Ulishawahi kuwa addicted?

Ulishawahi kuwa addicted?

ehheheheh yangu machooo imagine kwa week let say unapoteza 5000/ nataman ungekuwa ndg yangu ningekuwa nakufinyaaaaaaaaa
Buku tano Sasa jomonii kwa maisha ya hapa town hata siku utoboiii...ukijua kutafuta kutumia hupat mawazo!!!hehehee ngoja nijipongeze zangu eyooi kawa waweza njoo utupie hata kaglas kamoja cha wine samaki..."!! Upate stimu za kulalia....[emoji6]
 
Acha hizo funguka, acha aibu lol! Andika kisha utoke mbio hatakuona mtu.

Addiction nyingine hazifai kusema, acha tubakie nazo mioyoni.
[emoji85][emoji85][emoji85]
 
Buku tano Sasa jomonii kwa maisha ya hapa town hata siku utoboiii...ukijua kutafuta kutumia hupat mawazo!!!hehehee ngoja nijipongeze zangu eyooi kawa waweza njoo utupie hata kaglas kamoja cha wine samaki..."!! Upate stimu za kulalia....[emoji6]


khaaa yaan mie nipoteze 5000 kwa mambo ya kipuuz namna hyo jaman hv nan kakaufundisha mamchezo hayo lakin wew ehhehee unanipa hasira tu ! nitakuja tu nijimiminie weeeeeee za mwanamke mwenzangu !teh teh
 
khaaa yaan mie nipoteze 5000 kwa mambo ya kipuuz namna hyo jaman hv nan kakaufundisha mamchezo hayo lakin wew ehhehee unanipa hasira tu ! nitakuja tu nijimiminie weeeeeee za mwanamke mwenzangu !teh teh
Aiseee unajua unazingua unavyodis addiction za watu...[emoji35] aaaahhhhg ngoja nikuache nisije nikakumwagia wine machonii...kaone bichwaa lako kama PSG[emoji57]
 
Aiseee unajua unazingua unavyodis addiction za watu...[emoji35] aaaahhhhg ngoja nikuache nisije nikakumwagia wine machonii...kaone bichwaa lako kama PSG[emoji57]

ahhaah nakutamania tu nw upo huko aisee nimemis hayo maisha dadeeeeeeeeeeeeekkkkkkkkkkkkkkk shubaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaammmmmmmmmmmmmmmmiiiiiiiiiiiiittttttttttt
 
Mie hii kitu imenipitia pembeni lakini huwa nacheka sana kuona mitandaoni wazazi wakiungama kwamba waliwanunulia watoto wao lakini wametaifisha na wanakesha kwenye addiction yao hata weekends pia.

Mimi mpaka sahivi nipo addicted na video games nikijifungia kucheza Ps3 huwa nasahau kula na ninaweza nikakesha nacheza tu nashindwa kuacha sababu nayapenda mno
Nahis tuko Pamoja kwenye hilo MkuU.
 
ahhaah nakutamania tu nw upo huko aisee nimemis hayo maisha dadeeeeeeeeeeeeekkkkkkkkkkkkkkk shubaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaammmmmmmmmmmmmmmmiiiiiiiiiiiiittttttttttt
Hahahahaaa mtoroke bwana mwambie unaenda kwenye kitchenparty[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
 
Ohooooo umeanzaaaaaaa tena jomoniiii alafu umenitia ubaya na maneno yako ndo maana mikeka imechanika...Siku engine sikwambii tena[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]


hhhehehe pyeeeeee kwisha kazi!
 
Back
Top Bottom