Ulishawahi kuwa kwenye mahusiano kwa muda mrefu na mtu usiyempenda?

Mzurulaji

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2021
Posts
283
Reaction score
639
Habari wa JF.

Mwezi wa tatu unakimbia kwa kasi sana.

Hivi ulishawahi kuwa kwenye mahusiano na mtu usiyempenda kabisa tena kwa muda mrefu. Au hata kuingia naye kwenye ndoa.

Binafsi ishanitokea nilikuwa kwenye mahusiano na mwanamke ambaye sikuvutiwa naye. Kama ilivyo slogan yangu huwa nahuruma sana. Usumbufu wa mwanamke unaweza kunifanya nibadiri jibu hapana kuwa ndio sababu tu ya huruma.

Nakumbuka nilishawahi kumtongoza mwanamke ambaye tuseme nilimtamani kwa muda mfupi. Ila nilikuja kugundua sikuwa nimempenda. Nimedumu naye kwenye mahusiano miezi miwili tu. Mwisho wa siku nikaona kama namuumiza na kumpotezea muda. Nikaamua nimweleze ukweli japo aliumia sana.

Aliniomba nimpe muda atanifanya nimpende na niwe na hisia naye. Lakini nilimsihi yakuwa sitaki kuendelea kumuumiza.

Ndipo ukawa mwisho wa mimi na yeye.

Je, nawe ishakukuta au kukutokea hii..?
 
Mwanamke hana Huruma Ndio maana Wamejazana Kwenye Makanisa Maana Wana Imani Zaidi Kuliko Huruma. Yupo Radhi Kuacha Familia Yake Isile Usiku mzima ila Aende Kuombewa Na Mchungaji

Ila Mwanamume Hayupo hivyo
Na wale wanaume wanao kula na kunywa bar wakati nyumbani wanakula ugali na fungu moja la mchicha tuwaweke kundi lipi?
 
๐ง๐๐ข๐จ ๐ข๐ฌ๐ก๐š ๐ง๐ข๐ญ๐จ๐ค๐ž๐š ๐ฆ๐ฉ๐š๐ค๐š ๐ฌ๐š๐ฌ๐š ๐ก๐ฎ๐ฎ ๐ง๐ข ๐ฆ๐ฐ๐š๐ค๐š ๐ฐ๐š 5 ๐ฒ๐š๐š๐ง๐ข ๐ฒ๐ž๐ฒ๐ž ๐š๐ฆ๐ž๐ค๐จ๐ฆ๐š๐š ๐ญ๐ฎ ๐ง๐š ๐ค๐ฎ๐š๐ฆ๐ข๐ง๐ข ๐ง๐ข๐ญ๐š๐ฆ๐ฎ๐จ๐š ๐ฒ๐ฎ๐ฉ๐จ ๐ค๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ฆ๐š๐ค๐š๐ง๐ข๐ฌ๐š ๐ฒ๐š ๐ค๐ข๐ฅ๐จ๐ค๐จ๐ฅ๐ž ๐ค๐ข๐ฅ๐š ๐ฐ๐š๐ค๐š๐ญ๐ข ๐ง๐ข ๐ค๐ฎ๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ ๐š ๐ง๐š ๐ค๐ฎ๐จ๐ฆ๐›๐š ๐ญ๐ฎ,
๐ง๐š ๐š๐ฅ๐ข๐ฏ๐ฒ๐จ ๐ง๐ข๐ณ๐ข๐ง๐๐ข๐ค๐š ๐ก๐š๐ญ๐š ๐ง๐ข๐ค๐ข๐ฉ๐š๐ญ๐š ๐๐ž๐ฆ๐ฎ ๐ง๐ข๐ง๐š๐ฒ๐ž๐ฆ๐ฉ๐ž๐ง๐๐š ๐ฆ๐š๐ก๐ฎ๐ฌ๐ข๐š๐ง๐จ ๐ก๐š๐ฒ๐š๐๐ฎ๐ฆ๐ฎ ๐ฅ๐š๐ณ๐ข๐ฆ๐š ๐๐ž๐ฆ๐ฎ ๐š๐ญ๐š๐ฃ๐ข๐ฏ๐ฎ๐ซ๐ฎ๐ ๐š ๐ญ๐ฎ๐ญ๐š๐š๐œ๐ก๐š ๐ญ๐ฎ ๐ฆ๐ฉ๐š๐ค๐š ๐ง๐ข๐ฌ๐ก๐š ๐œ๐ก๐จ๐ค๐š ๐ฃ๐š๐ฆ๐š๐ง๐ข ๐ข๐ฅ๐ข ๐ก๐š๐ฅ๐ข ๐ฆ๐จ๐ฒ๐จ ๐ฐ๐š๐ง๐ ๐ฎ ๐ก๐š๐ฎ๐ง๐š ๐ก๐ข๐ฌ๐ข๐š ๐ง๐š ๐ก๐ฎ๐ฒ๐จ ๐ฐ๐š ๐ค๐ฎ๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ ๐š ๐ง๐š ๐ค๐ฎ๐จ๐ฆ๐›๐š
 
Hapana aisee.

why nitese nafsi yangu?
 
Kwani umelazimishwa ndugu?

Moyo hauna hisia lakini mzigo unapiga kama kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ