kiasi cha chamadola mimi lazima nilazimishe ubongo wangu ufanye harakati nimfungeAskari wangu hii kitu acha naweza kusahau hata jf labda nikutane na mbabe sana anisumbue hapo ndio naweza kuachia pad.
Ivi ukipigwa ban inakuagaje? Maana sijui kama nlishakula banMie niko addicted na www.jamiiforums.com yaani hata nikipigwa BAN naumia sana, kuhesabu siku ziishe nirudi tena JF
tupo wengi mkuuMimi mpaka sahivi nipo addicted na video games nikijifungia kucheza Ps3 huwa nasahau kula na ninaweza nikakesha nacheza tu nashindwa kuacha sababu nayapenda mno
Huwezi kuingia JFIvi ukipigwa ban inakuagaje? Maana sijui kama nlishakula ban
Aiseee kumbe wadau tumejazana humu tutupo wengi mkuu
tupo wengi mkuu
Itabd tuandae Friendly MatchAiseee kumbe wadau tumejazana humu tu
JF mpaka mme wangu akiongea na mimi nipo nasoma na kucheka. Vingine mhu shiida ka wine.