Ulishawahi kuwa addicted?

We acha tu nna washkaj zangu hao nahis wamenzid wakishaskia tu
"hello its Martin Taylor and Alan Smith this is Friendly Match" unasema naaam


Washikaji wa magari saba?
 
Mimi addiction yangu wacha nikae kimya maana nitachafua uzi bure!
 
My addictions :: Fifa 17 nikiwa chuo, microsoft free Games lile la free cell, Fantasy premier league na Archicad.
 
Mimi mpaka sahivi nipo addicted na video games nikijifungia kucheza Ps3 huwa nasahau kula na ninaweza nikakesha nacheza tu nashindwa kuacha sababu nayapenda mno
Mkuu acha kabisa hizi mambo mimi PC games ....had nadodondoka na keyboard haahaaahaa wacha kabisa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe tuko wengi....aisee.
I keep hustling ili hii hali isinipate,lakini sasa mambo yakizingiriana na nahitaji pesa, aisee nashauri watengeneze dripu maalumu kaa ajili yetu
Hahaha
Umeonaee, mie hadi naliaga kabisaa
 
Mi nimeshindwa kuacha kufanya ufisadi serikalini. Sijui nifanyaje niache.. Ufisadi umenipa nyumba 8 dar. Range rover 2 na gar nyingine ndogo za kawaida 3
 
Cha ajabu huo mpira kuucheza huweziii[emoji34][emoji34]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…