Hahahahaaa Manchester United & Music are my Heavens on Earth,i love them soo much mwaaaaaView attachment 593504 i think im musicoholic
We acha tu nna washkaj zangu hao nahis wamenzid wakishaskia tu
"hello its Martin Taylor and Alan Smith this is Friendly Match" unasema naaam
Wale wana speed na nguvu balaa...mentality yao ni ya kwenda mbele tu,wakikupugia cross 3 ujue lazima moja iwe goliAcha kupenda kunyanyasa wenzio na hao ma robot mkuu
Mkuu acha kabisa hizi mambo mimi PC games ....had nadodondoka na keyboard haahaaahaa wacha kabisaMimi mpaka sahivi nipo addicted na video games nikijifungia kucheza Ps3 huwa nasahau kula na ninaweza nikakesha nacheza tu nashindwa kuacha sababu nayapenda mno
Hahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe tuko wengi....aisee.
I keep hustling ili hii hali isinipate,lakini sasa mambo yakizingiriana na nahitaji pesa, aisee nashauri watengeneze dripu maalumu kaa ajili yetu
Sio ulaku aisee huwa natamani kila leo iongezeke tuuNi dada walaku wa pesa isee[emoji41] [emoji121] [emoji116]
Yap hiyo nzuri sanaSio ulaku aisee huwa natamani kila leo iongezeke tuu
Mule mule[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha
Umeonaee, mie hadi naliaga kabisaa
Ndyo maana nimemwambia aache uonevuWale wana speed na nguvu balaa...mentality yao ni ya kwenda mbele tu,wakikupugia cross 3 ujue lazima moja iwe goli
Ndyo maana nimemwambia aache uonevu
Hujui utumu wake haswa kwenye master leagueRekebisha kauli mzee.. FIFA mi mwenyewe naipenda ila bado haijafikia papuchi wee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mule mule[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Achague team zitazomfanya ahangaishe ubongo mm Westham unitedKweli ....hata world 11 haiingia kwa C IX
Achague team zitazomfanya ahangaishe ubongo mm Westham united
Mkuu hata iwe kwenye nini. Papuchi heshima yake ibaki palepaleHujui utumu wake haswa kwenye master league
Haha mkammogoa na kuyavuta???Nephew wangu alipata constipation kwasababu ya kudharau haja kubwa akiwa kwenye video games. Siku alipata choo kiliblock si kwa jiwe lile, ilikuwa shughuli😛
Cha ajabu huo mpira kuucheza huweziii[emoji34][emoji34]Addiction yangu mpira wa miguu tuu, achilia mbali Manchester united timu ninayoishabikia ila imefika mahala naangalia ligi yoyote inshort nikigundua Kuna mechi yoyote inachezwa iwe ligi ya Italy, uholanzi, ufaransa au Spain nimo.
Hapa Kama leo imefika ijumaa nikiingia ndani ni mpira tuu mpaka j3 kazi yangu kubadili tu stations za mipira, hii addiction Wala sijutii inanisave na mengi ya walimwengu ingawa mahusiano yangu ya mwisho yalikufa kutokana na mwenzangu kushindwa kutokana na mpenzi yangu mpira yaliyopitiliza mipaka.
Napoongelea mpira wa miguu namaanisha kuangalia mpira, kubishana kuhusu mpira nipo kwenye groups kama 4 hivi za soccer, mavazi yangu ya kushindia nyumbani na mishemishe za hapa na pale kwa kiasi kikubwa ni jezi za mpira, marafiki wangu wengi wamebase kwenye mpira, Mimi sio muongeaji asili yangu Kama sio kubishana mpira basi tunaeza kukaa kimya hata masaa mawili usiponiongelesha, kwa vijana wa Sasa wapenda mpira Kuna kitu kinaitwa FPL ( Fantasy premeir league) humo namo nimo hii ndio imenishika kabisa.
Hiii addiction inaenda sambamba na muziki simu yangu ina application ya Spotify nikiweka earphones masikioni nisahau kabisa ukipiga simu sipokei hata awe ya boss.