Ulishawahi kuwa na marafiki wa aina hii?

Anza kumpa distance taratiibu mpaka unamtoa kwenye ubest friend unamuingiza kwenye uraia, mnasalimiana kila mtu anaendelea na maisha
 
Kama kote huko unakosekana bila shaka utakuwa muendekeza papuchi
 
Hata papuchi nimi siyo mdau. Halafu kuwa na hayo haimaanishi papuchi wanaacha, tena walevi ndio zao.

Baa zenye mademu ndio zinajaza. Wakilewa wanaondoka na mabaamedi.
Basi Ya onekana Unaishi Maisha ya Kizee sana Kijana....Ila Kwa Haraka Haraka Ugonjwa Wako wewe ni CHUPI.
"Acha Janja Janja"
 
Hata papuchi nimi siyo mdau. Halafu kuwa na hayo haimaanishi papuchi wanaacha, tena walevi ndio zao.

Baa zenye mademu ndio zinajaza. Wakilewa wanaondoka na mabaamedi.
Nyie Watu wa Kanda ya Ziwa..kama Utumii Vyote Ivyo..Ugonjwa Uwa Ni Chupi Tu
 
Hata papuchi nimi siyo mdau. Halafu kuwa na hayo haimaanishi papuchi wanaacha, tena walevi ndio zao.

Baa zenye mademu ndio zinajaza. Wakilewa wanaondoka na mabaamedi.
Nyie Watu wa Kanda ya Ziwa..kama Utumii Vyote Ivyo..Ugonjwa Uwa Ni Chupi Tu
 
Basi Ya onekana Unaishi Maisha ya Kizee sana Kijana....Ila Kwa Haraka Haraka Ugonjwa Wako wewe ni CHUPI.
"Acha Janja Janja"
Maisha ya kizee yakoje ?

Aisee, naweza kukutana hapa halafu tukaharibu uzi wa watu.

Jadili uzi achana na mimi wewe mlevi. Endeleeni kulewa, ipo siku tawapasulia mayai.
 
Urafiki wa namna hiyo huwa haudumu kabisa....Nina rafiki wa kweli mmoja tu ambaye tukienda mahala kupata huduma aidha ya chakula ama vinywaji tunafanya kuwahiana kulipa, yaani kila mtu hataki kuwa tegemezi kwa mwenzie, sikumbuki ni lini tumekopeshana fedha.
 


Utakuwa workaholic...
Biashara binafsi?
Manake waaajiriwa wengi ndo watu wa bar sana...

Wajasiriamali wengi ndo workaholics..
 
🤣🤣Kwa mfumo ulionao ni wazi umepiga bonge la ukuta....

Hiyo inaitwa "awezaye audande"!
 
Njia rahisi ya mtu anayekukwaza ni kumchana tu ukweli wa pale anapozingua, akinuna akakaa kimya ndiyo anakuwa amekusaidia..!

Mkiendelea, kuna namna naamini atakuwa kajifunza hii itamsaidia kupunguza speed...!

Nakukumbusha tu kua mwanangu wa kike nikija kupata ntamuita
@Carleen
 
Sasa wewe unaishije sasa mkuu ..

Sipati picha lifestyle yako kabisa ...

Kanisani huendi ..

Mpira haumo ..

Movie haumo ..

Hivi ukiamka asubuhi huwa unafanya nini hasa , maana daa unaishi kama saibogiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani anataka uwe chawa halafu tena anakukopa? Achague moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…