me sijawahi kucheat mume wa mtu na nina bikira yangu na nina mchumba tunasubili mpa siku ya ndoa ndo tule tunda
Nitaconfess pale tu ntakapokuwa nna uhakika ziraili mtoa roho atanitembelea si zaidi ya dakika kumi zijazo. Sipendi kushuhudia yula mama aliyeumbwa kwa ajili yangu peke yangu akidondosha chozi kwa sababu tu eti amegundua nimemcheat.Bado anaendelea kucheat pia kwa kuto confess maovu yake kwa shemeji!
Niko single mkuu!
Basi ngoja niongee na Boflo. Kale katrafiki kake kanaweza kukufaa aseeNiko single mkuu!
Japo simjui lakini naweza kukuapia hilo limjamaa lake siyo bikra asee.Usijitangaze kwamba una bikira, maana kuna wengine humu waganga wao wamewaambia akitembea na mwanamke bikira anakuwa tajiri. Ndio maana matukio ya kubaka watoto wadogo siku hizi yameongezeka sana!
Natumaini jamaa naye pia bado bikira na mtajifunga pamoja huo mchezo siku ya kwanza ya mwezi wenu wa asali.
Japo simjui lakini naweza kukuapia hilo limjamaa lake siyo bikra asee.
mhhh....
Basi ngoja niongee na Boflo. Kale katrafiki kake kanaweza kukufaa asee
yanatoka chini ya uvungu wa moyo wangu kabisaSafi sana naamini yanatoka moyoni.
Hahaha! sasa nasikia kakutumia zile namba zao za kazi zinazobandikwa begani. Boflo akili zake anazijua mwenyewe!Nimemwambia anitumie namba ya huyo trafic nilinganishe na ya yule wa kwangu, asije kuwa ni traffic huyo huyo anatuchanganya!
mmmh!!Usijitangaze kwamba una bikira, maana kuna wengine humu waganga wao wamewaambia akitembea na mwanamke bikira anakuwa tajiri. Ndio maana matukio ya kubaka watoto wadogo siku hizi yameongezeka sana!
Natumaini jamaa naye pia bado bikira na mtajifunga pamoja huo mchezo siku ya kwanza ya mwezi wenu wa asali.
Hapana kwa kweli. Huko ni kudumisha mila. Na mila za Kiafrika ni lazima zidumishwe!Jamani naomba kuuliza, hivi kama ukikutana na ex wako ambaye kashaoelewa au kashaoa, mkaamua kukumbushia, hiyo nayo mnaita ku-cheat? I am just thinking aloud.
Masaki mambo? u must watch this movie (Its Complicated)Jamani naomba kuuliza, hivi kama ukikutana na ex wako ambaye kashaoelewa au kashaoa, mkaamua kukumbushia, hiyo nayo mnaita ku-cheat? I am just thinking aloud.
Bye bye malaria!hehehehe hii mada naweza nikaichangia through PM only, I insist ONLY. (nimeanza kwenda evening class ,mtakoma ,sasa tutakwenda kinoname noname tu)
Masaki mambo? u must watch this movie (Its Complicated)
Masaki na mkeo naye akikutana na x wake wa do atakuwa amedumisha mila eeh?