Askofu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2009
- 1,664
- 87
toba! sasa kwa style hiyo una imani na mama matesha? au ndio umemwachisha kazi na sokoni unaenda mwenyewe?
teh teh teh....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
toba! sasa kwa style hiyo una imani na mama matesha? au ndio umemwachisha kazi na sokoni unaenda mwenyewe?
Na hiyo 90% unafikiri wanacheat na wanaume wenzao au wanawake 90%?
Namshukuru sana kwakuwa kama anafanya infidelity basi yuko makini. Hicho ndicho kinachotakiwa kwenye ndoa. Unakuwa makini, unafanya kwa usalama.toba! sasa kwa style hiyo una imani na mama matesha? au ndio umemwachisha kazi na sokoni unaenda mwenyewe?
Badala ya kuanzisha sala ya toba, we unacheka!!teh teh teh....
Namshukuru sana kwakuwa kama anafanya infidelity basi yuko makini. Hicho ndicho kinachotakiwa kwenye ndoa. Unakuwa makini, unafanya kwa usalama.
Badala ya kuanzisha sala ya toba, we unacheka!!
Namshukuru sana kwakuwa kama anafanya infidelity basi yuko makini. Hicho ndicho kinachotakiwa kwenye ndoa. Unakuwa makini, unafanya kwa usalama.
Badala ya kuanzisha sala ya toba, we unacheka!!
Hiyo sala nafanya kila kila siku halafu unarudia yale yale.... (eti timu ya ushindi)....😡
Ya nini malumbano....
lakini wanawake wengi ni waaminifu katika ndoa zao!
lakini wanawake wengi ni waaminifu katika ndoa zao!
Binafsi kati ya wanawake kumi walioolewa naowajua sita wanafanya infidelity.....
Mbu unamaanisha nini ??
naona wewe na masaki mnaongelea kitu kimoja ...eeh
Je pete yaweza kuwa ulinzi wa ndoa yako??je ni neema ya mungu kukulinda na maovu ya tamzaa za dunia hii.,,yawezekana we ni mwathirka wa wizi w ndoa yako ama ndoa za watu karibu kawe ufufo na uzima jumapili kutakuwa na ibada maalum juu yenu ikiwemo kurudisha nyota zenu zilizopotea
Je pete yaweza kuwa ulinzi wa ndoa yako??je ni neema ya mungu kukulinda na maovu ya tamzaa za dunia hii.,,yawezekana we ni mwathirka wa wizi w ndoa yako ama ndoa za watu karibu kawe ufufo na uzima jumapili kutakuwa na ibada maalum juu yenu ikiwemo kurudisha nyota zenu zilizopotea
Hizo nyota zao zimeenda wapi? Umewaokotea?
Je pete yaweza kuwa ulinzi wa ndoa yako??je ni neema ya mungu kukulinda na maovu ya tamzaa za dunia hii.,,yawezekana we ni mwathirka wa wizi w ndoa yako ama ndoa za watu karibu kawe ufufo na uzima jumapili kutakuwa na ibada maalum juu yenu ikiwemo kurudisha nyota zenu zilizopotea
hapo kwenye bold ni msosi gani huo?Waathirika wa CHEZUMWI wote changamkieni tenda hiyo,mkaombewe kanisa la ufufo